Waandishi wa Sheria mbioni kunolewa zaidi
![](http://4.bp.blogspot.com/-rmhzngQ3LJM/U3oxzF3_bzI/AAAAAAAFjtA/F6Z-iD8VXM8/s72-c/unnamed+(19).jpg)
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Jasmine Kairuki akiagana na Naibu Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Maendeleo (UNDP) Bi. Mandisa Mashologu (kulia) alipomtembelea Naibu Waziri ofisini kwake, Mtaa wa Mkwepu, jijini Dar es Salaam leo (Jumatatu, Mei 19, 2014). Katikati ni Mkurugenzi Mkazi wa UNDP Bw. Philippe Poinsot.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angellah Jasmine Kairuki (kushoto) akimsikiliza Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi04 Jul
WAANDISHI KUNOLEWA VITA DHIDI YA UPANGAJI MATOKEO MPIRANI
![waandishi+wa+habari](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/r-d5D_WLLV-YZ8X0KTZ3IULMeGlRJ5gXiBQDtKi8iAzSHghE-oLMLGqLkbNYmFlW-Hfj2cwVRkZMNtNq8IP7MsA5kiEDq3o1s2y0v8ftgJ5g_JRDoWnToz1X8IVH9F-Sq-_CzzAH3w=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/waandishi+wa+habari.jpg)
10 years ago
Mwananchi27 Mar
SHERIA: Sheria gharama za uchaguzi kung’ata zaidi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xQHICFAwNSQ/Xq7hT3shYvI/AAAAAAALo9Q/ozfUWUeir4IN__tyUQ_OCMpTt-8t8kglACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC06868_1588499924450.jpg)
Waandishi zingatieni maadili, sheria
Na. Vero Ignatus
CHAMA cha Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari Tanzania(JOWUTA) kimesisitiza umuhimu wa waandishi wa habari nchini kuendelea kuzingatia maadili, kanuni na sheria katika utekelezaji wa majukumu yao katika kipindi hiki cha mapambano dhidi ya janga la ugonjwa wa homa kali ya mapafu COVID19.
Akitoa salamu za maadhimisho ya siku ya Uhuru wa Habari Duniani leo, Mwenyekiti wa JOWUTA, Claud Gwandu alisema uhuru wa habari, maadili, haki, usawa ni nguzo muhimu za kuzingatiwa na wanahabari...
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Lowassa: Msitake sheria za kuwafunga jela waandishi tu
9 years ago
VijimamboWAANDISHI WA HABARI WAELIMISHWA JUU YA SHERIA NA MAKOSA YA MITANDAO
11 years ago
Habarileo15 Feb
Waandishi wajadili rasimu ya Sheria vyombo vya habari
WAANDISHI wa habari wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa kujiamini kwa lengo la kuelimisha umma matukio mbalimbali yanayotokea kila siku kwa usahihi mkubwa. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Tume ya kurekebisha sheria, Jaji Bakari Mshibe wakati akifungua mkutano wa waandishi wa habari uliojadili rasimu ya sheria ya vyombo vya habari.
9 years ago
MichuziWAANDISHI WA HABARI WAELIMISHWA JUU YA SHERIA ZA MAKOSA YA MITANDAO
9 years ago
Mwananchi03 Oct
Wasimamizi kunolewa wasicheleweshe matokeo