MWILI WA MTU WAOKOTWA MTO MZINGA, KONGOWE JIJINI DAR

Mwili wa mtu huyo ukielea kwenye maji ya mto Mzinga. Mwili baada ya kutolewa nje kabla ya kuzikwa na jiji. Kamera yetu leo hii imenasa mwili wa mtu mmoja ambaye hakufahamika jina lake ukielea ndani ya Mto Mzinga maeneo ya Kongowe jijini Dar es Salaam. Mwili wa mtu huyo ulipatikana baada ya wakazi wa eneo hilo kudai kuwa harufu kali ilikuwa ikitoka eneo hilo na ndipo waligundua maiti hiyo ambayo… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi15 Apr
DK. MAGUFULI ASIMAMIA URUDISHWAJI HUDUMA DARAJ LA MTO MZINGA, KONGOWE
Daraja hilo lilibomoka tarehe 13 Aprili, 2014 majira ya saa 12:00 asubuhi baada ya mabasi matatu kuvuka.
Daraja lilibomoka majira ya saa 12:00 na kufanya msururu wa mabasi yaendayo mikoa ya...
10 years ago
GPL
MWILI WA KICHANGA WAOKOTWA
10 years ago
Michuzi
mtu mmoja akutwa amekufa kando kando ya mto Ilolo,jijini Mbeya

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
MichuziYaleyaleeee......uchimbaji mchanga mto mbezi jijini Dar es salaam waendelea kama kawa
10 years ago
Michuzi
HIVI NDIVYO MAMBO YALIVYO KATIKA MAENEO YALIYO KANDO NA BONDE LA MTO MSIMBAZI,VINGUNGUTI JIJINI DAR

BOFYA HAPA KUTEMBELEA LIBENEKE LA MTAA KWA MTAA KUONA PICHA ZAIDI
11 years ago
GPL
MWILI WA DK MGIMWA WAAGWA JIJINI DAR
10 years ago
VijimamboMWILI WA MAREHEMU DK KIGODA WAPOKELEWA JIJINI DAR
11 years ago
GPL
MWILI WA BALOZI FLOSSY WAAGWA JIJINI DAR
11 years ago
GPLMWILI WA FIDELIS MANYOTA WAAGWA JIJINI DAR