Taso yakanusha madai ya Nanenane
Uongozi wa Chama cha Wakulima (Taso) umekanusha madai yanayotolewa na baadhi ya watu kuwa sherehe za wakulima na maonyesho ya kilimo za Nanenane, hazitafanyika mkoani Lindi kama ilivyopangwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili13 Jul
Ghana yakanusha madai ya ukimbizi Brazil
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wKcNQEc4vyc/VkNV9KdfnvI/AAAAAAAAFdg/Zm0-fkDpK1M/s72-c/IMG_0177.jpg)
KAMPUNI YA TTCL YAKANUSHA MADAI YA TEWUTA, YADAI HAYANA UKWELI WOWOTE
![](http://1.bp.blogspot.com/-wKcNQEc4vyc/VkNV9KdfnvI/AAAAAAAAFdg/Zm0-fkDpK1M/s640/IMG_0177.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-g7RKKQtGAVw/VkNWCUc6YRI/AAAAAAAAFdo/W05sSHNQR3I/s640/IMG_0165.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/HgrE5awSMWk/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Odrtl-o9L7k/Vkm4fykd_NI/AAAAAAAAIVo/btUuBboHk-k/s72-c/FSDT-Web-Banner-Extra%2B2.jpg)
TASO YAPATA VIONGOZI WAPYA WA TAIFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Odrtl-o9L7k/Vkm4fykd_NI/AAAAAAAAIVo/btUuBboHk-k/s640/FSDT-Web-Banner-Extra%2B2.jpg)
Hadi sasa TASO ina viwanja vitano vya maonyesho ya nanenane kwenye kanda za Kaskazini-Arusha, kandayalati –Dodoma, Mashariki – Morogoro, NyandazaJuu –Mbeya na Kanda ya Kusini – Lindi. Mfumo wa utendaji wa TASO umeanzia kwenye Kata, Wilaya, Mkoa, Kanda naTaifa.
Juhudi...
11 years ago
Michuzi23 Jul
TASO KUTOA ELIMU KWA WANALINDI KUHUSU UBORESHAJI WA KILIMO
WANANCHI mkoani Lindi wanatarajiwa kuelimishwa njia bora na za kisasa za uvuvi, ufugaji na ukulima ili waweze kuboresha kipato chao na Taifa kwa ujumla. Kauli hiyo imetolewa leo mjini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wakulima Tanzania(TASO) Engelbert Moyo wakati akiongea na waandishi wa habari.
Amesema kuwa wakati wa maonesho ya nanenane ambayo Kitaifa yanafanyika mkoani Lindi watajitahidi kuhakikisha wananchi wanajifunza teknolojia mpya za kilimo,...
9 years ago
StarTV02 Dec
Mwili waharibika kwa madai ya kuhifadhiwa chini kwa  madai ya uzembe Sekou Toure
Mwili wa kijana aliyekuwa akiishi mitaani jijini Mwanza marehemu Baraka Hamisi hatimaye umezikwa baada ya kukosa hifadhi katika jokofu la maiti kwa takribani siku sita katika Hospitali ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure
Marehemu Bakari Hamisi mwenye umri wa miaka 22 kijana wa mitaani aliyekuwa akijishughulisha na biashara ndogondogo alifariki dunia alipokuwa akipelekwa hospitalini hapo na vijana wenzake wa mitaani kwa ajili ya kupata matibabu.
Awali kabla ya kufikwa na mauti, vijana wenzake wa...
10 years ago
Habarileo09 Aug
‘Wakulima fikeni maonesho ya Nanenane’
WAKULIMA wa Kanda ya Mashariki, wameshauriwa kufika kwenye maonesho ya wakulima Nanenane yaliyotarajiwa kumalizika jana katika Uwanja wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, ili kupata elimu ya kilimo.
10 years ago
Pinda11 Aug
Nanenane should demonstrate agricultural techniques
IPPmedia
IPPmedia
Prime Minister Mizengo Pinda has said that Nanenane exhibitions should be considered as demonstration farm of which participants of the exhibitions had an opportunity to learn new farming ideas every year. “These exhibitions are the demo-farm …
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Wizara kuzawadia washindi Nanenane
WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, imeahidi kuwapatia zawadi washindi wote wa kilele cha maonyesho ya Nanenane 2013, kabla ya kuanza yale ya Kanda ya Kati Agosti Mosi mwaka...