Mwili wa kichanga wakutwa umefukiwa kwenye gofu Songea
Kamanda wa polisi mkoa wa Ruvuma Mihayo Msikhela.
Na Nathan Mtega wa Demashonews, Songea.
Pamoja na kuwepo kwa harakati na utetezi kuhusiana na haki za watoto ikiwemo ya kuishi lakini bado wilayani Songea mkoani Ruvuma kumeendelea kuwepo kwa vitendo vya ukatili dhidi ya watoto vinavyoambatana na utupaji wa watoto wachanga.
Vitendo hivyo ni pamoja na kitendo kilichotokea jana katika mtaa wa Lizaboni mjini Songea ambapo mwili wa mtoto mchanga anaedaiwa kuwa na umri wa miezi sita ulikutwa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
MWILI WA KICHANGA WAOKOTWA
10 years ago
Michuzi
Mwili wa kijana Denis Casmiry wakutwa ufukweni jijini dar

Akizungumza na Ripota wetu huku akionekana kuwa na masikitiko makubwa,Baba Mzazi wa Mtoto huyo aliejitambulisha kwa jina la Casmiry,amesema kuwa walipata taarifa ya mtoto wao kupotea toka Jumamosi Desemba 20,2014 ambapo inadaiwa kuwa aliondoka nyumbani kwao akiwa na marafiki zake kwenda kwenye Mazoezi ya viungo...
10 years ago
Michuzi.jpg)
mwili wa hayati kepteni John Damiano Komba wawasili Songea
.jpg)
10 years ago
GPL
KICHANGA AUAWA, ATIWA KWENYE MFUKO WA RAMBO
5 years ago
MichuziWAZIRI MWAKYEMBE AIOMBA JWTZ KUENDELEA KUWEKEZA KWENYE MICHEZO IKIWEMO GOFU
Waziri wa Habari utamaduni sanaa na Michezo Dr Harrison Mwakyembe amesema Serikali itahakikisha inatafuta ufumbuzi wa changamoto wa Uhaba na Ubovu wa viwanja Vya Mchezo wa Golf hapa Nchini na kuliomba Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania kusaidia kukabiliana na Changamoto hiyo
Wazirii Mwakyembe alisema hayo jana wakati akifunga mashindano ya mchezo wa gofu ya TANAPA Lugalo Open yaliyofanyika katika Viwanja vya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania vya Lugalo...
5 years ago
Michuzi
WATOTO WENYE UMRI WA MIAKA MITANO HADI 12 RAIA WA ETHIOPIA WAKUTWA WAMEHIFADHIWA KWENYE NYUMBA YA MTU BINAFSI MKOANI ARUSHA ...POLISI WATOA NENO

JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watoto sita raia wa Ethiopia akiwemo mwenye umri wa miaka mitano baada ya kukuta wamehifadhiwa kwenye nyumba ya mtu binafsi eneo la Ngureso katika Halmashauri ya Jiji la Arusha.
Akizungumzia tukio hilo leo Kamanda wa Polisi omkoani hapa Jonathan Shanna amesema kuwa watoto hao wenye umri wa miaka mitano hadi 12 waligundulika Februari 20 mwaka huu kuhifadhiwa nyumbani kwa Amina Ally na Mohammed Mahamudu mkazi wa Ngusero...
11 years ago
GPL
MWILI WA MANDELA WAPELEKWA KWENYE OFISI ZA SERIKALI
10 years ago
Bongo Movies18 Jan
UCHOKOZI: Kitu Gani Mnapenda Kwenye Mwili Wanguuu? Uwoya Anauliza
Mrembo na mwigizaji Irene Uwoya, hivi juzi kati aliwauliza swali followers wake kwenye mtandao wa INSTAGRAM, kuwa kitu gani wanapenda kwenye mwili wake, mara baada ya kuweka picha yake hiyo hapo juu. Swali ambalo liliibua COMMENTS nyingi na LIKES za kutosha huku kila mtu akisema lake na wengine wakisema hili swali ni tata kidogo na wengine wakisema huu ni uchokozi....
Sasa na mimi ni kaona sio mbaya ni share na wewe swali hili kwa kulileta hapa, nikiamini hapa kuana wadu na wapenzi wengi...
10 years ago
Vijimambo21 Dec
MWALIMU ANYONGA MTOTO WAKE GESTI MWILI HAWACHA KWENYE KORIDO LA HOSPITAL
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia jana ambapo
kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa geita Joseph Konyo amesema tayari wanamshikilia mtuhumiwa baada ya vipimo vya daktari kudhibitisha kuwa mtoto huyo kanyongwa.
Baadhi ya mashuhuda wa tukio...