Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DRC yachunguza mauaji ya wawindaji 4

Serikali ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo ,imeanzisha uchunguzi kufuatia vifo vya wawindaji 4 katika eneo la Bandundu takriban kilometa 270 na mji mkuu Kinshasa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Sweden yachunguza mauaji

Polisi wa Sweden wanaendelea kuchunguza ili kufahamu iwapo mwanamume aliyekuwa amefunika uso wake aliyewaua watu wawili.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi yachunguza mauaji Dar

Mtuhumiwa wa mauaji ya kijana Mahamudu Muhasi, Lucas Muhabe anashikiliwa na Jeshi la Polisi na uchunguzi utakapokamilika atafikishwa mahakamani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Athari za mauaji ya kimbari ni wazi DRC

Athari za mauaji ya kimbari yaliyotokea Rwanda ni wazi katika jamhuri ya kidemokrasia ya Congo nchi waliokimbilia wahutui wengi.

 

10 years ago

Mwananchi

Wawindaji wapigwa risasi Selous

Watu wawili wamelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kupigwa risasi na askari wa wanyamapori wa Pori la Akiba la Selous.

 

11 years ago

Mwananchi

Ripoti: Wawindaji halali ndiyo wanaovuna tembo

>Ongezeko la kasi ya ujangili nchini limedaiwa kusababishwa na vitendo vya rushwa, matumizi mabaya ya madaraka na mfumo dhaifu wa usimamizi wa sheria katika Wizara ya Maliasili na Utalii.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wawindaji kutoka Qatar watekwa nyara Iraq

Watu wenye silaha wamewateka nyara wawindani 27 kutoka Qatar, miongoni mwao watu wa familia ya kifalme.

 

5 years ago

Michuzi

TAWA YAINGIZA BILIONI 16.8 KUTOKA KWA WAWINDAJI WA KITALII 519

Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori(TAW) inatarajiwa kupokea Wawindaji wa kitalii 519 mwaka 2020 ambao wataingiza mapato kiasi cha shilingi bilioni 16.8

Naibu Kamishna wa TAWA, Iman Nkuwi alisema wawindaji wanaokuja nchini wameongezeka kutoka 434 wa mwaka 2018/19 Jana hadi kufikia 519 mwaka 2-19/20

Nkuwi amesema kipindi cha uwindaji wa kitalii hufanyika kuanzia mwezi julai hadi Desemba kila mwaka.

Amesema mapato hayo ya uwindaji kiasi cha sh 16.8 bilioni kitakacholipwa na wawindaji 519,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

BAKWATA yachunguza ubadhirifu

KATIBU wa Baraza la Waislamu  Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Dodoma, Hussein Kuzungu, amesema baraza hilo linafanyia uchunguzi  tuhuma za ubadhirifu wa fedha kati ya sh milioni 30 na 40 zinazodaiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

TFF yachunguza usajili wa Domayo

>Shirikisho la Soka (TFF) limedai linachunguza kitendo cha klabu ya Azam FC kumsajili kiungo Frank Domayo wakati akiwa kwenye kambi ya timu ya taifa mjini Mbeya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani