Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwili wa kichanga wakutwa umefukiwa kwenye gofu Songea

DSC02590

Kamanda wa polisi mkoa wa Ruvuma Mihayo Msikhela.

Na Nathan Mtega wa Demashonews, Songea.

Pamoja na kuwepo kwa harakati na utetezi kuhusiana na haki za watoto ikiwemo ya kuishi lakini bado wilayani Songea mkoani Ruvuma kumeendelea kuwepo kwa vitendo vya ukatili dhidi ya watoto vinavyoambatana na utupaji wa watoto wachanga.

Vitendo hivyo ni pamoja na kitendo kilichotokea jana katika mtaa wa Lizaboni mjini Songea ambapo mwili wa mtoto mchanga anaedaiwa kuwa na umri wa miezi sita ulikutwa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MWILI WA KICHANGA WAOKOTWA

Mwili wa kichanga cha jinsia ya kike ulioanza kuaribika umeokotwa leo majira ya saa nane mchana katika eneo la Ukonga Sabasaba Kwa Diofu, kwenye shamba la mzee Msindo. (Habari/Picha: Global Whatsapp +255 753 715…

 

10 years ago

Michuzi

Mwili wa kijana Denis Casmiry wakutwa ufukweni jijini dar

MWANAFUNZI wa kidato cha kwanza katika shule ya Sekondari Kambangwa,Denis Casmiry mwenye umri wa miaka 16 (pichani) amekutwa kwenye ufukwe wa Salander Bridge akiwa amefariki dunia
Akizungumza na Ripota wetu huku akionekana kuwa na masikitiko makubwa,Baba Mzazi wa Mtoto huyo aliejitambulisha kwa jina la Casmiry,amesema kuwa walipata taarifa ya mtoto wao kupotea toka Jumamosi Desemba 20,2014 ambapo inadaiwa kuwa aliondoka nyumbani kwao akiwa na marafiki zake kwenda kwenye Mazoezi ya viungo...

 

10 years ago

Michuzi

mwili wa hayati kepteni John Damiano Komba wawasili Songea

Jeneza lililobeba mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi na Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM marehemu John Damiano Kumba ukipokelewa katika uwanja wa ndege wa Songe na umati mkubwa wa waombolezaji wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,Mhe.Mwambungu,Mhe.John Nchimbi,Mbunge wa Songea Mjini,na Waziri  wa Nchi Ofisi ya Rais(Kazi Maalum)Mark Mwandosya,kulia. Marehemu anatarajiwa kuzikwa kijijini kwake Lituhi, Wilaya ya Nyasa, Kesho.

 

10 years ago

GPL

KICHANGA AUAWA, ATIWA KWENYE MFUKO WA RAMBO

Mwili wa kitoto kichanga uliotupwa kwenye jalala. Stori: Mwandishi Wetu, Mbeya/UWAZI
UKATILI, Mtoto mchanga ambaye anasadikika kuwa wa siku saba, amekutwa akiwa ameuawa na mwili wake kuwekwa kwenye mfuko wa rambo kisha kutupwa pembeni mwa jalala. Tukio hilo lilitokea hivi karibuni katika Mtaa wa Kaloleni  katika Mji wa Tunduma katika Wilaya ya Momba, mkoani Mbeya . Wakizungumza na gazeti hili mashuhuda ambao hawakupenda...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MWAKYEMBE AIOMBA JWTZ KUENDELEA KUWEKEZA KWENYE MICHEZO IKIWEMO GOFU

Na Luteni Selemani Semunyu
Waziri wa Habari utamaduni sanaa na Michezo Dr Harrison Mwakyembe amesema Serikali itahakikisha inatafuta ufumbuzi wa changamoto wa Uhaba na Ubovu wa viwanja Vya Mchezo wa Golf hapa Nchini na kuliomba Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania kusaidia kukabiliana na Changamoto hiyo
Wazirii Mwakyembe alisema hayo jana wakati akifunga mashindano ya mchezo wa gofu ya TANAPA Lugalo Open yaliyofanyika katika Viwanja vya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania vya Lugalo...

 

5 years ago

Michuzi

WATOTO WENYE UMRI WA MIAKA MITANO HADI 12 RAIA WA ETHIOPIA WAKUTWA WAMEHIFADHIWA KWENYE NYUMBA YA MTU BINAFSI MKOANI ARUSHA ...POLISI WATOA NENO

Na Woinde Shizza,Arusha


JESHI  la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watoto sita raia  wa Ethiopia akiwemo mwenye umri wa miaka mitano baada ya kukuta wamehifadhiwa kwenye nyumba ya mtu binafsi eneo la Ngureso katika Halmashauri ya Jiji la Arusha.

Akizungumzia tukio hilo leo Kamanda wa Polisi omkoani hapa Jonathan Shanna amesema kuwa watoto hao wenye umri wa miaka mitano hadi 12 waligundulika  Februari 20  mwaka huu  kuhifadhiwa nyumbani kwa Amina Ally na Mohammed Mahamudu mkazi wa Ngusero...

 

11 years ago

GPL

MWILI WA MANDELA WAPELEKWA KWENYE OFISI ZA SERIKALI

Wanajeshi  wameubeba mwili wa hayati Mandela kuelekea ofisi za serikali jijini Pretoria. Mwanamitindo wa Uingereza, Naomi Campbell mbele ya jeneza la mwili wa Mandela.…

 

10 years ago

Bongo Movies

UCHOKOZI: Kitu Gani Mnapenda Kwenye Mwili Wanguuu? Uwoya Anauliza

Mrembo na mwigizaji  Irene Uwoya, hivi juzi kati aliwauliza swali followers wake kwenye mtandao wa INSTAGRAM, kuwa kitu gani wanapenda kwenye mwili wake, mara baada ya kuweka picha yake hiyo hapo juu. Swali ambalo liliibua COMMENTS nyingi na LIKES za kutosha huku kila mtu akisema lake na wengine wakisema hili swali ni tata kidogo na wengine wakisema huu ni uchokozi....

Sasa na mimi ni kaona sio mbaya ni share na wewe swali hili kwa kulileta hapa, nikiamini hapa kuana wadu na wapenzi wengi...

 

10 years ago

Vijimambo

MWALIMU ANYONGA MTOTO WAKE GESTI MWILI HAWACHA KWENYE KORIDO LA HOSPITAL

Jeshi la polisi wilayani Mbogwe mkoani Geita linashikilia mwalimu wa shule ya msingi Kasandalala wilayani humo Laideth Constantine mwenye umri wa miaka 33 baada ya kumnyonga mwanae wa kiume mwenye umri wa miaka 7 akiwa kwenye nyumba ya kulala wageni(Gesti).

Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia jana ambapo
kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa geita Joseph Konyo amesema tayari wanamshikilia mtuhumiwa baada ya vipimo vya daktari kudhibitisha kuwa mtoto huyo kanyongwa.

Baadhi ya mashuhuda wa tukio...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani