MHARIRI WA NEWS OF THE WORLD JELA MIEZI 18
Andy Coulson wakati akifikiswa Mahakama ya Old Bailey, London leo. Mapaparazi wakiwa kazini wakati Andy Coulson akiwa eneo la mahakama ya Old Bailey. ALIYEKUWA mhariri wa gazeti la News of the World, Andy Coulson amehukumiwa kifungo cha miezi 18 jela kwa kusikiliza mawasiliano ya watu kwa siri. Hukumu hiyo imetolewa leo katika Mahakama ya Old Bailey iliyopo jijini London, England. Akitoa hukumu hiyo,… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Naomi-Campbell.jpg)
NAOMI ATUPWA JELA MIEZI SITA
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Aliyesababisha ajali ya Mbowe jela miezi 18
MAHAKAMA ya Wilaya ya Geita mkoani Geita imemhukumu Sayi Kahindi (35) kifungo cha miezi 18 jela baada ya kutiwa hatiani kwa kusababisha ajali ya gari alilokuwemo Mbunge wa Hai, Freeman...
11 years ago
Habarileo10 Apr
Dereva bodaboda jela miezi sita
DEREVA wa Bodaboda, Shaban Hamis (22) amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela au kulipa faini ya Sh 100,000 baada ya kusafirisha abiria bila ya kuwa na leseni ya usafirishaji.
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Jela miezi sita kwa wizi wa jeneza
9 years ago
BBCSwahili22 Aug
Miezi 6 jela kwa wapenzi wa jinsia moja
11 years ago
Habarileo18 Jan
Mwanamke aliyetapeli kwa Airtel Money jela miezi 6
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora, imemhukumu mkazi wa hapa kwenda jela miezi sita, kwa kosa la utapeli wa fedha kwa njia ya mtandao wa Airtel Money kwa mawakala mbalimbali wilayani humo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LCVSK2Si-ig/XsUpAyQcJKI/AAAAAAALq9c/epsSaqgDv4UPCwu4FzvxiJQpFfdCzyNOQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200520-WA0063.jpg)
AFUNGWA MIEZI TANO JELA BABATI KWA KUPOKEA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LCVSK2Si-ig/XsUpAyQcJKI/AAAAAAALq9c/epsSaqgDv4UPCwu4FzvxiJQpFfdCzyNOQCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200520-WA0063.jpg)
Hakimu mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya Babati, Victor Kimaro alitoa hukumu hiyo jana mjini Babati kwenye mahakama hiyo.
Hakimu huyo alisema mahakama hiyo inamtia hatiani Sulle kwenye kesi hiyo ya jinai namba CC 92/2020 baada ya kuridhika na ushahidi uliowasilishwa na wakili wa Takukuru Evelyine Onditi.
Hakimu Kimaro alisema hata hivyo, washtakiwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-79kiWldrAZE/XmeoFSY9pNI/AAAAAAALidk/gz4WGG1rxYw8YolJEAyuhVvk0tFF-CD_QCLcBGAsYHQ/s72-c/6b10e311-1563-4943-afd8-56d6691deb2f.jpg)
BREAKING NEWZZZZ: MBOWE,WENZAKE WATAKIWA KULIPA FAINI YA SHILINGI MILIONI 350 AU KWENDA JELA MIEZI MITANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-79kiWldrAZE/XmeoFSY9pNI/AAAAAAALidk/gz4WGG1rxYw8YolJEAyuhVvk0tFF-CD_QCLcBGAsYHQ/s640/6b10e311-1563-4943-afd8-56d6691deb2f.jpg)
Hukumu hiyo iliyochukua takribani saa nne imesomwa na Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba amesema upande wa mashtaka unaweza kuthibitisha pasipo kuacha shtaka...
10 years ago
Habarileo21 Apr
BREAKING NEWS: Rais Morsi ahukumiwa miaka 20 jela
Makahama nchini Mirsi imemhukumu aliyekuwa rais wa zamani Mohammed Mosri kifungo cha miaka 20 gerezani kutokana na kuuawa kwa waamdamanaji wakati akiwa madarakani.