Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tegambwage ateuliwa Mhariri wa Jamii MCL

Uongozi wa Mwananchi Communications Limited umemtangaza mwanahabari mahiri nchini, Ndimara Tegambwage kuwa Mhariri wa Jamii wa magazeti ya kampuni hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

MAONI YA MHARIRI



Taasisi zilizoagizwa kuwachunguza watuhumiwa wa Escrow zitende haki.....!

"HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete ameweka hadharani mambo yote kuhusiana na sakata la akaunti ya Tegeta Escrow na kuchukua hatua kwa baadhi ya watendaji.Akihutubia mkutano wa Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam, Rais Kikwete, alimvua uwaziri Profesa Anna Tibaijuka kutokana na kuhusishwa katika kashfa hiyo na watendaji wengine wakiendelea kuchunguzwa.Pia, aliagiza hatua kadhaa kuchukuliwa ili kuhakikisha serikali inapata halali...

 

11 years ago

Habarileo

Nderumaki Mhariri Mtendaji TSN

RAIS Jakaya Kikwete, amemteua Gabriel Nderumaki, kuwa Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), wachapishaji wa magazeti ya Habari Leo, Habari Leo Jumapili, Spoti Leo, Daily News na Sunday News.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mhariri wa Washington Post afariki

Mhariri wa zamani wa gazeti la Washngton Post Ben Bradlee aliyeongoza uhariri wa kashfa ya Watergate miaka ya 70 afariki.

 

10 years ago

Vijimambo

MHARIRI WA MWANAHALISI ONLINE AFARIKI DUNIA

Mhariri  wa Mwana Halisi Online, Edson Kamukara (pichani), amefariki Dunia kwa ajali ya moto nyumbani kwake Mabibo jijini Dar es Salaam leo hii majira ya saa moja kasorobo jioni, baada ya kulipukiwa na jiko la gesi, habari zilizotufikia sasa hivi zinasema kuwa Polisi wameuchukua mwili wa marehemu na kwenda kuhifadhi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya uchunguzi wa kifo chake.
Ofisa Uhusiano wa NMB, Viccent Mnyanyika akimkabidhi zawadi marehemu Edson Kamukara wakati wa uhai wake...

 

11 years ago

GPL

MHARIRI WA NEWS OF THE WORLD JELA MIEZI 18

Andy Coulson wakati akifikiswa Mahakama ya Old Bailey, London leo. Mapaparazi wakiwa kazini wakati Andy Coulson akiwa eneo la mahakama ya Old Bailey. ALIYEKUWA  mhariri wa gazeti la News of the World, Andy Coulson amehukumiwa kifungo cha miezi 18 jela kwa kusikiliza mawasiliano ya watu kwa siri. Hukumu hiyo imetolewa leo katika Mahakama ya Old Bailey iliyopo jijini London, England. Akitoa hukumu hiyo,… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Aliyekuwa mhariri msanifu wa Mwananchi afariki dunia

Aliyekuwa Mhariri Msanifu wa Gazeti la Mwananchi linalochapishwa na Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL), Jamila Kilahama (pichani),amefariki dunia jana jijini hapa baada ya kuugua kwa muda mfupi. Jamila ambaye aliitumikia MCL kwa miaka mitatu, alifariki dunia katika Hospitali ya Arafa Mbezi, baada ya kuugua shinikizo la damu na kupungukiwa na damu ghafla akiwa nyumbani kwake Mbezi.

 

9 years ago

Mwananchi

MAONI YA MHARIRI: Mwaka 2016 uwe wa kujenga uchumi

Mwaka 2015 ulikuwa wa uchaguzi mkuu. Serikali ilitimiza wajibu wake, na wananchi; vijana kwa wazee, wake kwa waume walitekeleza wajibu wao uchaguzi ukafanyika tena kwa amani na utulivu.

 

11 years ago

GPL

MHARIRI MTENDAJI GAZETI LA JAMBO LEO AMEREMETA‏

Anicetus M. Busagi akimtambulisha mkewe Levina A. Mtei kwa wageni waalikwa katika hafla ya harusi yao iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam. . Mhariri Mtendaji Mtendaji wa Gazeti la Jambo Leo Apata, Anicetus M. Busagi akiwa na mkewe Levina A. Mtei katika hafla kabambe ya harusi yao iliyofanyika jana jijini Dar es Salaam katika Ukumbi wa Lunch Time. Mhariri Mtendaji Mtendaji wa Gazeti la Jambo Leo Apata, Anicetus M. Busagi...

 

9 years ago

TheCitizen

Ndimara new MCL ombudsman

Tanzanian media guru Ndimara Tigambwage has joined the Mwananchi Communications Ltd (MCL) as an ombudsman (public editor), as the leading print media house moves to uphold its integrity and independence by promoting transparency and public interest in its news operations.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani