WANDISHI KUTOKA AFRIKA KUSINI WATEMBELEA PORI LA AKIBA LA SELOUS
Na Geofrey Tengeneza - Selous
Kundi la wandshi wa habari tisa kutoka vyombo vya habari vya Serikali na binafsi nchini Afrika Kusini wametembelea Pori la Akiba la Selous na kufurahishwa na vivutio vllivyomo katika pori hilo wakiwemo wanyama kama Simba, tembo, twiga, na ndege wa aina mbali mbali.
Wandishi hao walivutiwa na kufurahia sana kuwaona hasa Simba na tembo kiasi cha miongoni mwao Kulikiri kuwa ni mara yao kwanza kuwaona wanyama hao kwa macho yao wakiwa katika maisha yao ya asili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
Wanyama watoweka pori la akiba la Selous
UJANGILI bado ni tishio kubwa kwa taifa hili, umesababisha baadhi ya wanyama waliokuwa wakipatikana karibu na maeneo ya pembezoni mwa barabara ya Kisaki kuelekea kwenye pori la akiba la Selous...
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Wafugaji wavamia Pori la Akiba la Selous
MOROGORO ni miongoni mwa mikoa iliyogubikwa na migogoro ya wakulima na wafugaji. Hali hiyo imesababisha mapigano ya mara kwa mara huku baadhi yao wakibaki na ulemavu na wengine kupoteza maisha....
11 years ago
KwanzaJamii13 Jul
Kipi bora kati ya uranium au pori la akiba Selous
11 years ago
Michuzi24 Jun
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5ScASxO7TXY/VCq67tj-ilI/AAAAAAAGmvk/IMGqw7n1nFw/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
MAAFISA KUTOKA AFRIKA KUSINI WATEMBELEA WIZARA YA NISHATI NA MADINI
Maafisa Wakuu 35 kutoka Chuo cha Ulinzi wa Taifa cha Afrika Kusini (South African National Defence College – NDC), wametembelea Makao Makuu ya Wizara ya Nishati na Madini Septemba 30, 2014 kwa lengo la kujifunza kuhusu Sera ya Tanzania kuhusu vyanzo vya nishati nchini hususan mafuta, gesi, makaa ya mawe na uvumbuzi wa madini mengine na changamoto zake.
Maafisa hao waliongozwa na Mkuu wa Chuo Brigedia Jenerali G.M. Yekelo pamoja na Maafisa kutoka...
10 years ago
VijimamboUJUMBE WA MAOFISA WA UMOJA WA BENKI ZA AKIBA DUNIANI KANDA YA AFRIKA WATEMBELEA ZANZIBAR
11 years ago
Habarileo28 Feb
Ujangili wasababisha Pori la Selous kugawanywa kanda 8
KATIKA kukabiliana na ujangili katika Pori la Akiba la Selous, Serikali imegawa pori hilo katika kanda nane ili zijitegemee.
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Bora kipi kwa uchumi, urani au pori la Selous
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eNIJGM8CpQs/XutMjQddinI/AAAAAAALubw/rJuO_P9THmAH3_oJ6A2jRAI7RqbSyoeKQCLcBGAsYHQ/s72-c/Mkenda.jpg)
SERIKALI YAPELEKA WATAALAM KUWEKA MIPAKA YA KUWA NA PORI LA AKIBA ZIWA NATRON
Akizungumza kwa simu na mtandao huu, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Profesa Adolf Mkenda, alisema serikali bado haijatangaza eneo hilo kuwa Pori la Akiba bali kinachoendelea kwa sasa ni kamati ya wataalamu kukutana na viongozi wa vijiji na watu wengine ili kukubaliana kwa pamoja.
Katibu Mkuu...