TAWA YAINGIZA BILIONI 16.8 KUTOKA KWA WAWINDAJI WA KITALII 519
![](https://1.bp.blogspot.com/-CVXPSWgF6sM/XlvG_C4doQI/AAAAAAABDSo/coxLGyhPNFAHgfyd1XrSiq3dkbGTN-PMQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200301-WA0018.jpg)
Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori(TAW) inatarajiwa kupokea Wawindaji wa kitalii 519 mwaka 2020 ambao wataingiza mapato kiasi cha shilingi bilioni 16.8
Naibu Kamishna wa TAWA, Iman Nkuwi alisema wawindaji wanaokuja nchini wameongezeka kutoka 434 wa mwaka 2018/19 Jana hadi kufikia 519 mwaka 2-19/20
Nkuwi amesema kipindi cha uwindaji wa kitalii hufanyika kuanzia mwezi julai hadi Desemba kila mwaka.
Amesema mapato hayo ya uwindaji kiasi cha sh 16.8 bilioni kitakacholipwa na wawindaji 519,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania24 Feb
Sekta ya utalii yaingiza dola bilioni 2 kwa mwaka
NA ADAM MKWEPU DAR ES SALAAM
GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu, amesema sekta ya utalii nchini inaongoza kwa kuliingizia taifa fedha za kigeni na kufikia dola za Marekani bilioni 2 kwa mwaka kutokana na hali ya mabadiliko ya mfumo wa mapato hayo.
Kauli hiyo aliitoa jana jijini Dar es Salaam katika mkutano wa mwaka ulioandaliwa na taasisi inayoshughulika na mambo ya utafiti wa kupunguza umasikini (Repoa), ambapo aliitaja sekta ya madini hasa ya dhahabu kuwa ya pili...
5 years ago
MichuziWaziri Biteko: Sekta ya Madini inaongoza kwa ukuaji wa uchumi nchini,makusanyo yamepaa kutoka Bilioni 39/- hadi Bilioni 58/- kwa mwezi
9 years ago
BBCSwahili16 Dec
Wawindaji kutoka Qatar watekwa nyara Iraq
10 years ago
MichuziIDARA YA UHAMIAJI YAINGIZA SH.BILIONI 474 AWAMU YA NNE YA RAIS JAKAYA KIKWETE
Akizungumza na waandishi wa habari leo Kamishina wa Fedha na Utawala,Piniel Mgonja amesema kuwa katika awamu ya nne uhamiaji imeweza kufanya kazi ya kisasa kutokana na mifumo pamoja na ujenzi wa Chuocha kuendeleza maafisa wa idara hiyo.
Amesema katika utoaji wa hati ya kusafiria...
10 years ago
Michuzi10 Dec
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TxdS1VylyJk/VBbdxUBhr_I/AAAAAAACq8Y/Uc9iC2f2CNg/s72-c/New%2BPicture.png)
Bilioni 3 kutumika mwaka wa masomo 2014 — 2015 kutoka mfuko wa pensheni wa LAPF kwa wanachama wake.
![](http://1.bp.blogspot.com/-TxdS1VylyJk/VBbdxUBhr_I/AAAAAAACq8Y/Uc9iC2f2CNg/s1600/New%2BPicture.png)
Bilioni 3 kutumika mwaka wa masomo 2014 – 2015 kutoka mfuko wa pensheni wa LAPF kwa wanachama wake.
15 Septemba 2014, Dodoma: Wanachama wa mfuko wa penseni wa LAPF kunufaika na fao jipya lilozinduliwa hivi karibuni nchini kwa Baraka zake Waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI Mh. Hawa Ghasia.
Fao hilo lijulikanalo kama ‘Piga Kitabu na LAPF’ limelenga kuwakopesha wanachama wa LAPF mikopo ya elimu ya juu kwani ni ombi la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Rcl26_3Tv_U/XocIwP63-5I/AAAAAAALl5k/HrbMjjTv0S4m_JXwPWInQFGQs0_ah-4PwCLcBGAsYHQ/s72-c/2e4b49ca-049e-428c-9201-d413b033693c.jpg)
KINONDONI YAPULIZA DAWA HOTELI ZA KITALII KUDHIBITI CORONA KWA KUTUMIA MAGARI YA ZIMAMOTO
Hatua hiyo ni muendelezo wa mkakati uliowekwa na Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe. Daniel Chongolo, Mkurugenzi Aron Kagurumjuli, Mstahiki Meya Benjamini Sitta, pamoja na Mganga mkuu Samweli Laizar kwa pamoja, katika kuhakikisha kuwa maambukizi ya Virus hivyo hayasambai kwa wananchi na hivyo wanaendelea kuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ap7xMJ_Wsv4/XmEwAWmsqzI/AAAAAAACDnw/L4LxrGv9usgoSfWdtWb_-wFzwuT3NbCNwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200305-WA0028.jpg)
Wafanyakazi zaidi ya 50 hoteli ya kitalii Ngurdoto waandamana kwa DC Arumeru wakidai malipo yao
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ap7xMJ_Wsv4/XmEwAWmsqzI/AAAAAAACDnw/L4LxrGv9usgoSfWdtWb_-wFzwuT3NbCNwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200305-WA0028.jpg)
Wakiongea mbele ya Mkuu huyo wa wilaya wamedai kuwa pamoja na kutolipwa mishahara yao ,wanadai makato ya mfuko wa kijamii wa nssf yamekuwa hayapelekwi na kupatà usumbufu mkubwa wanapoacha ama kuachishwa kazi .
Madai mengine ni wafanyakazi wa...
9 years ago
MichuziTANZANIA YAPOKEA BILIONI 210 KUTOKA JAPANI