Manyoni yalipa fidia zaidi ya shilingi 158 milioni kupisha zoezi la huduma ya umeme vijijini
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya Manyoni Mseya, akitoa taafira yake ya ulipaji fidia kwa baadhi ya wakazi wa kijiji cha Maweni, Mwanzi na Lusillile ili wapishe mradi wa njia ya umeme 400 KV.
Na Nathaniel Limu, Manyoni
HALMASHAURI ya wilaya ya Manyoni mkoani Singida, imetumia zaidi ya shilingi 158 milioni kulipa fidia kwa baadhi ya wakazi wa vijiji vitatu,ili kupisha zoezi la utoaji wa huduma ya umeme vijijini.
Fidia hiyo imetolewa mapema mwaka huu kwa wakazi wa vijiji vya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
Washinda shilingi mil. 166 upatikanaji umeme vijijini
WATANZANIA wanne wamejishindia sh milioni 166 kila mmoja katika shindano la ‘Power Africa Off –Grid Energy’ lililolenga washiriki kuonesha ubunifu wa kutoa nishati endelevu kwa wakazi wa pembezoni mwa miji...
11 years ago
Dewji Blog25 May
Mh. Mohammed G.Dewji (MO) amwaga msaada wa zaidi ya shilingi Milioni 127 kwenye Taasisi za Dini zaidi 80 Jimboni kwake
Mbunge wa Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), akizungumza na viongozi wa Mahakama ya Qadhi wakati alipotembelea Mahakama hiyo kuona namna inavyohudumia waumini wa Dini ya Kiislamu katika kutatua migogoro ya ndoa.
Sheikh wa Mahakama ya Qadhi, Ramadhani Kaoja akimweleza Mheshimiwa Mbunge shughuli za Mahakama hiyo pamoja na changamoto mbalimbali zinazowakabili, Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Singida Mjini , Hamis Nguli, wa pili kulia ni Katibu wa Mahakama ya Qadhi, Alhajj B. Mlau.
Mbunge...
11 years ago
Michuzi25 May
MH. MOHAMMED DEWJI (MO) AMWAGA MSAADA WA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 127 KWENYE TAASISI ZA DINI ZAIDI 80 JIMBONI KWAKE
![DSC_0025](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_00251.jpg)
![DSC_0133](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_0133.jpg)
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/DSC_00251.jpg)
MOHAMMED DEWJI (MO) AMWAGA MSAADA WA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 127 KWENYE TAASISI ZA DINI ZAIDI YA 80 JIMBONI KWAKE
9 years ago
Dewji Blog04 Nov
Wanawake wajawazito Manyoni wanapoteza maisha kwa kufuata Huduma za Afya umbali wa zaidi ya KM 30 hadi 40
Mmoja wa watoto waliofika katika ofisi za Kijiji cha Maweni kwa ajili ya kuhudhuria Kliniki tembezi kutoka katika Hospitali ya misheni ya Kilimatinde,wilayani Manyoni akipimwa uzito na wahudumu wa afya wa Hospitali hiyo.
Watoto wakisalimiana wakati wakisubiri kupatiwa huduma za chanjo kutoka kwa wataalamu wa afya kutoka katika Hospitali ya misheni ya Kilimatinde,wilayani Manyoni.
Jengo la zahanati inayojengwa kwa nguvu za wananchi ambayo itakapokamilika inatarajia kutumia zaidi ya...
9 years ago
StarTV15 Dec
Tanesco watangaza kupata hasara ya Shilingi milioni 200 kutokana na Wizi Wa Umeme
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limepata hasara ya zaidi ya shilingi milioni 200 kwa wateja wake zaidi ya 50 waliojiunganishia Umeme kinyume cha sheria kwenye maeneo ya Msasani, Kigamboni na Oysterbay Jijini Dar Es Salaam hali ambayo imesababisha kushuka kwa ufanisi wa utendaji kazi wa shirika hilo.
Katika operesheni ya kukagua nyumba zilizojiunganishia umeme kinyume cha sheria shirika hilo limekagua jumla ya nyumba 2,200 katika kipindi cha wiki moja na kubaini madudu hayo.
Katika...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GKIcKhusLMs/VUCUtnWsH3I/AAAAAAAHT9k/9vYNpEgPnKE/s72-c/unnamed.jpg)
Vodacom kujikita zaidi kuboresha huduma za mawasiliano vijijini
9 years ago
Bongo516 Oct
Video ya ‘Never Ever’ yamgharimu Vanessa Mdee zaidi ya shilingi milioni 40
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eAkQ2xyNfS6YsHWC6JXhIcpXbrbkeUR9MRh2iNx96vtLJQ*X3CJkOCA65ue-VaidLqZmNjMo-C9wUJc8ysfJ3CLp3D2EJDlF/006.MKATABA.jpg?width=650)
VODACOM KUJIKITA ZAIDI KUBORESHA HUDUMA ZA MAWASILIANO VIJIJINI