Polisi yachunguza mauaji Dar
Mtuhumiwa wa mauaji ya kijana Mahamudu Muhasi, Lucas Muhabe anashikiliwa na Jeshi la Polisi na uchunguzi utakapokamilika atafikishwa mahakamani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili23 Oct
Sweden yachunguza mauaji
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
DRC yachunguza mauaji ya wawindaji 4
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Polisi yachunguza wanne waliompiga mgombea urais
10 years ago
StarTV03 Dec
Polisi Dar yashikilia watuhumiwa wa mauaji ya wanawake.
Na Immaculate Kilulya,
Dar Es Salaam.
Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar Es Salaam linawashikilia watu wawili kwa makosa ya mauaji ya wanawake 11 baada ya kuwarubuni kimapenzi, kuwatilia dawa kwenye vinywaji na kisha kuwateka, kuwanyanyasa kijinsia na hatimaye kuwaua.
Watuhumiwa hao ambao ni Abubakar Aman na Ezekiel Kasenegala wamekiri kuhusika na mauaji ya aina hiyo katika kipindi cha miaka miwili yakiwemo mauaji ya hivi karibuni ya wasichana wawili wa Chuo cha Ukutubi Bagamoyo mkoani...
10 years ago
Michuzi15 Jul
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-e6it2mpQFL8/VZIdwU6CSVI/AAAAAAABBjE/iBLFSPivXD0/s72-c/JESHI%2BLOGO.jpg)
WATU WATATU WAKAMATWA NA JESHI LA POLISI JIJINI DAR ES SALAAM KWA TUHUMA ZA MAUAJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-e6it2mpQFL8/VZIdwU6CSVI/AAAAAAABBjE/iBLFSPivXD0/s320/JESHI%2BLOGO.jpg)
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya mmiliki wa shule ya Mtakatifu Zion iliyopo maeneo ya Ununio, Mbezi Beach wilaya ya kipolisi Kawe mkoa wa kipolisi wa Kinondoni aliyejulikana kwa jina la ANNA D/O MIZINGI, Miaka 48, Mfanyabiashara, Mkazi wa Boko.
Mnamo tarehe 02/02/2015 majira ya saa za mchana mtoa taarifa alifika kituo cha Polisi na kueleza kwamba marehemu ANNA D/O MIZINGI aliondoka tangu tarehe 26/12/2014 majira ya saa 1:00hrs...
5 years ago
MichuziJESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA LAKAMATA WATUHUMIWA WA TUKIO LA MAUAJI, AKIWEMO POLISI
Ni kwamba mnamo tarehe 20.06.2020 majira ya saa 21:00 Usiku huko katika nyumba ya kulala wageni iitwayo “The...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YFKpWo8xoJQ/VMOMrmLWPyI/AAAAAAAG_Uw/l-2FcASe20k/s72-c/kova18_232_300.jpg)
TAARIFA YA POLISI JIJINI DAR: MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA DAR WAKATI WA MAPAMBANO KATI YAO NA ASKARI WA JESHI LA POLISI
![](http://4.bp.blogspot.com/-YFKpWo8xoJQ/VMOMrmLWPyI/AAAAAAAG_Uw/l-2FcASe20k/s1600/kova18_232_300.jpg)
Tukio hilo lilitokea eneo la Kariakoo mtaa wa Mkunguni na Livingstone saa 3.00hrs usiku. Wakati wa tukio hilo umeme ulikuwa hakuna na mlalamikaji alikuwa anatumia taa za...