Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FIFA yachunguza upangaji matokeo Tanzania

Boniface Wambura, Mkurugenzi wa Mashindano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Ujumbe wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) upo nchini kuchunguza tuhuma za upangaji matokeo, imefahamika.

Boniface Wambura, Mkurugenzi wa Mashindano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), alisema jana kuwa waamuzi waliosimamishwa na TFF pamoja na watu wengine watahojiwa na ujumbe huo. Matokeo ya uchunguzi huo yatatangazwa na FIFA baada ya shughuli hiyo kukamilika.

"Tunaendelea kuwahimiza wanafamilia wa mpira...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Kesi ya upangaji matokeo kutolewa na FIFA

Matokeo ya uchunguzi wa tuhuma za upangaji matokeo zinazowakabili waamuzi watatu wa Tanzania yatatolewa na shirikisho la dunia, FIFA .

 

11 years ago

Michuzi

WAANDISHI KUNOLEWA VITA DHIDI YA UPANGAJI MATOKEO MPIRANI

waandishi+wa+habari Na Boniface Wambura, Dar es salaamTaasisi moja kutoka Uingereza inayohusika na kampeni dhidi ya upangaji matokeo kwenye mpira wa miguu (match fixing) itafanya uwasilishaji (presentation) juu ya suala hilo kwa waandishi wa habari za michezo nchini. Uwasilishaji huo utafanyika kesho (Julai 5 mwaka huu) saa 11 jioni kwenye hoteli ya Accomondia iliyopo Barabara ya Nkrumah jijini Dar es Salaam. Wataalamu hao wa kupiga vita upangaji matokeo ambao pia wataelezea jinsi matokeo yanavyopangwa, jana...

 

9 years ago

BBCSwahili

Tanzania yachunguza ufisadi mkopo wa Stanbic

Serikali ya Tanzania imesema imeanza uchunguzi wa ufisadi wa Dola milioni 6 uliohusu mkataba wa mkopo kutoka kwa benki ya Stanbic.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sweden yachunguza mauaji

Polisi wa Sweden wanaendelea kuchunguza ili kufahamu iwapo mwanamume aliyekuwa amefunika uso wake aliyewaua watu wawili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

BAKWATA yachunguza ubadhirifu

KATIBU wa Baraza la Waislamu  Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Dodoma, Hussein Kuzungu, amesema baraza hilo linafanyia uchunguzi  tuhuma za ubadhirifu wa fedha kati ya sh milioni 30 na 40 zinazodaiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

TFF yachunguza usajili wa Domayo

>Shirikisho la Soka (TFF) limedai linachunguza kitendo cha klabu ya Azam FC kumsajili kiungo Frank Domayo wakati akiwa kwenye kambi ya timu ya taifa mjini Mbeya.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi yachunguza mauaji Dar

Mtuhumiwa wa mauaji ya kijana Mahamudu Muhasi, Lucas Muhabe anashikiliwa na Jeshi la Polisi na uchunguzi utakapokamilika atafikishwa mahakamani.

 

10 years ago

BBCSwahili

DRC yachunguza mauaji ya wawindaji 4

Serikali ya Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo ,imeanzisha uchunguzi kufuatia vifo vya wawindaji 4 katika eneo la Bandundu takriban kilometa 270 na mji mkuu Kinshasa.

 

9 years ago

Mwananchi

Aga Khan yachunguza saratani wanawake

Hospitali ya Aga Khan Mwanza imeanza kuwafanyia uchunguzi wa saratani mbalimbali wanawake, huku ikitoa wito kuwataka wajitokeze zaidi ili kujua afya zao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani