Nderumaki Mhariri Mtendaji TSN
RAIS Jakaya Kikwete, amemteua Gabriel Nderumaki, kuwa Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), wachapishaji wa magazeti ya Habari Leo, Habari Leo Jumapili, Spoti Leo, Daily News na Sunday News.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog23 May
JK amteua Gabriel Nderumaki kuwa Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali, Tanzania Standard NewsPapers (TSN)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Gabriel Lyimo Nderumaki (pichani) kuwa Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali, Tanzania Standard NewsPapers (TSN).
Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, Uteuzi huu umeanza tarehe 19 Mei, 2014.
Kabla ya uteuzi huo Bwana Nderumaki alikuwa Kaimu Mhariri Mtendaji wa Kampuni hiyo.
“Mwisho”
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.
22 Mei,...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8AlOvzKg_zE/U33_Brb8JJI/AAAAAAAFkfE/jpKvI9_-Skk/s72-c/NDERUMAKI.jpg)
Rais Kikwete amteua Bw. Gabriel Nderumaki kuwa Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali, Tanzania Standard NewsPapers (TSN).
![](http://4.bp.blogspot.com/-8AlOvzKg_zE/U33_Brb8JJI/AAAAAAAFkfE/jpKvI9_-Skk/s1600/NDERUMAKI.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-euUZjxhT2AE/U33-YXeO1CI/AAAAAAAFke4/xPAExh_6y1c/s1600/New+Picture+(5).bmp)
Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, Uteuzi huu umeanza tarehe 19 Mei, 2014.
Kabla ya uteuzi huo Bwana Nderumaki alikuwa Kaimu Mhariri...
11 years ago
Daily News23 May
Nderumaki picked new TSN ME
Daily News
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has appointed Mr Gabriel Nderumaki Managing Editor of Tanzania Standard (Newspapers) Limited (TSN). A statement from the Directorate of Presidential Communications yesterday quoted the Chief Secretary, Ambassador ...
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/06/IMG_0135.jpg)
MHARIRI MTENDAJI GAZETI LA JAMBO LEO AMEREMETA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nBlS0z1Ke58/U5a6NNLO4gI/AAAAAAAFpeM/M8nvwMaI8AU/s72-c/unnamed+(28).jpg)
Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya Serikali atembelea shamba la mkuu wa wilaya ya mvomero
![](http://2.bp.blogspot.com/-nBlS0z1Ke58/U5a6NNLO4gI/AAAAAAAFpeM/M8nvwMaI8AU/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7V1bDMru5VM/U5a6NIhvgEI/AAAAAAAFpfE/qjsH1Udelo4/s1600/unnamed+(29).jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper23 Dec
MAONI YA MHARIRI
Taasisi zilizoagizwa kuwachunguza watuhumiwa wa Escrow zitende haki.....!
"HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete ameweka hadharani mambo yote kuhusiana na sakata la akaunti ya Tegeta Escrow na kuchukua hatua kwa baadhi ya watendaji.Akihutubia mkutano wa Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam, Rais Kikwete, alimvua uwaziri Profesa Anna Tibaijuka kutokana na kuhusishwa katika kashfa hiyo na watendaji wengine wakiendelea kuchunguzwa.Pia, aliagiza hatua kadhaa kuchukuliwa ili kuhakikisha serikali inapata halali...
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
Mhariri wa Washington Post afariki
9 years ago
Mwananchi19 Aug
Tegambwage ateuliwa Mhariri wa Jamii MCL
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-koxs0qT58ms/VYxcQnhn9WI/AAAAAAABQnc/hHjGfgBhDv8/s72-c/Mwana%2BHalisi%2BOnline%252C%2BEdson%2BKamukara.jpg)
MHARIRI WA MWANAHALISI ONLINE AFARIKI DUNIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-koxs0qT58ms/VYxcQnhn9WI/AAAAAAABQnc/hHjGfgBhDv8/s640/Mwana%2BHalisi%2BOnline%252C%2BEdson%2BKamukara.jpg)