Kesi ya upangaji matokeo kutolewa na FIFA
Matokeo ya uchunguzi wa tuhuma za upangaji matokeo zinazowakabili waamuzi watatu wa Tanzania yatatolewa na shirikisho la dunia, FIFA .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo30 Jan
FIFA yachunguza upangaji matokeo Tanzania
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Wambura-30Jan2015.jpg)
Ujumbe wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) upo nchini kuchunguza tuhuma za upangaji matokeo, imefahamika.
Boniface Wambura, Mkurugenzi wa Mashindano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), alisema jana kuwa waamuzi waliosimamishwa na TFF pamoja na watu wengine watahojiwa na ujumbe huo. Matokeo ya uchunguzi huo yatatangazwa na FIFA baada ya shughuli hiyo kukamilika.
"Tunaendelea kuwahimiza wanafamilia wa mpira...
11 years ago
Michuzi04 Jul
WAANDISHI KUNOLEWA VITA DHIDI YA UPANGAJI MATOKEO MPIRANI
![waandishi+wa+habari](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/r-d5D_WLLV-YZ8X0KTZ3IULMeGlRJ5gXiBQDtKi8iAzSHghE-oLMLGqLkbNYmFlW-Hfj2cwVRkZMNtNq8IP7MsA5kiEDq3o1s2y0v8ftgJ5g_JRDoWnToz1X8IVH9F-Sq-_CzzAH3w=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/waandishi+wa+habari.jpg)
9 years ago
BBCSwahili27 Oct
Waangalizi wataka matokeo kutolewa haraka TZ
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Matokeo Zambia kutolewa wakati wowote
9 years ago
StarTV29 Dec
 Mahakama Kuu yamfutia kesi Dk. Mwakyembe kuhusu Kesi Za Kupinga Matokeo
Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imeitupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi iliyofunguliwa na aliyekuwa Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, kwenye uchaguzi mkuu uliopita, Abraham Mwanyamaki, dhidi ya Mbunge wa Kyela na Waziri wa Katiba na Sheria, Dokta Harrison Mwakyembe.
Mahakama imefikia hatua hiyo baada ya Mwanyamaki kushindwa kulipa ada ya gharama za uendeshaji wa kesi hiyo shilingi Milioni Tatu katika muda wa Siku 14 uliowekwa kisheria.
Baada ya uchaguzi mkuu...
9 years ago
VijimamboKIWIA AKANUSHA KUZIMIA BAADA YA MATOKEO KUTANGAZWA. ASEMA ANATARAJIA KUFUNGUA KESI MAHAKAMANI KWANI BADO HAJASAINI MATOKEO.
Aliekuwa Mbunge wa Jimbo la Ilemela Mkoani Mwanza na Mgombea wa nafasi hiyo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi Ukawa Highness Kiwia, anatarajia kufungua kesia ya kupinga matokeo ya uchaguzi jimboni humo kwa madai kwamba haukuwa wa huru na haki kutokana na kugubikwa na changamoto mbalimbali.
Kiwia ambae ameshindwa kutetea jimbo hilo baada kuchukuliwa na Angelina Mabula kutoka Chama cha Mapinduzi CCM,...
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Matokeo ya awali urais, ubunge yaanza kutolewa nchini
9 years ago
Mtanzania26 Nov
Kesi ya Mawazo kutolewa hukumu leo
NA BENJAMIN MASESE, MWANZA
JAJI wa Mahakama Kuu, Kanda ya Arusha, Lameck Mlacha, anatarajia kutoa hukumu juu ya mvutano wa kuuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkoa wa Geita marehemu Alphonce Mawazo jijini Mwanza.
Jaji Mlacha anatarajia kutoa hukumu hiyo leo saa saba mchana baada ya pande zote mbili kueleza hoja zao.
Mawakili wa Serikali, Seth Mkemwa na Emilly Kilia ambao wanamtetea Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Mwanza, Charles Mkumbo aliyezuia...
9 years ago
Habarileo23 Oct
Hatma ya kesi ya meta 200 kutolewa leo
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo itatoa uamuzi kuhusu shauri la kikatiba lililofunguliwa na Mbunge wa Viti Maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Amy Kibatala likihoji uhalali wa wapigakura kukaa mita 200 kutoka kwenye vituo vya kupigia kura.