Polisi Mbezi wadaiwa kumuua fundi ujenzi
Polisi wa Kituo cha Mbezi kwa Yusufu jijini Dar es Salaam, wanadaiwa kumuua kwa kumpiga fundi ujenzi aliyetajwa kwa jina la Elinema Massawe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo09 Jul
Wanaotuhumiwa kumuua sista wadaiwa kupora benki
WATUHUMIWA wanaodaiwa kumuua Sista Cresencia Kapuli na kumpora Sh milioni 20, jana wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam na kusomewa mashitaka ya wizi wa zaidi ya Sh milioni 479 katika benki ya Barclays.
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Watoto wadaiwa kumuua baba yao Kagera
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Wananchi wadaiwa kumuua mama, mtoto Tabora
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Fundi ujenzi afa ghafla
WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti akiwemo fundi ujenzi, Robert Simon (30), mkazi wa Buguruni, aliyekufa katika mazingira ya kutatanisha. Kamanda wa Polisi Mkoa...
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Ujenzi Barabara ya Bagamoyo umekuwa shubiri Mbezi Beach
MAENDELEO katika nchi huchangiwa na uboreshaji wa sekta mbalimbali katika jamii husika. Hali ya maendeleo huchochewa zaidi na ujenzi wa barabara zinazoaminika kama mhimili mkuu wa ukuaji uchumi. Serikali kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--DB4zP7tftc/VJv6i8-GLVI/AAAAAAAG5yE/CwO1rBKrCJ8/s72-c/IMG_2828.jpg)
UJENZI WA BARABARA YA CHUO KIKUU KUTOKEA MBEZI YA KIMARA UKIENDELEA KWA KASI
![](http://3.bp.blogspot.com/--DB4zP7tftc/VJv6i8-GLVI/AAAAAAAG5yE/CwO1rBKrCJ8/s1600/IMG_2828.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-u8FBOIHe268/VJv6g6QKByI/AAAAAAAG5xo/bFJaq2SrHy0/s1600/IMG_2796.jpg)
11 years ago
Habarileo14 Apr
Polisi yakanusha kumuua Mkuya
POLISI mkoani Tabora imekanusha kuhusika na mauaji ya Mbeyu Mkuya (35), kama inavyodaiwa na ndugu wa marehemu huyo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gPISZ9-UBYk/XswOrovRM4I/AAAAAAALre8/SaLwAP6mxe887muL0tiOa_Go8ewVxoyMwCLcBGAsYHQ/s72-c/4f298494-9e52-4e35-9446-407d8d3a8dfb.jpg)
RC MAKONDA AMUELEKEZA MKANDARASI WA UJENZI WA STAND MPYA YA MABASI YA MBEZI LUIS KUKABIDHI MRADI KWA MUDA ULIOPANGWA.
RC Makonda amesema ujenzi wa Stand hiyo unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 50.9 na itakuwa na uwezo wa kuegesha Mabasi Makubwa 700 na Magari Madogo yasiyopungua 300 ambapo ndani yake kutakuwa na Jengo la abiria, Jengo la utawala, Shopping...
10 years ago
BBCSwahili23 Jan
Polisi jela kwa kumuua mwanaharakati Rwanda