Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya Serikali atembelea shamba la mkuu wa wilaya ya mvomero
![](http://2.bp.blogspot.com/-nBlS0z1Ke58/U5a6NNLO4gI/AAAAAAAFpeM/M8nvwMaI8AU/s72-c/unnamed+(28).jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Mkoani Morogoro, Anthony Mtaka ( kulia) akimwonesha Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya Serikali ‘ Tanzania Standard Newspapers Limited (TSN), Bw. Gabriel Nderumaki ,aina ya ufuta naozaa kwa wingi wakati alipotemtembeza kuona Mradi wa Kilimo wa Mkuu wa Wilaya hiyo, lenye ukubwa wa zaidi ya ekari 100 linalojumuisha kilimo cha mahindi , Ufuta na ufugaji wa samaki , katika Kijiji cha Lubungo, wilayani humo.
Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya Serikali ‘ Tanzania...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog23 May
JK amteua Gabriel Nderumaki kuwa Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali, Tanzania Standard NewsPapers (TSN)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Gabriel Lyimo Nderumaki (pichani) kuwa Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali, Tanzania Standard NewsPapers (TSN).
Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, Uteuzi huu umeanza tarehe 19 Mei, 2014.
Kabla ya uteuzi huo Bwana Nderumaki alikuwa Kaimu Mhariri Mtendaji wa Kampuni hiyo.
“Mwisho”
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.
22 Mei,...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8AlOvzKg_zE/U33_Brb8JJI/AAAAAAAFkfE/jpKvI9_-Skk/s72-c/NDERUMAKI.jpg)
Rais Kikwete amteua Bw. Gabriel Nderumaki kuwa Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali, Tanzania Standard NewsPapers (TSN).
![](http://4.bp.blogspot.com/-8AlOvzKg_zE/U33_Brb8JJI/AAAAAAAFkfE/jpKvI9_-Skk/s1600/NDERUMAKI.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-euUZjxhT2AE/U33-YXeO1CI/AAAAAAAFke4/xPAExh_6y1c/s1600/New+Picture+(5).bmp)
Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, Uteuzi huu umeanza tarehe 19 Mei, 2014.
Kabla ya uteuzi huo Bwana Nderumaki alikuwa Kaimu Mhariri...
10 years ago
VijimamboMKURUGENZI NA MHARIRI MKUU WA MAGAZETI YA MWANANCHI NA CITIZEN WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NA VOA WASHINGTON, DC
11 years ago
MichuziMkuu wa mkoa wa katavi atembelea Shamba darasa la mfano SAGCOT
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BcZSXmMnNUU/Vfc1ldMP4GI/AAAAAAAH4zs/55Gq3DMP0so/s72-c/aaz.png)
JK ATEUA WAKUU WA MIKOA WAWILI, MGANGA MKUU WA SERIKALI, NAIBU MWANASHERIA MKUU NA MTENDAJI MKUU WA NDC
![](http://2.bp.blogspot.com/-BcZSXmMnNUU/Vfc1ldMP4GI/AAAAAAAH4zs/55Gq3DMP0so/s1600/aaz.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateua wakuu wawili wapya wa mikoa kujaza nafasi zilizoachwa wazi na wakuu wa Mikoa ambao wanawania ubunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Taarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Septemba 14, 2015 na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue inasema kuwa katika uteuzi wake, Rais Kikwete amemteua Ndugu Amos Makalla kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro na Ndugu Jordan Rugimbana kuwa Mkuu...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nfSQGUH6nB0/Uy7EEJhsUFI/AAAAAAAFVu4/lGs3dBIrQmo/s72-c/unnamed+(64).jpg)
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA SHAMBA LA WAZIRI MKUU DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-nfSQGUH6nB0/Uy7EEJhsUFI/AAAAAAAFVu4/lGs3dBIrQmo/s1600/unnamed+(64).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mGubK1k0Jps/Uy7EEWl1U5I/AAAAAAAFVvA/UpjAv3j3iy8/s1600/unnamed+(65).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-egBVTNUJwPg/Uy7EEdl_oEI/AAAAAAAFVu8/N1thb4WbUOU/s1600/unnamed+(66).jpg)
11 years ago
Habarileo23 May
Nderumaki Mhariri Mtendaji TSN
RAIS Jakaya Kikwete, amemteua Gabriel Nderumaki, kuwa Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), wachapishaji wa magazeti ya Habari Leo, Habari Leo Jumapili, Spoti Leo, Daily News na Sunday News.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6aP_oh566hg/VC1Yct4FVgI/AAAAAAAGnVA/vzw5Ob7PHLg/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
MTENDAJI MKUU PDB AWAPA CHANGAMOTO WAKUU WA MIKOA NA WILAYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-6aP_oh566hg/VC1Yct4FVgI/AAAAAAAGnVA/vzw5Ob7PHLg/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-aAEIqSWiR64/VC1YdhtJc-I/AAAAAAAGnVI/Q84x4XT1loo/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xs8dbecKBs0/XlIbIPQ9chI/AAAAAAALe5I/uFtY8GwfLX8WxAO20YhgCQn9JN39tzPvwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200222-WA0000.jpg)
Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania atembelea banda la GST
![](https://1.bp.blogspot.com/-Xs8dbecKBs0/XlIbIPQ9chI/AAAAAAALe5I/uFtY8GwfLX8WxAO20YhgCQn9JN39tzPvwCLcBGAsYHQ/s1600/IMG-20200222-WA0000.jpg)
Aidha, kupitia maonesho hayo Dkt.Budeba amepata fursa ya kufanya mazungumzo na wawekezaji mbalimbali...