Ujangili wasababisha Pori la Selous kugawanywa kanda 8
KATIKA kukabiliana na ujangili katika Pori la Akiba la Selous, Serikali imegawa pori hilo katika kanda nane ili zijitegemee.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Wafugaji wavamia Pori la Akiba la Selous
MOROGORO ni miongoni mwa mikoa iliyogubikwa na migogoro ya wakulima na wafugaji. Hali hiyo imesababisha mapigano ya mara kwa mara huku baadhi yao wakibaki na ulemavu na wengine kupoteza maisha....
11 years ago
Tanzania Daima27 Mar
Wanyama watoweka pori la akiba la Selous
UJANGILI bado ni tishio kubwa kwa taifa hili, umesababisha baadhi ya wanyama waliokuwa wakipatikana karibu na maeneo ya pembezoni mwa barabara ya Kisaki kuelekea kwenye pori la akiba la Selous...
11 years ago
KwanzaJamii13 Jul
Kipi bora kati ya uranium au pori la akiba Selous
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Bora kipi kwa uchumi, urani au pori la Selous
11 years ago
MichuziWANDISHI KUTOKA AFRIKA KUSINI WATEMBELEA PORI LA AKIBA LA SELOUS
Kundi la wandshi wa habari tisa kutoka vyombo vya habari vya Serikali na binafsi nchini Afrika Kusini wametembelea Pori la Akiba la Selous na kufurahishwa na vivutio vllivyomo katika pori hilo wakiwemo wanyama kama Simba, tembo, twiga, na ndege wa aina mbali mbali.
Wandishi hao walivutiwa na kufurahia sana kuwaona hasa Simba na tembo kiasi cha miongoni mwao Kulikiri kuwa ni mara yao kwanza kuwaona wanyama hao kwa macho yao wakiwa katika maisha yao ya asili...
11 years ago
Michuzi24 Jun
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
‘Ujangili wapungua Selous’
KUTOKANA na jitihada kadhaa zilizofanywa na serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii juu ya mapambano dhidi ya ujangili, idadi ya Tembo katika mbuga ya Selous imeanza kuongezeka. Hiyo inatokana...
10 years ago
CloudsFM22 Jan
MAREKANI NA UJERUMANI WATOA VIFAA VYA KISASA KUKABILIANA NA UJANGILI MBUGA YA SELOUS
Meneja wa Mbuga ya wanyama ya Selous, Benson Kibonde akimpatia maelezo kuhusu masalia ya injini ya mvuke iliyoachwa na Wajerumani, kwa Waziri wa Maliasili na Utalii Lazao Nyalandu (kushoto), waziri huyo alipofika katika mbuga hiyo, kufanya shughuli mbalimbali ikiwemo kupokeavifaa vya kukabiliana na ujangili vilivyotolewa na serikali za Marekani na Ujerumani kwa ajili ya Mbuga ya Selous.
Maelezo kuhusu masalia hayo ya injini hiyo ya moshi iliyoachwa na wajerumani Benson Kibonge.
Waziri Nyalandu...
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Marekani na Ujerumani waipa Tanzania vifaa vya kisasa kukabiliana na ujangili mbuga ya Selous
![](http://2.bp.blogspot.com/-6dmZbxSn4jE/VMA0542XlFI/AAAAAAAAse4/EknWe-__BIA/s1600/1.jpg)
Meneja wa Mbuga ya wanyama ya Selous, Benson Kibonde akimpatia maelezo kuhusu masalia ya injini ya mvuke iliyoachwa na Wajerumani, kwa Waziri wa Maliasili na Utalii Lazao Nyalandu (kushoto), waziri huyo alipofika katika mbuga hiyo, kufanya shughuli mbalimbali ikiwemo kupokeavifaa vya kukabiliana na ujangili vilivyotolewa na serikali za Marekani na Ujerumani kwa ajili ya Mbuga ya Selous jana.
![](http://3.bp.blogspot.com/-kzBLIkv22Xg/VMA04mS_WdI/AAAAAAAAsew/Hfe5v9TrobU/s1600/2.jpg)
Maelezo kuhusu masalia hayo ya injini hiyo ya moshi iliyoachwa na wajerumani Benson Kibonge.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZrejrydhGgw/VMA07Io56RI/AAAAAAAAsfA/HWCNFzTYRl8/s1600/3.jpg)