KIJANA AKUTWA AMEJERUHIWA VIBAYA KIMARA JIJINI DAR
![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5Yin0vOU82gwDByLa*rLtint-Ms-xpNoo8me7EdzDiwj7OLRVCF5ITsmMq7jGoSKaqFUS*PVh-J-CQ6R4Jmx7nA4/kijana.jpg)
Kijana alivyokutwa eneo la Kimara-Mwisho akiwa amejeruhiwa vibaya. ...Akipelekwa kwenye gari la polisi.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rqTJZSeqzRY/U_TaYDjO6oI/AAAAAAAGA-k/IsgmJzdrzNg/s72-c/MMGM2001.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqz-zlEb89GHXio-A21O3cA3wHdSbd9iLe3-rRQUjuVivZn7tVAsTsqkSbO5utWSnLeU9J1khKLlvmj*YdzjAe9c/BREAKINGNEWS.gif)
AKUTWA AMEUAWA ENEO LA AFRICANA-MBEZI JIJINI DAR
Mwili wa Erick 'Ras Kiduku' kama ulivyokutwa eneo la tukio. Ufunguo wa Bajaj aliyokuwa akiendesha marehemu Ras Kiduku. MWILI wa kijana ambaye ni dereva wa Bajaj aliyejulikana kwa jina la Erick maarufu kwa jina la Ras Kiduku umekutwa ukiwa umetupwa eneo la Kilongawima, Africana-Mbezi jijini Dar es Salaam. Pembeni…
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zX_90Q8EEHw/UxCOrHhgxAI/AAAAAAAFQSE/FDJmBi1IL2o/s72-c/unnamed+(45).jpg)
DR.MAGUFULI AKAGUA MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI (BRT) JIJINI DAR ES SALAAM: BARABARA YA KIMARA HADI KIVUKONI KUKAMILIKA NDANI YA MIEZI SITA
Kampuni ya Strabag International GmbH inayotekeleza ujenzi wa barabara ya Morogoro kuanzia Kimara hadi Kivukoni hapa jijini Dar es Salaam imetakiwa kuhakikisha kuwa inakamilisha ujenzi wa sehemu hiyo ndani ya kipindi cha miezi sita ijayo kama mkataba wao unavyoelekeza.
Waziri wa Ujenzi Mhe. Magufuli alitoa agizo hilo wakati akiwa katika ziara ya kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa barabara kwa ajili ya mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam (Dar es Salaam Bus Rapid Transit -...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-adO9QJd-I0I/VJhuReiipzI/AAAAAAAG5HY/jVN5Zv95n18/s72-c/IMG-20141222-WA0001.jpg)
Mwili wa kijana Denis Casmiry wakutwa ufukweni jijini dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-adO9QJd-I0I/VJhuReiipzI/AAAAAAAG5HY/jVN5Zv95n18/s1600/IMG-20141222-WA0001.jpg)
Akizungumza na Ripota wetu huku akionekana kuwa na masikitiko makubwa,Baba Mzazi wa Mtoto huyo aliejitambulisha kwa jina la Casmiry,amesema kuwa walipata taarifa ya mtoto wao kupotea toka Jumamosi Desemba 20,2014 ambapo inadaiwa kuwa aliondoka nyumbani kwao akiwa na marafiki zake kwenda kwenye Mazoezi ya viungo...
9 years ago
BBCSwahili25 Oct
Uchaguzi wakwama Kimara Dar es Salaam
Wapiga kura katika eneo la Kimara Stop Over, jijini Dar es Salaam hawajafanikiwa kupiga kura kufikia sasa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVmsR-irD1V5j2pVxikX8pwErkChmdu9i4hj3Vp83JnCs9fVrbNcmD57tHrNUepIYjHTziSOOfOFFFAWbqs4udoD/AJALI5.jpg)
BASI LA NBS LAGONGA KIMARA DAR
Muonekano wa mbele wa basi la NBS T719 AZC baada ya kugonga basi la Princes Muro T892 BUR lililokuwa likitokea Dar kwenda Mwanza eneo la Kimara. Basi la Princes Muro T892 BUR likitokea Dar kwenda Mwanza limegongwa nyuma na basi la NBS T719 AZC likiwa safarini kuelekea Tabora eneo la Kimara leo.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-T5d6ReEQFFNKQIWZIo9c58fzc6xoqCwI16vepRlo9PR77UH*tJZc*FcqkFQZonolVh7BWrBsg1H8qNgdqVkwlcnm-*cwS0o/BREAKINGNEWS22.gif?width=500)
LORI LA MAFUTA LAANGUKA KIMARA, DAR
LORI lililokuwa na shehena ya mafuta lita 34,000 likitoka jijini Dar es Salaam kuelekea mikoani limeanguka asubuhi hii eneo la Kimara Darajani, Dar na kuziba barabara huku wananchi wakichota mafuta. Lori hilo ni mali ya Nassor Filling Station. Jeshi la Polisi liliamua kuingilia kati kuwatawanya wananchi hao waliokuwa wakigombea kuchota mafuta eneo la ajali. Video ya tukio hili itawajia hivi punde! ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AdldzlKqph4/VTrl21Qc05I/AAAAAAAHTDI/quC_4MBvflc/s72-c/unnamed.jpg)
Eneo Linauzwa Kimara Mwisho, Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-AdldzlKqph4/VTrl21Qc05I/AAAAAAAHTDI/quC_4MBvflc/s1600/unnamed.jpg)
Changamkia Fursa "Ardhi Ni Mali"Eneo Linauzwa Lipo Kimara Mwisho, Mita 300 Kutoka Morogoro Road Au Stendi Ya Mabisi Ya Mwendo Kasi, Eneo Lina Ukubwa Wa Heka Moja Na Lina
Nyumba Moja Ndogo Na Restaurant Ya Makuti... Linafaa Kwa Makazi Na Biashara.
Kwa Mnunuzi Piga Simu Nambari +255 757 343333 Au 786 582078.
9 years ago
BBCSwahili26 Oct
Upigaji kura waendelea Kimara Dar es Salaam
Wananchi katika kituo cha kupigia kura cha Kimara Stop Over A na B mjini Dar es Salaam wanaendelea kupiga kura baada ya kuahirishwa kwa shughuli hiyo hapo jana kutokana na upungufu wa vifaa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania