Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nderumaki Mhariri Mtendaji TSN

RAIS Jakaya Kikwete, amemteua Gabriel Nderumaki, kuwa Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), wachapishaji wa magazeti ya Habari Leo, Habari Leo Jumapili, Spoti Leo, Daily News na Sunday News.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

JK amteua Gabriel Nderumaki kuwa Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali, Tanzania Standard NewsPapers (TSN)

NDERUMAKI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Gabriel Lyimo Nderumaki (pichani) kuwa Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali, Tanzania Standard NewsPapers (TSN).

Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, Uteuzi huu umeanza tarehe 19 Mei, 2014.

Kabla ya uteuzi huo Bwana Nderumaki alikuwa Kaimu Mhariri Mtendaji wa Kampuni hiyo.

“Mwisho”

Imetolewa na:

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,

Ikulu.

Dar es Salaam.

22 Mei,...

 

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete amteua Bw. Gabriel Nderumaki kuwa Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali, Tanzania Standard NewsPapers (TSN).

Bwana Gabriel Lyimo Nderumaki,Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali, Tanzania Standard NewsPapers (TSN).  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Gabriel Lyimo Nderumaki kuwa Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali, Tanzania Standard NewsPapers (TSN). 
 Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, Uteuzi huu umeanza tarehe 19 Mei, 2014.
 Kabla ya uteuzi huo Bwana Nderumaki alikuwa Kaimu Mhariri...

 

11 years ago

Daily News

Nderumaki picked new TSN ME


Daily News
Nderumaki picked new TSN ME
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has appointed Mr Gabriel Nderumaki Managing Editor of Tanzania Standard (Newspapers) Limited (TSN). A statement from the Directorate of Presidential Communications yesterday quoted the Chief Secretary, Ambassador ...

 

11 years ago

GPL

MHARIRI MTENDAJI GAZETI LA JAMBO LEO AMEREMETA‏

Anicetus M. Busagi akimtambulisha mkewe Levina A. Mtei kwa wageni waalikwa katika hafla ya harusi yao iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam. . Mhariri Mtendaji Mtendaji wa Gazeti la Jambo Leo Apata, Anicetus M. Busagi akiwa na mkewe Levina A. Mtei katika hafla kabambe ya harusi yao iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa Lunch Time. Mhariri Mtendaji Mtendaji wa Gazeti la Jambo Leo Apata, Anicetus M. Busagi...

 

11 years ago

Michuzi

Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya Serikali atembelea shamba la mkuu wa wilaya ya mvomero

 Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Mkoani Morogoro, Anthony Mtaka  ( kulia) akimwonesha Mhariri Mtendaji  wa Magazeti ya Serikali ‘ Tanzania Standard Newspapers Limited (TSN), Bw. Gabriel Nderumaki ,aina ya ufuta naozaa kwa wingi wakati alipotemtembeza  kuona Mradi wa Kilimo wa Mkuu wa Wilaya hiyo, lenye ukubwa wa zaidi ya ekari 100  linalojumuisha kilimo cha mahindi , Ufuta na ufugaji wa samaki , katika Kijiji cha Lubungo, wilayani humo.  Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya Serikali ‘ Tanzania...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

MAONI YA MHARIRI



Taasisi zilizoagizwa kuwachunguza watuhumiwa wa Escrow zitende haki.....!

"HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete ameweka hadharani mambo yote kuhusiana na sakata la akaunti ya Tegeta Escrow na kuchukua hatua kwa baadhi ya watendaji.Akihutubia mkutano wa Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam, Rais Kikwete, alimvua uwaziri Profesa Anna Tibaijuka kutokana na kuhusishwa katika kashfa hiyo na watendaji wengine wakiendelea kuchunguzwa.Pia, aliagiza hatua kadhaa kuchukuliwa ili kuhakikisha serikali inapata halali...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mhariri wa Washington Post afariki

Mhariri wa zamani wa gazeti la Washngton Post Ben Bradlee aliyeongoza uhariri wa kashfa ya Watergate miaka ya 70 afariki.

 

9 years ago

Mwananchi

Tegambwage ateuliwa Mhariri wa Jamii MCL

Uongozi wa Mwananchi Communications Limited umemtangaza mwanahabari mahiri nchini, Ndimara Tegambwage kuwa Mhariri wa Jamii wa magazeti ya kampuni hiyo.

 

10 years ago

Vijimambo

MHARIRI WA MWANAHALISI ONLINE AFARIKI DUNIA

Mhariri  wa Mwana Halisi Online, Edson Kamukara (pichani), amefariki Dunia kwa ajali ya moto nyumbani kwake Mabibo jijini Dar es Salaam leo hii majira ya saa moja kasorobo jioni, baada ya kulipukiwa na jiko la gesi, habari zilizotufikia sasa hivi zinasema kuwa Polisi wameuchukua mwili wa marehemu na kwenda kuhifadhi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya uchunguzi wa kifo chake.
Ofisa Uhusiano wa NMB, Viccent Mnyanyika akimkabidhi zawadi marehemu Edson Kamukara wakati wa uhai wake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani