Tanzania yapokea Euro milioni 158.5 kutoka Ujerumani
![](http://2.bp.blogspot.com/-Dm2XoTcgxX8/VjppIV_9LvI/AAAAAAAIEIs/-sBfaMi0TbQ/s72-c/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yasaini mkataba wa jumla ya Euro milioni 158.5 na Serikali ya Ujerumani wenye lengo la kusaidia Bajeti ya Serikali pamoja na msaada wa kiufundi. Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dkt. Servacius Likwelie aliposaini mkataba huo na Balozi wa Ujerumani nchini Tanzania Bw. Egon Kochanke leo jijini Dar es salaam Dkt. Likwelile alisema kuwa lengo kuu la fedha hizo zitaelekezwa katika sekta ya Afya, Mazingira,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0001.jpg)
SERIKALI YA UJERUMANI KUTUMIA EURO MILIONI 10 KUKARABATI RELI YA KATI
11 years ago
Michuzi24 Jun
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7GwUaOKoKvs/Xr6aJ0QnzlI/AAAAAAALqWg/VTimD9DfHPwAD8SwWvDMtDYZoXaj4XWXQCLcBGAsYHQ/s72-c/97dcc94a-538e-484e-abbb-f91eb432a7e8.jpg)
Serikali yapokea vifaakinga vya shilingi milioni 700/- kutoka serikali ya China
Msaada huo umetoleowa leo katika Bohari ya Dawa (Medical Stores Department) na kupokelewa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Prof. Mabula Mchembe.
Prof. Mchembe amesema kwamba msaada huo umekuja wakati mzuri kwani utawasaidia watumishi wa afya katika mapambano dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona...
11 years ago
Dewji Blog26 Jun
Manyoni yalipa fidia zaidi ya shilingi 158 milioni kupisha zoezi la huduma ya umeme vijijini
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya Manyoni Mseya, akitoa taafira yake ya ulipaji fidia kwa baadhi ya wakazi wa kijiji cha Maweni, Mwanzi na Lusillile ili wapishe mradi wa njia ya umeme 400 KV.
Na Nathaniel Limu, Manyoni
HALMASHAURI ya wilaya ya Manyoni mkoani Singida, imetumia zaidi ya shilingi 158 milioni kulipa fidia kwa baadhi ya wakazi wa vijiji vitatu,ili kupisha zoezi la utoaji wa huduma ya umeme vijijini.
Fidia hiyo imetolewa mapema mwaka huu kwa wakazi wa vijiji vya...
9 years ago
MichuziTANZANIA YAPOKEA BILIONI 210 KUTOKA JAPANI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2eziVztQsew/U3S5X-KjmaI/AAAAAAAFh34/LuO0eG6m9vU/s72-c/unnamed+(13).jpg)
Tanzania Yapokea Msaada wa sh .Bilion 151 kutoka Sweden
![](http://1.bp.blogspot.com/-2eziVztQsew/U3S5X-KjmaI/AAAAAAAFh34/LuO0eG6m9vU/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n1o5I5wslUc/U3S5bZRwYqI/AAAAAAAFh4A/wQozo5mLhuw/s1600/unnamed+(14).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gj8ZN9WOYRI/VD_eFr2DKYI/AAAAAAACRss/EDwLFAF_HQI/s72-c/01%2B(1).jpg)
SERIKALI YA TANZANIA YAPOKEA ZAIDI YA SH. BILIONI 10 KUTOKA FINLAND
![](http://4.bp.blogspot.com/-gj8ZN9WOYRI/VD_eFr2DKYI/AAAAAAACRss/EDwLFAF_HQI/s1600/01%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RFtYcx6n_wk/VD_eGVb_wKI/AAAAAAACRs0/AXKAQucroXs/s1600/02.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SiC7H6vLh-Y/UzSKA02taVI/AAAAAAAFW8I/OULL0h7UsPI/s72-c/unnamed+(25).jpg)
MABALOZI WA AFRIKA, KARIBIANI NA PASIFIKI (ACP) WAIDHINISHA EURO MILIONI 350 MILIONI ZA KUSAIDIA KULINDA AMANI AFRIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-SiC7H6vLh-Y/UzSKA02taVI/AAAAAAAFW8I/OULL0h7UsPI/s1600/unnamed+(25).jpg)