Alikuwa akiwafuata wasimamizi wa uchaguzi.
Nahodha wa boti ya doria ya Halmashauri ya Wilaya Geita, Timothi Samson(46) anahofiwa kufa maji baada ya kuzama ndani ya Ziwa Victoria wakati akienda kuwachukua wasimamizi wa uchaguzi wa marudio wa Serikali za Mitaa katika Kisiwa cha Izumacheli.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania27 Oct
Wasimamizi wa uchaguzi wanusurika kifo
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
BAADHI ya wasimamizi wa uchaguzi wilayani Meru, Mkoa wa Arusha, wamenusurika kuchomwa moto ndani ya gari lao baada ya kundi la vijana kutilia shaka gari lao wakidhani limebeba kura za wizi.
Tukio hilo lililowashtua wasimamizi hao na kujikuta wakiwa hawana la kufanya mikononi mwa kundi la vijana hao, lilitokea katika Kata ya Embaseni, wilayani hapa juzi, kati ya saa tatu na saa nne asubuhi.
Baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo walisema vijana hao walilitilia shaka gari...
9 years ago
Habarileo08 Oct
Lubuva: Wasimamizi wa uchaguzi fuateni sheria
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damian Lubuva amewataka wa wasimamizi wa uchaguzi na makamanda wa Polisi wa mikoa nchini, kufuata sheria ya uchaguzi na kutenda haki na haki hiyo ionekane ikitendeka siku ya uchaguzi mkuu.
9 years ago
MichuziWASIMAMIZI WA UCHAGUZI WATENDE HAKI :TAWLA
9 years ago
VijimamboTAWLA: WASIMAMIZI WA UCHAGUZI WATENDE HAKI
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Wasimamizi wa uchaguzi watakiwa kutoa matokeo haraka
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Waangalizi, wasimamizi wadai zoezi la uchaguzi lilienda vizuri Unguja
9 years ago
Dewji Blog03 Oct
Mafunzo ya wasimamizi na maafisa uchaguzi Mkoa Dar es Salaam wafanyika leo!
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cuK5_9QQ0Jo/VgqHVJbTkLI/AAAAAAAAT_4/nzf1b9h7muY/s72-c/abbas-kandoro10.jpg)
WASIMAMIZI NA WARATIBU WA UCHAGUZI MIKOA YA IRINGA MBEYA WATAKIWA KUJIEPUSHA NA UPENDELEO KWA WAGOMBEA
![](http://4.bp.blogspot.com/-cuK5_9QQ0Jo/VgqHVJbTkLI/AAAAAAAAT_4/nzf1b9h7muY/s640/abbas-kandoro10.jpg)
WITO umetolewa kwa Waratibu wa uchaguzi wa mikoa ,wasimamizi wa uchaguzi na wasimamizi wasaidizi pamoja na maafisa uchaguzi wa halmashauri mikoa ya kanda za juu kusini kuhakikisha wanafanya kazi zao kwa waledi na kwa uadilifu bila kuwa na upendeleo wa chama chochote cha siasa ua mgombea.
Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Ndugu Abbas Kandoro wakati akifungua mafunzo ya wasimamizi wa uchaguzi na...
9 years ago
Vijimambo03 Oct
MAFUNZO YA WASIMAMIZI NA MAAFISA UCHAGUZI MKOA WA DAR ES SALAAM YAFANYIKA LEO OCTOBA 3, 2015
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/212.jpg)
Picha na Aron Msigwa- MAELEZO.
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/39.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/46.jpg)
Waratibu wa Uchaguzi,Wasimamizi wa Uchaguzi, Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi na Maafisa uchaguzi waliohudhuria mafunzo leo jijini Dar es salaam kujiandaa usimamizi wa uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani Oktoba 25 mwaka huu.
Na.Aron...