DRC yachunguza mauaji ya wawindaji 4
Serikali ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo ,imeanzisha uchunguzi kufuatia vifo vya wawindaji 4 katika eneo la Bandundu takriban kilometa 270 na mji mkuu Kinshasa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili23 Oct
Sweden yachunguza mauaji
Polisi wa Sweden wanaendelea kuchunguza ili kufahamu iwapo mwanamume aliyekuwa amefunika uso wake aliyewaua watu wawili.
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Polisi yachunguza mauaji Dar
Mtuhumiwa wa mauaji ya kijana Mahamudu Muhasi, Lucas Muhabe anashikiliwa na Jeshi la Polisi na uchunguzi utakapokamilika atafikishwa mahakamani.
11 years ago
BBCSwahili11 Apr
Athari za mauaji ya kimbari ni wazi DRC
Athari za mauaji ya kimbari yaliyotokea Rwanda ni wazi katika jamhuri ya kidemokrasia ya Congo nchi waliokimbilia wahutui wengi.
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Wawindaji wapigwa risasi Selous
Watu wawili wamelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kupigwa risasi na askari wa wanyamapori wa Pori la Akiba la Selous.
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Ripoti: Wawindaji halali ndiyo wanaovuna tembo
>Ongezeko la kasi ya ujangili nchini limedaiwa kusababishwa na vitendo vya rushwa, matumizi mabaya ya madaraka na mfumo dhaifu wa usimamizi wa sheria katika Wizara ya Maliasili na Utalii.
9 years ago
BBCSwahili16 Dec
Wawindaji kutoka Qatar watekwa nyara Iraq
Watu wenye silaha wamewateka nyara wawindani 27 kutoka Qatar, miongoni mwao watu wa familia ya kifalme.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CVXPSWgF6sM/XlvG_C4doQI/AAAAAAABDSo/coxLGyhPNFAHgfyd1XrSiq3dkbGTN-PMQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200301-WA0018.jpg)
TAWA YAINGIZA BILIONI 16.8 KUTOKA KWA WAWINDAJI WA KITALII 519
![](https://1.bp.blogspot.com/-CVXPSWgF6sM/XlvG_C4doQI/AAAAAAABDSo/coxLGyhPNFAHgfyd1XrSiq3dkbGTN-PMQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200301-WA0018.jpg)
Naibu Kamishna wa TAWA, Iman Nkuwi alisema wawindaji wanaokuja nchini wameongezeka kutoka 434 wa mwaka 2018/19 Jana hadi kufikia 519 mwaka 2-19/20
Nkuwi amesema kipindi cha uwindaji wa kitalii hufanyika kuanzia mwezi julai hadi Desemba kila mwaka.
Amesema mapato hayo ya uwindaji kiasi cha sh 16.8 bilioni kitakacholipwa na wawindaji 519,...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
BAKWATA yachunguza ubadhirifu
KATIBU wa Baraza la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Dodoma, Hussein Kuzungu, amesema baraza hilo linafanyia uchunguzi tuhuma za ubadhirifu wa fedha kati ya sh milioni 30 na 40 zinazodaiwa...
11 years ago
Mwananchi02 May
TFF yachunguza usajili wa Domayo
>Shirikisho la Soka (TFF) limedai linachunguza kitendo cha klabu ya Azam FC kumsajili kiungo Frank Domayo wakati akiwa kwenye kambi ya timu ya taifa mjini Mbeya.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania