FIFA yachunguza upangaji matokeo Tanzania
Boniface Wambura, Mkurugenzi wa Mashindano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Ujumbe wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) upo nchini kuchunguza tuhuma za upangaji matokeo, imefahamika.
Boniface Wambura, Mkurugenzi wa Mashindano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), alisema jana kuwa waamuzi waliosimamishwa na TFF pamoja na watu wengine watahojiwa na ujumbe huo. Matokeo ya uchunguzi huo yatatangazwa na FIFA baada ya shughuli hiyo kukamilika.
"Tunaendelea kuwahimiza wanafamilia wa mpira...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Kesi ya upangaji matokeo kutolewa na FIFA
11 years ago
Michuzi04 Jul
WAANDISHI KUNOLEWA VITA DHIDI YA UPANGAJI MATOKEO MPIRANI

9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Tanzania yachunguza ufisadi mkopo wa Stanbic
10 years ago
BBCSwahili23 Oct
Sweden yachunguza mauaji
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
BAKWATA yachunguza ubadhirifu
KATIBU wa Baraza la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Dodoma, Hussein Kuzungu, amesema baraza hilo linafanyia uchunguzi tuhuma za ubadhirifu wa fedha kati ya sh milioni 30 na 40 zinazodaiwa...
11 years ago
Mwananchi02 May
TFF yachunguza usajili wa Domayo
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Polisi yachunguza mauaji Dar
10 years ago
BBCSwahili03 Jul
DRC yachunguza mauaji ya wawindaji 4
9 years ago
Mwananchi16 Nov
Aga Khan yachunguza saratani wanawake