TTCL Yakabidhi Mradi wa Huduma za Mawasiliano TBL
Ofisa Mkuu wa Masoko na Mauzo wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Peter Ngota (kulia) akimkabidhi Mkurugenzi wa Fedha wa Kampuni ya TBL, Kevin O'Flaherty hati ya makabidhiano ya mradi wa kuyaunga kimawasiliano ya kisasa matawi ya kampuni ya bia Tanzania (TBL) jana jijini Dar es Salam, hafla hiyo iliyofanyika ofisi za TBL Ilala jijini Dar es Salaam.
Ofisa Mkuu wa Masoko na Mauzo wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Peter Ngota (kulia) akisaini hati ya makabidhiano ya mradi wa kuyaunga...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania13 Jul
TBL yakabidhi mradi wa maji
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), imekabidhi kisima cha maji chenye thamani ya Sh. milioni 69 kwa wakazi wa kata za Yombo Vituka na Mwembe Ladu, Manispaa ya Temeke.
Akizungumza baada ya kuzindua na kukabidhi kisima hicho kwa uongozi wa Serikali ya Mtaa, Ofisa Uhusiano wa TBL, Doris Malulu, alisema mradi huo ni sehemu ya kusaidia jamii kuondokana na kero ya majisafi na salama.
Alisema TBL kupitia kaulimbiu ya 'bila maji hakuna uhai,’ imelenga kuhakikisha jamii inaondokana na kero ya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6YGUAetzQEc/Uwm5aGx3LoI/AAAAAAAFO2Y/PN6qKmyhizI/s72-c/unnamed+(2).jpg)
TTCL yaahidi makubwa mradi wa mawasiliano vijijini
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-X8UhpitKWWw/VNOG8ektyPI/AAAAAAAHCCY/azgbiqrP1ao/s72-c/IMG_6402.jpg)
SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA (NIC) LAKABIDHIWA MRADI WA USIMIKAJI WA HUDUMA YA MKONGO WA TAIFA NA KAMPUNI YA SIMU TANZANIA (TTCL)
![](http://3.bp.blogspot.com/-X8UhpitKWWw/VNOG8ektyPI/AAAAAAAHCCY/azgbiqrP1ao/s1600/IMG_6402.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-69jpcFCMyl0/VNOG80KQAfI/AAAAAAAHCCg/bqVyUsveN2s/s1600/IMG_6404.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mn0-KAy7Q3w/VNOG9FDwWoI/AAAAAAAHCCo/onxYwiqfNwI/s1600/IMG_6415.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eTRF36d7Qps/U1aIEBzD7_I/AAAAAAAFcT8/yMcril5FHUE/s72-c/unnamed+(17).jpg)
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia ashuhudia makampuni ya simu yakiweka saini mkataba wa makabaliano ya usambazaji huduma za mawasiliano vijijini
![](http://4.bp.blogspot.com/-eTRF36d7Qps/U1aIEBzD7_I/AAAAAAAFcT8/yMcril5FHUE/s1600/unnamed+(17).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oYPBc82Rwk8/U1aIFHnaNeI/AAAAAAAFcUE/yoCEBleKf-Y/s1600/unnamed+(18).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
TBL yakabidhi kisima Mvuti
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) imetatua tatizo sugu la maji lililokuwa linaikabili zahanati ya Mvuti, Temeke, Dar es Salaam baada ya kukabidhi kisima kilichogharimu sh milioni 57. Kisima hicho kimezinduliwa...
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
TBL yakabidhi visima 20 Misungwi
WAKAZI wilayani Misungwi, Mwanza wameondokana na kero ya maji baada ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kukarabati visima 20. Visima hivyo vilizinduliwa mwishoni mwa wiki na Waziri wa Maji, Profesa...
11 years ago
Tanzania Daima27 May
TBL yakabidhi kisima Tabata
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), imekabidhi kisima cha maji chenye thamani ya sh milioni 38 katika kituo cha afya cha Tabata NBC. Hatua hiyo itaondoa adha kwa wajawazito ambao walikuwa...
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
TBL yakabidhi kisima Tunduma
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), imekabidhi kisima cha maji chenye uwezo wa kutoa lita 5,000 kwa saa katika Hospitali ya Tunduma, wilayani Momba, Mbeya. Kisima hicho kimekabidhiwa jana na Ofisa...
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
TBL yakabidhi kisima zahanati Makuburi
UHABA wa maji safi na salama uliokuwa unaikabili zahanati ya Makuburi, Wilaya ya Kinondoni umeelezwa ulikuwa unazorotesha huduma za afya katika zahanati hiyo. Changamoto hiyo ilielezwa mwishoni mwa wiki na...