Aliyesababisha ajali ya Mbowe jela miezi 18
MAHAKAMA ya Wilaya ya Geita mkoani Geita imemhukumu Sayi Kahindi (35) kifungo cha miezi 18 jela baada ya kutiwa hatiani kwa kusababisha ajali ya gari alilokuwemo Mbunge wa Hai, Freeman...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-79kiWldrAZE/XmeoFSY9pNI/AAAAAAALidk/gz4WGG1rxYw8YolJEAyuhVvk0tFF-CD_QCLcBGAsYHQ/s72-c/6b10e311-1563-4943-afd8-56d6691deb2f.jpg)
BREAKING NEWZZZZ: MBOWE,WENZAKE WATAKIWA KULIPA FAINI YA SHILINGI MILIONI 350 AU KWENDA JELA MIEZI MITANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-79kiWldrAZE/XmeoFSY9pNI/AAAAAAALidk/gz4WGG1rxYw8YolJEAyuhVvk0tFF-CD_QCLcBGAsYHQ/s640/6b10e311-1563-4943-afd8-56d6691deb2f.jpg)
Hukumu hiyo iliyochukua takribani saa nne imesomwa na Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba amesema upande wa mashtaka unaweza kuthibitisha pasipo kuacha shtaka...
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Naomi-Campbell.jpg)
NAOMI ATUPWA JELA MIEZI SITA
11 years ago
GPLMHARIRI WA NEWS OF THE WORLD JELA MIEZI 18
11 years ago
Habarileo10 Apr
Dereva bodaboda jela miezi sita
DEREVA wa Bodaboda, Shaban Hamis (22) amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela au kulipa faini ya Sh 100,000 baada ya kusafirisha abiria bila ya kuwa na leseni ya usafirishaji.
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Jela miezi sita kwa wizi wa jeneza
9 years ago
BBCSwahili22 Aug
Miezi 6 jela kwa wapenzi wa jinsia moja
11 years ago
Habarileo18 Jan
Mwanamke aliyetapeli kwa Airtel Money jela miezi 6
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora, imemhukumu mkazi wa hapa kwenda jela miezi sita, kwa kosa la utapeli wa fedha kwa njia ya mtandao wa Airtel Money kwa mawakala mbalimbali wilayani humo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LCVSK2Si-ig/XsUpAyQcJKI/AAAAAAALq9c/epsSaqgDv4UPCwu4FzvxiJQpFfdCzyNOQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200520-WA0063.jpg)
AFUNGWA MIEZI TANO JELA BABATI KWA KUPOKEA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LCVSK2Si-ig/XsUpAyQcJKI/AAAAAAALq9c/epsSaqgDv4UPCwu4FzvxiJQpFfdCzyNOQCLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200520-WA0063.jpg)
Hakimu mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya Babati, Victor Kimaro alitoa hukumu hiyo jana mjini Babati kwenye mahakama hiyo.
Hakimu huyo alisema mahakama hiyo inamtia hatiani Sulle kwenye kesi hiyo ya jinai namba CC 92/2020 baada ya kuridhika na ushahidi uliowasilishwa na wakili wa Takukuru Evelyine Onditi.
Hakimu Kimaro alisema hata hivyo, washtakiwa...
10 years ago
Mtanzania15 Apr
Ajali zaua watu 860 kwa miezi mitatu
KOKU DAVID NA ASIFIWE GEORGE, DAR ES ALAAM
JESHI la Polisi nchini, limesema Watanzania 866 wamefariki dunia katika kipindi cha miezi mitatu, kutokana na ajali za barabarani.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohammed Mpinga alisema kuanzia Januari hadi Machi mwaka huu, ajali 2,116 zimetokea katika maeneo mbalimbali nchini.
Alisema katika ajali hizo, watu 866 wamepoteza maisha na wengine 2,363 kujeruhiwa, ambao baadhi yao...