Lowassa: Msitake sheria za kuwafunga jela waandishi tu
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ameitaka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kuzungumza na wadau wake na kuchukua maoni yao ili muswada wa sheria mpya wa vyombo vya habari usaidie kutatua mgogoro baina yake na vyombo vya habari.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili29 Aug
Waandishi wa Al Jazeera miaka 3 Jela
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Waandishi wa Al Jazeera wafungwa Jela
10 years ago
Mwananchi27 Mar
Bunge lapitisha muswada, sasa waandishi kufungwa jela ikiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xQHICFAwNSQ/Xq7hT3shYvI/AAAAAAALo9Q/ozfUWUeir4IN__tyUQ_OCMpTt-8t8kglACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC06868_1588499924450.jpg)
Waandishi zingatieni maadili, sheria
Na. Vero Ignatus
CHAMA cha Wafanyakazi wa Vyombo vya Habari Tanzania(JOWUTA) kimesisitiza umuhimu wa waandishi wa habari nchini kuendelea kuzingatia maadili, kanuni na sheria katika utekelezaji wa majukumu yao katika kipindi hiki cha mapambano dhidi ya janga la ugonjwa wa homa kali ya mapafu COVID19.
Akitoa salamu za maadhimisho ya siku ya Uhuru wa Habari Duniani leo, Mwenyekiti wa JOWUTA, Claud Gwandu alisema uhuru wa habari, maadili, haki, usawa ni nguzo muhimu za kuzingatiwa na wanahabari...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rmhzngQ3LJM/U3oxzF3_bzI/AAAAAAAFjtA/F6Z-iD8VXM8/s72-c/unnamed+(19).jpg)
Waandishi wa Sheria mbioni kunolewa zaidi
![](http://4.bp.blogspot.com/-rmhzngQ3LJM/U3oxzF3_bzI/AAAAAAAFjtA/F6Z-iD8VXM8/s1600/unnamed+(19).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MkpxJfyXcl8/U3oxzEIp3LI/AAAAAAAFjtE/HKNM_dJpSZY/s1600/unnamed+(20).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/plKg8N8jpIQ/default.jpg)
9 years ago
VijimamboWAANDISHI WA HABARI WAELIMISHWA JUU YA SHERIA NA MAKOSA YA MITANDAO
9 years ago
MichuziWAANDISHI WA HABARI WAELIMISHWA JUU YA SHERIA ZA MAKOSA YA MITANDAO
11 years ago
Habarileo15 Feb
Waandishi wajadili rasimu ya Sheria vyombo vya habari
WAANDISHI wa habari wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa kujiamini kwa lengo la kuelimisha umma matukio mbalimbali yanayotokea kila siku kwa usahihi mkubwa. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Tume ya kurekebisha sheria, Jaji Bakari Mshibe wakati akifungua mkutano wa waandishi wa habari uliojadili rasimu ya sheria ya vyombo vya habari.