Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWILI WA KICHANGA WAOKOTWA

Mwili wa kichanga cha jinsia ya kike ulioanza kuaribika umeokotwa leo majira ya saa nane mchana katika eneo la Ukonga Sabasaba Kwa Diofu, kwenye shamba la mzee Msindo. (Habari/Picha: Global Whatsapp +255 753 715…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MWILI WA MTU WAOKOTWA MTO MZINGA, KONGOWE JIJINI DAR

Mwili wa mtu huyo ukielea kwenye maji ya mto Mzinga. Mwili baada ya kutolewa nje kabla ya kuzikwa na jiji. Kamera yetu leo hii imenasa mwili wa mtu mmoja ambaye hakufahamika jina lake ukielea ndani ya Mto Mzinga maeneo ya Kongowe jijini Dar es Salaam. Mwili wa mtu huyo ulipatikana baada ya wakazi wa eneo hilo kudai kuwa harufu kali ilikuwa ikitoka eneo hilo na ndipo waligundua maiti hiyo ambayo… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwili wa kichanga wakutwa umefukiwa kwenye gofu Songea

DSC02590

Kamanda wa polisi mkoa wa Ruvuma Mihayo Msikhela.

Na Nathan Mtega wa Demashonews, Songea.

Pamoja na kuwepo kwa harakati na utetezi kuhusiana na haki za watoto ikiwemo ya kuishi lakini bado wilayani Songea mkoani Ruvuma kumeendelea kuwepo kwa vitendo vya ukatili dhidi ya watoto vinavyoambatana na utupaji wa watoto wachanga.

Vitendo hivyo ni pamoja na kitendo kilichotokea jana katika mtaa wa Lizaboni mjini Songea ambapo mwili wa mtoto mchanga anaedaiwa kuwa na umri wa miezi sita ulikutwa...

 

11 years ago

GPL

MJAMZITO FEKI AIBA KICHANGA

Na Deogratius Mongela na Nyemo Chilongani
INAWEZA kukushtua lakini ndivyo ilivyotokea. Kichanga cha siku thelathini, Veis Venus kiliibwa hivi karibuni, mtuhumiwa akiwa ni mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Grace akidaiwa ni mjamzito feki. Mtoto Veis Venus aliyekuwa ameibiwa. Tukio hilo la kushangaza lilijiri Januari 27, 2013 maeneo ya Posta jijini Dar na mtoto huyo kupatikana Januari mwaka huu, mkoani Mbeya. Akizungumza na...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Mfanyakazi wa ndani atoweka na kichanga



Mwingine aiba mtoto wa miaka
miwili, amtelekeza barabarani
NA MWANDISHI WETU, MWANZA
WIMBI la wizi wa watoto sasa limeanza kushika kasi nchini, ambapo watumishi wawili wa ndani kwa nyakati na maeneo tofauti, wametoweka na watoto wa waajiri wao.
Miongoni mwa watoto walioibwa, yupo mwenye umri wa miezi tisa na mwingine miaka miwili na nusu. Kati ya hao, mmoja amepatikana akiwa ametelekezwa barabarani.
Watumishi hao walikuwa wakiwalea watoto hao, ambapo waliofanikiwa kuwaiba wazazi wao wakiwa kwenye...

 

9 years ago

Global Publishers

Adakwa akienda kutupa kichanga!

IMG-20151216-WA0001 Kichanga kilichotaka kutupwa  na mama yake.

Deogratius Mongela na Chande Abdallah
INASIKITISHA! Wakati watu wengi wakisaka watoto kwa udi na uvumba, mama anayejulikana kwa jina la Ruth, mkazi wa Mbezi jijini Dar amenusurika kichapo kutoka kwa wananchi baada ya kumdaka akiwa kwenye harakati za kutaka kumtupa mtoto baada ya kujifungua.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio, siku ya tukio, Desemba 14, mwaka huu, majira ya saa 2 asubuhi, walimuona Ruth ambaye alikuwa mjamzito akilalamika kuwa tumbo...

 

11 years ago

Habarileo

Mwanamke atuhumiwa kuiba ‘kichanga’

MKAZI wa Bunju B, Grace Chapanga(34), anashikiliwa na Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa tuhuma za wizi wa mtoto mchanga wa kike mwenye umri wa mwezi mmoja. Kamanda wa Kanda hiyo, Kamishna wa Polisi Suleiman Kova alisema Chapanga alimuiba mtoto huyo, Veis Venus Desemba 27 mwaka jana katika maeneo ya Mwenge jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Habarileo

Anyonga kichanga na kumtumbukiza kisimani

POLISI mkoani hapa inamshikilia msichana wa miaka 18, aliyetajwa kwa jina la Rhoda Idetemya kwa tuhuma ya kumyonga mtoto wake wa miezi miwili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni kwa kutupa kichanga

JESHI la Polisi mkoani Pwani linamshikilia Theresia Matia (19) mkazi wa Kwamatiasi, Wilaya ya Kibaha, Pwani kwa tuhuma za kutupa mtoto mchanga. Tukio hilo limetokea  juzi, saa 3 usiku ambapo...

 

11 years ago

GPL

BELINA ANASWA NA KICHANGA CHAKE

Modo maarufu Bongo, Belina Mgeni akiwa na mtoto wake Naila. ...Belina Mgeni akielekea nyumbani. MODO maarufu Bongo, Belina Mgeni amenaswa na kamera yetu maeneo ya Mikocheni, Dar akiwa na kichanga chake.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani