Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi wadaiwa kuvuruga mkutano Loliondo

Polisi nchini Tanzania wanatuhumiwa kuusambaratisha mkutano wa amani wa hadhara uliopangwa kufanywa leo na wakaazi wa Loliondo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi wadaiwa fedha za mtuhumiwa

p>SAKATA la Mkuu wa Kituo cha Polisi Igunga mkoani Tabora (OCS), SP Edson Mafuru, kudaiwa kumtorosha mtuhumiwa  Magaka Singu aliyempa mimba mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi wadaiwa kuua raia

ASKARI sita wa Kituo Kikuu cha Polisi Lushoto, mkoani Tanga, wanatuhumiwa kumuua kwa risasi mkazi wa Kijiji cha Viti, Hamis Seif (25) na kumjeruhi mmoja, huku wakidai raia hao walikuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wadaiwa kutesa watu Nigeria

Polisi nchini Nigeria wanadaiwa kuwatesa wanaume na wanawake pamoja na watoto kwa mujibu wa shirika la Amnesty International

 

10 years ago

Tanzania Daima

Polisi Kimara wadaiwa kuuza kidhibiti

KITUO cha Polisi Kimara Mwisho Jumamosi kilifungwa baada ya askari wa kituo hicho kuwekwa mahabusu kwa madai ya kuuza kidhibiti cha mirungi waliyoikamata. Kwa mujibu wa chanzo cha habari kilichoomba...

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi wadaiwa kuua, kujeruhi raia

Polisi wilayani Kaliua, inadaiwa kumuua mtu mmoja na kumjeruhi mwingine baada ya wananchi zaidi ya 200 kuvamia kituo kidogo cha polisi kwa lengo la kumtoa mtuhumiwa ili wajichukulie sheria mkononi.

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi wadaiwa kuua, wasusiwa marehemu

Jeshi la Polisi limeingia katika kashfa baada ya baadhi ya askari wake wa Kituo cha Mortot Kamwanga kilichopo Longido kudaiwa kumuua mahabusu na wananchi kukataa kumzika na kuipeleka maiti hiyo nje ya kituo hicho.

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi Mbezi wadaiwa kumuua fundi ujenzi

Polisi wa Kituo cha Mbezi kwa Yusufu jijini Dar es Salaam, wanadaiwa kumuua kwa kumpiga fundi ujenzi aliyetajwa kwa jina la Elinema Massawe.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi Ruvuma wadaiwa kumpiga risasi dereva

Polisi Mkoa wa Ruvuma imeingia matatani baada ya askari wake kudaiwa kumpiga risasi dereva wa bodaboda, Sallgo Nduguru (22) na kumjeruhi kiganja na paja la mguu wa kushoto.

 

10 years ago

Habarileo

Polisi wafuta mkutano wa CUF

POLISI katika Mkoa wa Kaskazini Unguja wamezuia mkutano wa hadhara wa Chama cha Wananchi (CUF) ambao ulikuwa ufanyike katika Jimbo la Kitope kwa maelezo kuwa haukupata kibali cha jeshi hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani