Serikali ya Ujerumani Yaahidi Kutoa Msaada wa Euro Milioni Moja Kusaidia uhifadhi wa pori la akiba selous
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Wafugaji wavamia Pori la Akiba la Selous
MOROGORO ni miongoni mwa mikoa iliyogubikwa na migogoro ya wakulima na wafugaji. Hali hiyo imesababisha mapigano ya mara kwa mara huku baadhi yao wakibaki na ulemavu na wengine kupoteza maisha....
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
Wanyama watoweka pori la akiba la Selous
UJANGILI bado ni tishio kubwa kwa taifa hili, umesababisha baadhi ya wanyama waliokuwa wakipatikana karibu na maeneo ya pembezoni mwa barabara ya Kisaki kuelekea kwenye pori la akiba la Selous...
11 years ago
KwanzaJamii13 Jul
Kipi bora kati ya uranium au pori la akiba Selous
Kipi ni bora kati ya uranium au pori la Selous kwa uchumi endelevu?
KIPI ni bora kuendelea kuwa na pori la akiba la Selous ambalo ni uchumi endelevu au kuwa na mgodi wa madini ya uranium ndani ya hifadhi ambao utaingiza mapato kwa muda mfupi na kusababisha athari za kimazingira ambazo ni endelevu.
Kwa mujibu wa taarifa ya katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini ya Septemba 4,2013,Manufaa mbalimbali yanatarajiwa kupatikana kutokana na mradi wa uchimbaji wa Urani mto Mkuju ndani ya pori la...
11 years ago
MichuziWANDISHI KUTOKA AFRIKA KUSINI WATEMBELEA PORI LA AKIBA LA SELOUS
Na Geofrey Tengeneza - Selous
Kundi la wandshi wa habari tisa kutoka vyombo vya habari vya Serikali na binafsi nchini Afrika Kusini wametembelea Pori la Akiba la Selous na kufurahishwa na vivutio vllivyomo katika pori hilo wakiwemo wanyama kama Simba, tembo, twiga, na ndege wa aina mbali mbali.
Wandishi hao walivutiwa na kufurahia sana kuwaona hasa Simba na tembo kiasi cha miongoni mwao Kulikiri kuwa ni mara yao kwanza kuwaona wanyama hao kwa macho yao wakiwa katika maisha yao ya asili...
Kundi la wandshi wa habari tisa kutoka vyombo vya habari vya Serikali na binafsi nchini Afrika Kusini wametembelea Pori la Akiba la Selous na kufurahishwa na vivutio vllivyomo katika pori hilo wakiwemo wanyama kama Simba, tembo, twiga, na ndege wa aina mbali mbali.
Wandishi hao walivutiwa na kufurahia sana kuwaona hasa Simba na tembo kiasi cha miongoni mwao Kulikiri kuwa ni mara yao kwanza kuwaona wanyama hao kwa macho yao wakiwa katika maisha yao ya asili...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0001.jpg)
SERIKALI YA UJERUMANI KUTUMIA EURO MILIONI 10 KUKARABATI RELI YA KATI
Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe Bernard Membe na mgeni wake Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani nchini, Dkt Frank-Walter Steinmeier wakiwasili kwenye chumba cha mkutano kuzungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar.(Picha na Zainul Mzige wa MObog). Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Dkt. Frank Steinmeier akizungumza waandishi wa habari kwenye mkutano huo jijini Dar es Salaam na kuelezea...
5 years ago
Michuzi5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eNIJGM8CpQs/XutMjQddinI/AAAAAAALubw/rJuO_P9THmAH3_oJ6A2jRAI7RqbSyoeKQCLcBGAsYHQ/s72-c/Mkenda.jpg)
SERIKALI YAPELEKA WATAALAM KUWEKA MIPAKA YA KUWA NA PORI LA AKIBA ZIWA NATRON
SERIKALI imepeleka wataalam kwenda kuanza mchakato wa kuweka mipaka ya kuwa na Pori la Akiba (Game Reserve) la Bonde la Ziwa Natron na sehemu nyingine itakayokuwa na makazi ya watu (WMA).
Akizungumza kwa simu na mtandao huu, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Profesa Adolf Mkenda, alisema serikali bado haijatangaza eneo hilo kuwa Pori la Akiba bali kinachoendelea kwa sasa ni kamati ya wataalamu kukutana na viongozi wa vijiji na watu wengine ili kukubaliana kwa pamoja.
Katibu Mkuu...
Akizungumza kwa simu na mtandao huu, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Profesa Adolf Mkenda, alisema serikali bado haijatangaza eneo hilo kuwa Pori la Akiba bali kinachoendelea kwa sasa ni kamati ya wataalamu kukutana na viongozi wa vijiji na watu wengine ili kukubaliana kwa pamoja.
Katibu Mkuu...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SiC7H6vLh-Y/UzSKA02taVI/AAAAAAAFW8I/OULL0h7UsPI/s72-c/unnamed+(25).jpg)
MABALOZI WA AFRIKA, KARIBIANI NA PASIFIKI (ACP) WAIDHINISHA EURO MILIONI 350 MILIONI ZA KUSAIDIA KULINDA AMANI AFRIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-SiC7H6vLh-Y/UzSKA02taVI/AAAAAAAFW8I/OULL0h7UsPI/s1600/unnamed+(25).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania