Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ofisi ya Polisi Jamii,Kimara Suka jijini Dar

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KIJANA AKUTWA AMEJERUHIWA VIBAYA KIMARA JIJINI DAR

Kijana alivyokutwa eneo la Kimara-Mwisho akiwa amejeruhiwa vibaya. ...Akipelekwa kwenye gari la polisi.…

 

9 years ago

Michuzi

BALOZI WA UTURUKI ATEMBELEA OFISI YA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS, MUUNGANO NA MAZINGIRA JIJINI DAR LEO.

 Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira , January Makamba akisisitiza jambo kwa Balozi wa Uturuki Ms.Yasemin Eralp,alipomtembelea Ofisini kwake Mapema hii leo kwa ajili  ya utambulisho pamoja na kujadili mambo Mengine yanayohusu Mahusiano kati ya Tanzania na Uturuki.
 Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira  Mh .January Makamba akisisitiza jambo kwa Balozi wa Uturuki Ms.Yasemin Eralp,alipomtembelea Ofisini kwake Mapema hii leo kwa ajili  ya...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA POLISI JIJINI DAR: MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA DAR WAKATI WA MAPAMBANO KATI YAO NA ASKARI WA JESHI LA POLISI

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata silaha moja aina ya SMG yenye namba BA172288  na risasi kumi na tatu wakati wa  mapambano makali ya ana kwa ana kati ya majambazi na Jeshi la Polisi.  Aidha katika tukio hilo majambazi wawili waliuawa  kwa risasi wak ati wakijaribu kuwadhuru askari.  
Tukio hilo lilitokea eneo la Kariakoo mtaa wa Mkunguni na Livingstone saa 3.00hrs usiku. Wakati wa tukio hilo umeme ulikuwa hakuna na mlalamikaji alikuwa anatumia taa za...

 

11 years ago

Michuzi

DR.MAGUFULI AKAGUA MRADI WA MABASI YAENDAYO KASI (BRT) JIJINI DAR ES SALAAM: BARABARA YA KIMARA HADI KIVUKONI KUKAMILIKA NDANI YA MIEZI SITA

Kampuni ya Strabag International GmbH inayotekeleza ujenzi wa barabara ya Morogoro kuanzia Kimara hadi Kivukoni hapa jijini Dar es Salaam imetakiwa kuhakikisha kuwa inakamilisha ujenzi wa sehemu hiyo ndani ya kipindi cha miezi sita ijayo kama mkataba wao unavyoelekeza.   Waziri wa Ujenzi Mhe. Magufuli alitoa agizo hilo wakati akiwa katika ziara ya kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa barabara kwa ajili ya mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam (Dar es Salaam Bus Rapid Transit -...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Polisi Kimara wadaiwa kuuza kidhibiti

KITUO cha Polisi Kimara Mwisho Jumamosi kilifungwa baada ya askari wa kituo hicho kuwekwa mahabusu kwa madai ya kuuza kidhibiti cha mirungi waliyoikamata. Kwa mujibu wa chanzo cha habari kilichoomba...

 

9 years ago

Michuzi

DKT. MAYUNGA AKABIDHI OFISI LEO JIJINI DAR.

 Aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Sellasie Mayunga akikabidhi ofisi mbele ya waandishi wa habari leo katika Makao Makuu ya Wizara, Dar es Salaam ambapo amemshauri Naibu Katibu Mkuu mpya DKT. Moses Kusiluka kushughulikia kwa ukaribu suala la mpaka wa Kimataifa wa eneo la Ziwa Nyasa kati ya Tanzania na Malawi kutokana na jambo hilo kuwa na maslahi makubwa ya Taifa.
Pia, amemsahuri Naibu huyo kutoa kipaumbele kwa ujenzi wa kituo cha kupokea picha za...

 

10 years ago

Michuzi

Prof. Muhongo akabidhi Ofisi kwa Simbachawene jijini dar leo

Waziri  mpya wa Nishati na Madini,George Simbachawene (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati makabidhiano ya ofisi na Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini,Profesa Sospeter Muhongo,leo jijini Dar es Salaam.Waziri  mpya wa Nishati na Madini,George Simbachawene (kulia) akikabidhiwa rasmi nyaraka za ofisi na Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini,Profesa Sospeter Muhongo,leo jijini Dar es Salaam.Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii.
Na Chalila Kibuda,Globu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani