MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA SHAMBA LA WAZIRI MKUU DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-nfSQGUH6nB0/Uy7EEJhsUFI/AAAAAAAFVu4/lGs3dBIrQmo/s72-c/unnamed+(64).jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wanachuo wa Chuo cha Nyuki cha Tabora waliotembelea shamba lake lililopo Zuzu, Dodoma kujifunza ufugaji bora wa nyuki Machi 22, 2014.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongozana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Idd kukagua zao la zabibu katika shamba lake lililopo Zuzu , Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitoa maelezo kuhusu zao la migomba kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Idd ambaye alitembelea shamba lake...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-FfD2Wu4Zb0s/VDvZ8ngCh5I/AAAAAAAGpzY/m4aj_heHTUI/s72-c/856.jpg)
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-FfD2Wu4Zb0s/VDvZ8ngCh5I/AAAAAAAGpzY/m4aj_heHTUI/s1600/856.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9gGwKIWXdlU/VDvZ-nhwAuI/AAAAAAAGpzk/WHWyD5u6bR8/s1600/869.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--pKecWbftlQ/VDvZ-IkmpgI/AAAAAAAGpzg/z25UdEtSua8/s1600/894.jpg)
9 years ago
MichuziMAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALLY IDD ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA NHC
9 years ago
VijimamboMAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR, BALOZI SEIF ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA NHC JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
MichuziWARSHA YA TASAF ILIVYOZINDULIWA LEO NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS,MH.MOHAMMED ABOUD,ZANZIBAR
10 years ago
MichuziMAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AZINDUA WA BARABARA YA MKAPA AWAMU YA PILI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rO-fD9Yy4is/U6w3VfXEWdI/AAAAAAAFtFE/LqXT2koGB9c/s72-c/002.jpg)
Makamu wa Rais wa China akutana na Makamu Wa pili wa Rais wa Zanzibar
Kauli hiyo imetolewa na Makamu wa Rais wa China Bwana Li Yuanchao wakati yeye na ujumbe wake alipofanya mazungumzo Rasmi na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiuongoza Ujumbe wa Zanzibar kwa Niaba ya Rais wa Zanzibarna Mwenyekiti...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TemWwfoAqKY/XlQH6QFicyI/AAAAAAALfL4/Ykttwhp5t5gC-lnMHjuxPBW6Jmc2st3kgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC6355AA-1024x599.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR IKULU
![](https://1.bp.blogspot.com/-TemWwfoAqKY/XlQH6QFicyI/AAAAAAALfL4/Ykttwhp5t5gC-lnMHjuxPBW6Jmc2st3kgCLcBGAsYHQ/s640/DSC6355AA-1024x599.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC6357AA-1024x613.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, katika mkutano wa uwasilishaji wa Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa Ofisi hiyo kwa kipindi cha mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC6365AA-1024x606.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iTXU2Kqn-b8/VSU9_g0opMI/AAAAAAAHPn4/AyQTJFv4_vg/s72-c/386.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akutana na Balozi Mdogo Mpya wa India Zanzibar
![](http://1.bp.blogspot.com/-iTXU2Kqn-b8/VSU9_g0opMI/AAAAAAAHPn4/AyQTJFv4_vg/s1600/386.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yz3OGcx2EFo/VSU9_juIwXI/AAAAAAAHPoA/Wl13glrTZJo/s1600/405.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_wqZdkqljvY/VSU9_3frNtI/AAAAAAAHPn8/0AsQVhoJb84/s1600/413.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jj1yN567dMM/VSU-AtxAscI/AAAAAAAHPoM/MGgu2JkVK64/s1600/417.jpg)
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif asimamisha ujenzi wa nyumba ya ghorofa mjini Unguja, Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-0nuV9SbdKiE/VmlorIz03FI/AAAAAAABqQ0/DFgD6fOieeA/s640/IMG_9802.jpg)
Balozi Seif akipokea malalamiko ya Wakaazi wa Mtaa wa Mlandege wakimshutumu Mmiliki wa Kiwanja cha jengo la Ghorofa Bwana Anuari Abdulla anayejenga pamoja na eneo la wazi.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z0emXn-nKP8/VmloqRi39GI/AAAAAAABqQs/DyEiHs_q1pc/s640/IMG_9805.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwasili mtaa wa Mlandege kukagua kiwanja cha nyumba ya Ghorofa kinacholalamikiwa na Wakaazi wa Mtaa huo kwamba kimevamia pia eneo la wazi linalotumika kwa shughuli za Kijamii.
![](http://3.bp.blogspot.com/-0oT66RidQow/VmlorIgM87I/AAAAAAABqQw/TcMtR1tGsmc/s640/IMG_9808.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ey1aJLw5_tk/VmlovowkR_I/AAAAAAABqRE/vcjf3f24OLg/s640/IMG_9812.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-arNSaVzHaek/Vmlo1OkrwsI/AAAAAAABqRU/tNe2AoFEegc/s640/IMG_9818.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwasili mtaa wa Mlandege kukagua kiwanja...