TANZANIA YAPOKEA BILIONI 210 KUTOKA JAPANI
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile na Balozi wa Japani nchini Bw. Masaharu Yoshida wakibadilishana hati ya mkataba wa mkopo wa Shilingi Bilioni 210 kwa ajili ya mradi wa Umeme kati ya Tanzania na Kenya.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile na Balozi wa Japani nchini Bw.Masaharu Yoshida wakisaini mkataba wa mkopo. Nyuma yao kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Eng. Omar Chambo, kulia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Japani Seiji Kihara wakishuhudia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gj8ZN9WOYRI/VD_eFr2DKYI/AAAAAAACRss/EDwLFAF_HQI/s72-c/01%2B(1).jpg)
SERIKALI YA TANZANIA YAPOKEA ZAIDI YA SH. BILIONI 10 KUTOKA FINLAND
![](http://4.bp.blogspot.com/-gj8ZN9WOYRI/VD_eFr2DKYI/AAAAAAACRss/EDwLFAF_HQI/s1600/01%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RFtYcx6n_wk/VD_eGVb_wKI/AAAAAAACRs0/AXKAQucroXs/s1600/02.jpg)
11 years ago
Michuzi25 Jul
SERIKALI YAPOKEA MABEHEWA 25 YENYE THAMANI YA SH.BILIONI 4.3 KUTOKA INDIA
11 years ago
Mwananchi22 Jan
NSSF yapokea maombi ya Sh1 bilioni kutoka Saccos mkoani Mtwara
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
Serikali ya Tanzania yapokea zaidi ya Sh. Bilioni 10
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Bi. Doroth Mwanyika (kushoto) akitia saini mkataba wa ushirikiano wa Mpango wa Mageuzi ya Usimamizi wa Fedha za Umma (PFM) Awamu ya IV kwa niaba ya Serikali ya Tanzania leo jijini Dar es salaam. Kulia ni Balozi wa Finland nchini Bi. Sanikka Antila.
Na Eleuteri Mangi –MAELEZO
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepokea Sh. Bilioni 10.1 ambazo ni sawa na EURO milioni 4.8 kutika Serilkali ya Finland ikiwa kwa lengo la ushirikiano wa Mpango wa Mageuzi...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2eziVztQsew/U3S5X-KjmaI/AAAAAAAFh34/LuO0eG6m9vU/s72-c/unnamed+(13).jpg)
Tanzania Yapokea Msaada wa sh .Bilion 151 kutoka Sweden
![](http://1.bp.blogspot.com/-2eziVztQsew/U3S5X-KjmaI/AAAAAAAFh34/LuO0eG6m9vU/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n1o5I5wslUc/U3S5bZRwYqI/AAAAAAAFh4A/wQozo5mLhuw/s1600/unnamed+(14).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Dm2XoTcgxX8/VjppIV_9LvI/AAAAAAAIEIs/-sBfaMi0TbQ/s72-c/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
Tanzania yapokea Euro milioni 158.5 kutoka Ujerumani
5 years ago
MichuziSerikali yapokea msaada wa shilingi bilioni 14.9
Na WAMJW-Dar es Salaam
Serikali imepokea msaada wa shilingi bilioni 14.9 kutoka Global Fund, Airtel Tanzania, Rotary Club Tanzania ambazo sehemu kubwa zitatumika kununua vifaa kinga kwa watumishi wa afya na vifaa tiba kwa ajili ya kuwahudumia wagonjwa wenye maambukizi ya COVID-19.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ameyasema hayo leo wakati akipokea msaada wa fedha na lita 1,250 za vitakasa mikono ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za Serikali za...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0VoepXUNrlc/VYvhdO6O5AI/AAAAAAAHj4c/ZqSyed7Rpsc/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
UTUMISHI YAWAAGA WATAALAMU 12 WA KUJITOLEA KUTOKA JAPANI WALIOMALIZA MUDA WA KUTOA HUDUMA NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-0VoepXUNrlc/VYvhdO6O5AI/AAAAAAAHj4c/ZqSyed7Rpsc/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZXboBr1xgaE/VYvhdMIt-WI/AAAAAAAHj4g/1zMc6GyVqNo/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
MichuziUTUMISHI YAWAAGA WATAALAMU 12 WA KUJITOLEA KUTOKA JAPANI WALIOMALIZA MUDA WA KUTOA HUDUMA HAPA NCHINI