Wasimamizi kunolewa wasicheleweshe matokeo
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema itatoa mafunzo kwa wasimamizi wa uchaguzi na makamanda wa polisi wa mikoa na wilaya kabla ya Oktoba 25.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi04 Jul
WAANDISHI KUNOLEWA VITA DHIDI YA UPANGAJI MATOKEO MPIRANI
![waandishi+wa+habari](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/r-d5D_WLLV-YZ8X0KTZ3IULMeGlRJ5gXiBQDtKi8iAzSHghE-oLMLGqLkbNYmFlW-Hfj2cwVRkZMNtNq8IP7MsA5kiEDq3o1s2y0v8ftgJ5g_JRDoWnToz1X8IVH9F-Sq-_CzzAH3w=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/waandishi+wa+habari.jpg)
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Wasimamizi wa uchaguzi watakiwa kutoa matokeo haraka
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rmhzngQ3LJM/U3oxzF3_bzI/AAAAAAAFjtA/F6Z-iD8VXM8/s72-c/unnamed+(19).jpg)
Waandishi wa Sheria mbioni kunolewa zaidi
![](http://4.bp.blogspot.com/-rmhzngQ3LJM/U3oxzF3_bzI/AAAAAAAFjtA/F6Z-iD8VXM8/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MkpxJfyXcl8/U3oxzEIp3LI/AAAAAAAFjtE/HKNM_dJpSZY/s1600/unnamed+(20).jpg)
9 years ago
Mtanzania27 Oct
Wasimamizi wa uchaguzi wanusurika kifo
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
BAADHI ya wasimamizi wa uchaguzi wilayani Meru, Mkoa wa Arusha, wamenusurika kuchomwa moto ndani ya gari lao baada ya kundi la vijana kutilia shaka gari lao wakidhani limebeba kura za wizi.
Tukio hilo lililowashtua wasimamizi hao na kujikuta wakiwa hawana la kufanya mikononi mwa kundi la vijana hao, lilitokea katika Kata ya Embaseni, wilayani hapa juzi, kati ya saa tatu na saa nne asubuhi.
Baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo walisema vijana hao walilitilia shaka gari...
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Alikuwa akiwafuata wasimamizi wa uchaguzi.
10 years ago
Habarileo29 Sep
Wasimamizi wa maji wapewa somo
SERIKALI imewataka watekelezaji wa miradi mbalimbali katika sekta ya maji kuzipa kipaumbele kazi za usimamizi ili ikamilike ndani ya muda uliopangwa kwa mujibu wa mikataba.
10 years ago
Habarileo07 Nov
Wasimamizi watakiwa kuacha upendeleo
OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa ya Serikali za Mitaa (TAMISEMI), imewataka wasimamizi wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa, kuacha upendeleo kwa wagombea, ushabiki wa kisiasa kwa vyama vya siasa ama wagombea wa vyama na hivyo kutakiwa kuwashirikisha wadau wa uchaguzi hasa viongozi wa vyama vya siasa vilivyopo katika maeneo yao.
9 years ago
Mwananchi08 Oct
NEC, polisi, wasimamizi walishana yamini