Mwananchi yazindua uchapishaji magazeti Mwanza
Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd. (MCL), jana ilizindua mpango kabambe wa kuchapisha magazeti yake jijini Mwanza na kuyasambaza asubuhi katika mikoa yote ya Kanda ya Ziwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi30 Sep
Magazeti ya Mwananchi kidedea tena
Kwa mara nyingine, magazeti ya Mwananchi yameibuka kinara kwa kuandika habari za uchaguzi bila upendeleo, kwa kuzingatia weledi na kuwapa wananchi nafasi ya kuzungumza na wagombea wao.
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Serikali yasifia magazeti ya Mwananchi
Magazeti yanayochapishwa na kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL) ya Mwananchi na The Citizen yametajwa kuwa vinara wa kuripoti habari za uchaguzi bila kuonyesha ushabiki wala upendeleo tofauti na mengine nchini.
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Waziri Nkamia: Magazeti ya Mwananchi yanaaminiwa
Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia amesema magazeti ya Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), yanasomwa na kuaminiwa na wananchi, hivyo yaendelee kufanya kazi kwa weledi.
9 years ago
Mwananchi25 Oct
Magazeti ya Mwananchi yaibuka tena kidedea uchaguzi
Kwa mara ya tano mfululizo, magazeti ya Mwananchi na The Citizen yameibuka kinara wa kuandika habari za uchaguzi bila upendeleo kwa vyama vya siasa wala wagombea tangu kuanza kwa kampeni zilizodumu kwa siku 64.
10 years ago
VijimamboMKURUGENZI NA MHARIRI MKUU WA MAGAZETI YA MWANANCHI NA CITIZEN WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NA VOA WASHINGTON, DC
11 years ago
GPLGLOBAL ILIVYOWAANDALIA SHEREHE WAUZA MAGAZETI MWANZA
Mwakilishi wa Global Publishers Masumbuko Ali, akizungumza na wauza magazeti wa Jiji la Mwanza. Muuza magazeti akisoma gazeti la Risasi.…
11 years ago
GPLCHAMPIONI YAWANG'ARISHA WAUZA MAGAZETI MWANZA
Wakala wa magazeti ya Global Publishers jijini Mwanza, Khamis Kikasi (katikati mwenye kofia) akitoa tisheti za Championi kwa baadhi ya wauzaji wa magazeti jijini humo. Baadhi ya wauzaji wa magazeti jijini Mwanza wakiwa katika pozi baada ya kukabidhiwa tisheti kutoka gazeti la…
10 years ago
GPLAIRTEL YAZINDUA MNARA NYAKASUNGWA SENGEREMA, MWANZA NA GEITA
Afisa Elimu wa Wilaya ya Sengerema Benjamin Sipetro akikata utepe kuzindua mnara wa mawasiliano wa kampuni ya Airtel katika kijiji cha Nyakasungwa Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza, wa tatu kulia ni Meneja masoko kanda ya ziwa Emmamuel Rafael.
Afisa Elimu wa Wilaya ya Sengerema Benjamin Sipetro AKIKABIDHI VITABU VYA MASOMO YA SAYANSI katika shule ya sekondari ya Nyakasungwa Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza,wa tatu kulia ni...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZLTwLpgtKxU/ViyBN30fm6I/AAAAAAAICo4/rdSdAP568Z0/s72-c/unnamed%2B%252875%2529.jpg)
VODACOM TANZANIA YAZINDUA DUKA UPYA JIJINI MWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZLTwLpgtKxU/ViyBN30fm6I/AAAAAAAICo4/rdSdAP568Z0/s640/unnamed%2B%252875%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3EIYZGxT_kQ/ViyBQu4rItI/AAAAAAAICpA/pjGUHMTCzvk/s640/unnamed%2B%252877%2529.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania