WAANDISHI KUNOLEWA VITA DHIDI YA UPANGAJI MATOKEO MPIRANI
Na Boniface Wambura, Dar es salaamTaasisi moja kutoka Uingereza inayohusika na kampeni dhidi ya upangaji matokeo kwenye mpira wa miguu (match fixing) itafanya uwasilishaji (presentation) juu ya suala hilo kwa waandishi wa habari za michezo nchini. Uwasilishaji huo utafanyika kesho (Julai 5 mwaka huu) saa 11 jioni kwenye hoteli ya Accomondia iliyopo Barabara ya Nkrumah jijini Dar es Salaam. Wataalamu hao wa kupiga vita upangaji matokeo ambao pia wataelezea jinsi matokeo yanavyopangwa, jana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rmhzngQ3LJM/U3oxzF3_bzI/AAAAAAAFjtA/F6Z-iD8VXM8/s72-c/unnamed+(19).jpg)
Waandishi wa Sheria mbioni kunolewa zaidi
![](http://4.bp.blogspot.com/-rmhzngQ3LJM/U3oxzF3_bzI/AAAAAAAFjtA/F6Z-iD8VXM8/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MkpxJfyXcl8/U3oxzEIp3LI/AAAAAAAFjtE/HKNM_dJpSZY/s1600/unnamed+(20).jpg)
9 years ago
Mwananchi03 Oct
Wasimamizi kunolewa wasicheleweshe matokeo
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Kesi ya upangaji matokeo kutolewa na FIFA
10 years ago
Vijimambo30 Jan
FIFA yachunguza upangaji matokeo Tanzania
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Wambura-30Jan2015.jpg)
Ujumbe wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) upo nchini kuchunguza tuhuma za upangaji matokeo, imefahamika.
Boniface Wambura, Mkurugenzi wa Mashindano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), alisema jana kuwa waamuzi waliosimamishwa na TFF pamoja na watu wengine watahojiwa na ujumbe huo. Matokeo ya uchunguzi huo yatatangazwa na FIFA baada ya shughuli hiyo kukamilika.
"Tunaendelea kuwahimiza wanafamilia wa mpira...
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Vita dhidi ya ebola ni mapambano dhidi ya adui asiyeonekana
10 years ago
Habarileo17 May
Waandishi waaswa kupiga vita rushwa
WAANDISHI wa Habari wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wametakiwa kutumia kalamu zao kupambana na rushwa sambamba na kusisitiza demokrasia na utawala bora katika nchi zao.
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Vita dhidi ya Al Shabaab
11 years ago
BBCSwahili06 Jun
Vita dhidi ya Tumbaku
10 years ago
BBCSwahili27 Sep
Uingereza yajiunga na vita dhidi ya IS