Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMPUNI YA TTCL YAKANUSHA MADAI YA TEWUTA, YADAI HAYANA UKWELI WOWOTE


Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Nicodemus Mushi akizungumza na vyombo vya habari Makao Makuu ya TTCL jijini Dar es Salaam kujibu madai ya TEWUTA.Baadhi ya wanahabari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakifuatilia mazungumzo ya Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Nicodemus Mushi (hayupo pichani) alipozungumza na vyombo hivyo leo jioni. KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imepinga madai yaliyotolewa na Chama cha Wafanyakazi wa Sekta ya Huduma za Mtandao wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

TTCL lapinga madai ya TEWUTA kudorora kwa huduma

Wakati Chama cha Wafanyakazi wa Huduma za Mtandao wa Mawasiliano TEWUTA kikidai kuwepo kwa hali mbaya ya huduma na utendaji kwenye shirika la simu nchini TTCL, uongozi wa shirika hilo umeutaka umma wa Tanzania kutozingatia tamko hilo kwa kuwa halina maslahi yoyote kitaifa.

TTCL inasema shirika lake linaendelea vema kutoa huduma kwa wananchi na wanaamini hivyo kwa kuwa halijapata malalamiko yoyote yanayohusiana na utoaji huduma duni kutoka kwa wateja.

Start Tv imetembea ofisi za TTCL makao...

 

10 years ago

StarTV

Kampuni ya Simu TTCL yakanusha kufilisika.

Na Lilian Mtono,

Dar es Salaam.

Wakati taarifa za kufilisika kwa Kampuni ya simu nchini TTCL zikichukua nafasi hivi sasa, kampuni hiyo imekanusha madai hayo ikiwahakikishia watanzania maboresho ya huduma zake yatakayoanza kufanyika hivi karibuni na huduma bora zaidi kuanza kutolewa baadae mwaka huu.

 

Imesema, tayari imekwishasaini makubaliano ya maboresho hayo na kinachosubiriwa sasa ni kuanza kwa utekelezaji wake.

 

TTCL, kampuni tanzu ya huduma za mawasiliano hapa nchini, hivi sasa...

 

10 years ago

Michuzi

Kampuni ya Simu Tanzania TTCL Yazinduwa Dili la Ukweli

KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imezinduwa huduma mpya kabambe ambayo inampa mteja wa kapuni hiyo fursa ya kufurahia modem ya bure na vifurushi vya intaneti kwa bei nafuu, huduma ambayo imetolewa kama ofa kwa wateja hasa katika kuelekea siku kuu za Chrismas na Mwaka mpya.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam juu ya huduma hiyo, Meneja Huduma za Intaneti wa TTCL, Abdul Mombokaleo amesema kampuni ya Simu Tanzania imeamua kuzindua promosheni mpya ya “DILI LA UKWELI” inayotoa fursa ya mteja wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Taso yakanusha madai ya Nanenane

Uongozi wa Chama cha Wakulima (Taso) umekanusha madai yanayotolewa na baadhi ya watu kuwa sherehe za wakulima na maonyesho ya kilimo za Nanenane, hazitafanyika mkoani Lindi kama ilivyopangwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ghana yakanusha madai ya ukimbizi Brazil

Serikali ya Ghana imedai kuwa kashfa kwa mashabiki wa Ghana kuomba hifadhi ya Ukimbizi nchini Brazil

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Ukweli juu ya madai ya kinga ya Vitamini C

Kumekuwa na dhana potofu nyingi za kinga, fahamu ukweli wa Vitamini C.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Fahamu ukweli wa madai ya kinyesi cha ng'ombe hutibu virusi

Kuna imani nyingi zinazosambaa mtandaoni juu ya tiba ya corona, mpaka kinyesi cha ng'ombe kinahusishwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani