Washinda shilingi mil. 166 upatikanaji umeme vijijini
WATANZANIA wanne wamejishindia sh milioni 166 kila mmoja katika shindano la ‘Power Africa Off –Grid Energy’ lililolenga washiriki kuonesha ubunifu wa kutoa nishati endelevu kwa wakazi wa pembezoni mwa miji...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo15 Sep
Upatikanaji umeme vijijini wapaa kwa asilimia 18
UPATIKANAJI wa huduma za nishati ya umeme vijijini umeongezeka kutoka asilimia 2.5 mwaka 2007 hadi kufika asilimia 21, hivi sasa ikiwa ni juhudi za baada ya kuundwa kwa Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
11 years ago
Dewji Blog26 Jun
Manyoni yalipa fidia zaidi ya shilingi 158 milioni kupisha zoezi la huduma ya umeme vijijini
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya Manyoni Mseya, akitoa taafira yake ya ulipaji fidia kwa baadhi ya wakazi wa kijiji cha Maweni, Mwanzi na Lusillile ili wapishe mradi wa njia ya umeme 400 KV.
Na Nathaniel Limu, Manyoni
HALMASHAURI ya wilaya ya Manyoni mkoani Singida, imetumia zaidi ya shilingi 158 milioni kulipa fidia kwa baadhi ya wakazi wa vijiji vitatu,ili kupisha zoezi la utoaji wa huduma ya umeme vijijini.
Fidia hiyo imetolewa mapema mwaka huu kwa wakazi wa vijiji vya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-asFjEPtFlj0/XkqJbwM4J3I/AAAAAAALdvM/ORCDayRZZBwBGdlwHVP4RNluKBWBhkGKgCLcBGAsYHQ/s72-c/8.jpg)
Shabiki wa Real Madrid ashinda Mil. 166.3 za M-BET
Ngolo ambaye fundi katika mkoa wa Manyara ameweza kubashiri kwa usahihi mechi 12 za ligi mbalimbali duniani na kuwa mshindi wa kwanza wa droo ya Perfect 12 mwaka huu.
Meneja Masoko wa kampuni ya M-BET, Allen Mushi alisema kuwa wamerafirijika kupata mshindi wa...
10 years ago
Uhuru Newspaper22 Apr
REA: Upatikanaji wa umeme kuongezeka
Na Mwandishi Wetu
KIWANGO cha upatikanaji wa nishati ya umeme kinatarajiwa kupanda hadi asilimia 100 ifikapo mwaka 2030, umesema Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
Meneja Utaalamu Elekezi wa REA, Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga, alisema hayo alipomwakilisha Mkurugenzi wa REA katika ufunguzi wa mafunzo ya siku tatu kwa wataalamu na wajasiriamali wa usambazaji vifaa vya umeme (nishati) itokanayo na mionzi ya jua.
Katika mafunzo hayo yanayomalizika leo katika Hoteli ya Kebis jijini Dar es Salaam,...
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Tanesco: Kuna tatizo la upatikanaji umeme wa Luku
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZPbDkvjuEPI/Xlnsv4yimgI/AAAAAAALf_8/F4WFOEcFVYwpuN2IsL-AiGQRACDKYtOiwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp-Image-2020-02-28-at-14.05.14-660x365.jpeg)
TANESCO Kuimarisha Hali ya Upatikanaji wa Umeme Mkoani Kagera
Dkt KALEMANI ametoa kauli hiyo Mkoani Kagera Wakati wa Ziara yake, ambapo amesema Umeme huo Utaunganisha Mkoa huo moja kwa moja na Umeme wa Gridi ya Taifa.
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZPbDkvjuEPI/Xlnsv4yimgI/AAAAAAALf_8/F4WFOEcFVYwpuN2IsL-AiGQRACDKYtOiwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp-Image-2020-02-28-at-14.05.14-660x365.jpeg)
9 years ago
StarTV16 Dec
TPDC latoa Sh. Mil. 10 kuwezesha Upatikanaji Maji Safi Njia Nne
Shirika la Maendeleo la Petroli TPDC limetoa shilingi milioni kumi za kuwezesha upatikanaji wa maji safi kwenye kijiji cha Njia Nne kinachopitiwa na bomba la gesi.
Mkuu wa wilaya ya Mkuranga Abdallah Kihato ameagiza mradi huo kutotekelezwa kisiasa akiahidi kuchukua hatua kali dhidi ya matumizi yasiyo ya muhimu ya fedha hizo.
Kijiji cha Niia Nne kinapitiwa na mradi wa bomba la gesi linalotoka Mtwara hadi Dar es Salaam kwa kilomita nne.
Mkuu wa wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani ameonya kuhusiana...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-okFeQL6KYvw/VCCB7-TLexI/AAAAAAAGlIw/tTP4yqvJMtc/s72-c/4.jpg)
Mradi wa TEDAP kutatua changamoto za upatikanaji wa umeme Jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-okFeQL6KYvw/VCCB7-TLexI/AAAAAAAGlIw/tTP4yqvJMtc/s1600/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-p7fuzFa92CA/VCCB-GeA7NI/AAAAAAAGlI4/YmXqCGK0n-o/s1600/5.jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Sep
Mradi wa TEDAP kutatua changamoto za upatikanaji wa umeme Jijini Dar es Salaam
Meneja wa Miradi, Usambazaji na Usafirishaji kutoka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Emmanuel Manderabona akiwaonesha waandishi wa habari mfumo wa usambazaji umeme kwenye Moja kituo cha Mradi “Tanzania Energy Development and Access Program (TEDAP)” unaofadhiliwa na Benki ya Dunia, kilichopo Mbagalakitakachozalishamegawatt 100 za umeme,kituo hiki kinatarajiwa kuanza kutoa huduma za umeme wa uhakika kwa wakazi wa maeneo ya Kurasini, Kigamboni, Mbagala na Maeneo ya Mkuranga kuanzia Mwezi...