Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi Kimara wadaiwa kuuza kidhibiti

KITUO cha Polisi Kimara Mwisho Jumamosi kilifungwa baada ya askari wa kituo hicho kuwekwa mahabusu kwa madai ya kuuza kidhibiti cha mirungi waliyoikamata. Kwa mujibu wa chanzo cha habari kilichoomba...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Shilole Atoboa Sababu ya Kuuza Nyumba Yake Aliyokua Anajenga Kimara

Msanii Shilole aliwai kuingia kwenye headlines baada ya ku-post kwenye instagram picha ya nyumba yake ambayo alikua bado anaijenga. Caption ya picha hiyo ilikua inasomeka hivi, “Mungu nisaidie nimalize hii kitu ili watoto wangu wasije kupata tabu”.

Eneo ambalo alilokua anajenga nyumba hiyo ni Kimara jijini Dar es Salaam lakini Shilole amesema kwamba ameuza nyumba hiyo ambayo ilikua bado haijaisha vizuri.

Akiongea na millardayo.com Shilole ametoa sababu za kuuza nyumba hiyo kama hivi,...

 

10 years ago

Mwananchi

Wadaiwa kuuza samaki walioharibika

Wachuuzi wa samaki mjini Mtwara wamedai kuwa Kampuni ya Alpha imekuwa ikiwauzia samaki wabovu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi wadaiwa fedha za mtuhumiwa

p>SAKATA la Mkuu wa Kituo cha Polisi Igunga mkoani Tabora (OCS), SP Edson Mafuru, kudaiwa kumtorosha mtuhumiwa  Magaka Singu aliyempa mimba mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi wadaiwa kuua raia

ASKARI sita wa Kituo Kikuu cha Polisi Lushoto, mkoani Tanga, wanatuhumiwa kumuua kwa risasi mkazi wa Kijiji cha Viti, Hamis Seif (25) na kumjeruhi mmoja, huku wakidai raia hao walikuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi wadaiwa kuua, kujeruhi raia

Polisi wilayani Kaliua, inadaiwa kumuua mtu mmoja na kumjeruhi mwingine baada ya wananchi zaidi ya 200 kuvamia kituo kidogo cha polisi kwa lengo la kumtoa mtuhumiwa ili wajichukulie sheria mkononi.

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi wadaiwa kuua, wasusiwa marehemu

Jeshi la Polisi limeingia katika kashfa baada ya baadhi ya askari wake wa Kituo cha Mortot Kamwanga kilichopo Longido kudaiwa kumuua mahabusu na wananchi kukataa kumzika na kuipeleka maiti hiyo nje ya kituo hicho.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wadaiwa kutesa watu Nigeria

Polisi nchini Nigeria wanadaiwa kuwatesa wanaume na wanawake pamoja na watoto kwa mujibu wa shirika la Amnesty International

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wadaiwa kuvuruga mkutano Loliondo

Polisi nchini Tanzania wanatuhumiwa kuusambaratisha mkutano wa amani wa hadhara uliopangwa kufanywa leo na wakaazi wa Loliondo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani