Mwili wa kijana Denis Casmiry wakutwa ufukweni jijini dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-adO9QJd-I0I/VJhuReiipzI/AAAAAAAG5HY/jVN5Zv95n18/s72-c/IMG-20141222-WA0001.jpg)
MWANAFUNZI wa kidato cha kwanza katika shule ya Sekondari Kambangwa,Denis Casmiry mwenye umri wa miaka 16 (pichani) amekutwa kwenye ufukwe wa Salander Bridge akiwa amefariki dunia
Akizungumza na Ripota wetu huku akionekana kuwa na masikitiko makubwa,Baba Mzazi wa Mtoto huyo aliejitambulisha kwa jina la Casmiry,amesema kuwa walipata taarifa ya mtoto wao kupotea toka Jumamosi Desemba 20,2014 ambapo inadaiwa kuwa aliondoka nyumbani kwao akiwa na marafiki zake kwenda kwenye Mazoezi ya viungo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NfZBQ8g66NTw0UzhMCy7go13lpYTfGtB*aq1T234j75qe1-Dp168qzn8537HpfeczlIk55e96CSA1ZOhaUbLnK21oEUoM0ho/wolper.jpg)
WAZUNGU WAKUTWA WAMEKUFA CHUMBANI JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
Mwili wa kichanga wakutwa umefukiwa kwenye gofu Songea
Kamanda wa polisi mkoa wa Ruvuma Mihayo Msikhela.
Na Nathan Mtega wa Demashonews, Songea.
Pamoja na kuwepo kwa harakati na utetezi kuhusiana na haki za watoto ikiwemo ya kuishi lakini bado wilayani Songea mkoani Ruvuma kumeendelea kuwepo kwa vitendo vya ukatili dhidi ya watoto vinavyoambatana na utupaji wa watoto wachanga.
Vitendo hivyo ni pamoja na kitendo kilichotokea jana katika mtaa wa Lizaboni mjini Songea ambapo mwili wa mtoto mchanga anaedaiwa kuwa na umri wa miezi sita ulikutwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5Yin0vOU82gwDByLa*rLtint-Ms-xpNoo8me7EdzDiwj7OLRVCF5ITsmMq7jGoSKaqFUS*PVh-J-CQ6R4Jmx7nA4/kijana.jpg)
KIJANA AKUTWA AMEJERUHIWA VIBAYA KIMARA JIJINI DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DGhaQe0o0DRDHTzKeAlb9nK8xFvQjn-mnuun9GCOkzdriyUfafyITzK*6oqfbe4MbcxFSVkmZoWMyYKMTX2mQglgAZFIq06x/dkwilliammgimwakalenga1.jpg?width=550)
MWILI WA DK MGIMWA WAAGWA JIJINI DAR
11 years ago
GPLMWILI WA FIDELIS MANYOTA WAAGWA JIJINI DAR
9 years ago
VijimamboMWILI WA MAREHEMU DK KIGODA WAPOKELEWA JIJINI DAR
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yKpv8yol6AkIQa5ScpZAikY7XsjOWzXT1mH6etwH5bj3aujeYKnbnFJIna*OANF5nmw8mr5GLlYIbOrEJdrzy-H/BILAL.jpg)
MWILI WA BALOZI FLOSSY WAAGWA JIJINI DAR
11 years ago
GPL25 May
MWILI WA AMINA NGALUMA ULIVYOPOKELEWA JIJINI DAR
9 years ago
MichuziMWILI WA MAREHEMU DKT. ABDALAH KIGODA WAPOKELEWA JIJINI DAR