Serikali ya Tanzania yapokea zaidi ya Sh. Bilioni 10
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Bi. Doroth Mwanyika (kushoto) akitia saini mkataba wa ushirikiano wa Mpango wa Mageuzi ya Usimamizi wa Fedha za Umma (PFM) Awamu ya IV kwa niaba ya Serikali ya Tanzania leo jijini Dar es salaam. Kulia ni Balozi wa Finland nchini Bi. Sanikka Antila.
Na Eleuteri Mangi –MAELEZO
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepokea Sh. Bilioni 10.1 ambazo ni sawa na EURO milioni 4.8 kutika Serilkali ya Finland ikiwa kwa lengo la ushirikiano wa Mpango wa Mageuzi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gj8ZN9WOYRI/VD_eFr2DKYI/AAAAAAACRss/EDwLFAF_HQI/s72-c/01%2B(1).jpg)
SERIKALI YA TANZANIA YAPOKEA ZAIDI YA SH. BILIONI 10 KUTOKA FINLAND
![](http://4.bp.blogspot.com/-gj8ZN9WOYRI/VD_eFr2DKYI/AAAAAAACRss/EDwLFAF_HQI/s1600/01%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RFtYcx6n_wk/VD_eGVb_wKI/AAAAAAACRs0/AXKAQucroXs/s1600/02.jpg)
5 years ago
MichuziSerikali yapokea msaada wa shilingi bilioni 14.9
Na WAMJW-Dar es Salaam
Serikali imepokea msaada wa shilingi bilioni 14.9 kutoka Global Fund, Airtel Tanzania, Rotary Club Tanzania ambazo sehemu kubwa zitatumika kununua vifaa kinga kwa watumishi wa afya na vifaa tiba kwa ajili ya kuwahudumia wagonjwa wenye maambukizi ya COVID-19.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ameyasema hayo leo wakati akipokea msaada wa fedha na lita 1,250 za vitakasa mikono ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za Serikali za...
11 years ago
Michuzi25 Jul
SERIKALI YAPOKEA MABEHEWA 25 YENYE THAMANI YA SH.BILIONI 4.3 KUTOKA INDIA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pPhQ23H-Qu0/VIBgsCtUVZI/AAAAAAACv40/piaxz0ZVTpI/s72-c/01.jpg)
Saudia yaipatia Serikali ya Tanzania zaidi ya Sh. bilioni 45 kuboresha huduma za jamii nchini.
![](http://2.bp.blogspot.com/-pPhQ23H-Qu0/VIBgsCtUVZI/AAAAAAACv40/piaxz0ZVTpI/s1600/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EiSnWBWqEwM/VIBgrzFI0xI/AAAAAAACv4w/EFYPJG8KuO8/s1600/02.jpg)
11 years ago
Dewji Blog08 May
Serikali ya Tanzania yasaini msaada wa zaidi ya Sh. Bilioni 134 kusaidia sekta ya kilimo na usafirishaji
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kulia) akisaini mkataba wa msaada wa sh. Bilioni 134 kwa niaba ya Serikali ya Tanzania leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Balozi EU nchini Filiberto Ceriani Sebregondi.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kulia) akibadilishana hati ya mkataba wa msaada wa sh. Bilioni 134 waliosaini kwa niaba ya Serikali ya Tanzania leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Balozi EU nchini Filiberto Ceriani Sebregondi.(Picha na Wizara ya...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cQBbNUVLyrE/U2xvWU187II/AAAAAAAFgbQ/lTR6Pf8_UDc/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Serikali ya Tanzania yasaini msaada wa zaidi ya Sh. Bilioni 134 kusaidia sekta ya kilimo na usafirishaji
![](http://3.bp.blogspot.com/-cQBbNUVLyrE/U2xvWU187II/AAAAAAAFgbQ/lTR6Pf8_UDc/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rs10SNH6hyI/U2xvWjPPWUI/AAAAAAAFgbU/m0dLreWyiuo/s1600/unnamed+(2).jpg)
9 years ago
MichuziTANZANIA YAPOKEA BILIONI 210 KUTOKA JAPANI
11 years ago
Dewji Blog13 Jun
Tiper yaikabidhi Serikali gawio la zaidi ya shilingi bilioni 1
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servarcius Likwelile (wa pili kushoto) akipokea hundi yyenye thamani y ash. Bilioni moja ktoka TIPER gawio la hisa katika hafla iliyofanyika leo mjini Dodoma. Wa kwanza kshoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa TIPER Daniel Belair, Wa pili kulia ni Mwenyekiti Mtendaji wa Bodi ya Wakurugenzi ya TIPER Prof. Abdulkarim Mruma na Wizara ya fedha Kaimu Msajili wa Hazina Elius Mwakabinga (wa kwanza kulia).
Serikali imepokea shilingi bilioni moja kutoka TIPER ikiwa ni gawio...