Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAKWATA yachunguza ubadhirifu

KATIBU wa Baraza la Waislamu  Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Dodoma, Hussein Kuzungu, amesema baraza hilo linafanyia uchunguzi  tuhuma za ubadhirifu wa fedha kati ya sh milioni 30 na 40 zinazodaiwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Sweden yachunguza mauaji

Polisi wa Sweden wanaendelea kuchunguza ili kufahamu iwapo mwanamume aliyekuwa amefunika uso wake aliyewaua watu wawili.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi yachunguza mauaji Dar

Mtuhumiwa wa mauaji ya kijana Mahamudu Muhasi, Lucas Muhabe anashikiliwa na Jeshi la Polisi na uchunguzi utakapokamilika atafikishwa mahakamani.

 

11 years ago

Mwananchi

TFF yachunguza usajili wa Domayo

>Shirikisho la Soka (TFF) limedai linachunguza kitendo cha klabu ya Azam FC kumsajili kiungo Frank Domayo wakati akiwa kwenye kambi ya timu ya taifa mjini Mbeya.

 

10 years ago

BBCSwahili

DRC yachunguza mauaji ya wawindaji 4

Serikali ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo ,imeanzisha uchunguzi kufuatia vifo vya wawindaji 4 katika eneo la Bandundu takriban kilometa 270 na mji mkuu Kinshasa.

 

9 years ago

Mwananchi

Aga Khan yachunguza saratani wanawake

Hospitali ya Aga Khan Mwanza imeanza kuwafanyia uchunguzi wa saratani mbalimbali wanawake, huku ikitoa wito kuwataka wajitokeze zaidi ili kujua afya zao.

 

9 years ago

Habarileo

Serikali yachunguza ufisadi wa dola mil 6

SERIKALI inachunguza ufisadi wa Dola za Marekani milioni sita, ambazo Benki ya Stanbic Tanzania pamoja na Kampuni ya Egma ya nchini, iliongeza katika malipo ya ada ya mkopo, ambao Serikali iliomba kwa Benki ya Standard ya Uingereza mwaka 2013.

 

9 years ago

BBCSwahili

Tanzania yachunguza ufisadi mkopo wa Stanbic

Serikali ya Tanzania imesema imeanza uchunguzi wa ufisadi wa Dola milioni 6 uliohusu mkataba wa mkopo kutoka kwa benki ya Stanbic.

 

10 years ago

Vijimambo

FIFA yachunguza upangaji matokeo Tanzania

Boniface Wambura, Mkurugenzi wa Mashindano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Ujumbe wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) upo nchini kuchunguza tuhuma za upangaji matokeo, imefahamika.

Boniface Wambura, Mkurugenzi wa Mashindano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), alisema jana kuwa waamuzi waliosimamishwa na TFF pamoja na watu wengine watahojiwa na ujumbe huo. Matokeo ya uchunguzi huo yatatangazwa na FIFA baada ya shughuli hiyo kukamilika.

"Tunaendelea kuwahimiza wanafamilia wa mpira...

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi yachunguza wanne waliompiga mgombea urais

Jeshi la Polisi limesema lipo katika hatua za mwisho za kukamilisha upelelezi wa tukio la askari wa CCM kumshambulia mtangazania ya urais kupitia chama hicho, Dk Muzzammil Kalokola.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani