Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi Mbezi wadaiwa kumuua fundi ujenzi

Polisi wa Kituo cha Mbezi kwa Yusufu jijini Dar es Salaam, wanadaiwa kumuua kwa kumpiga fundi ujenzi aliyetajwa kwa jina la Elinema Massawe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wanaotuhumiwa kumuua sista wadaiwa kupora benki

WATUHUMIWA wanaodaiwa kumuua Sista Cresencia Kapuli na kumpora Sh milioni 20, jana wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam na kusomewa mashitaka ya wizi wa zaidi ya Sh milioni 479 katika benki ya Barclays.

 

10 years ago

Mwananchi

Watoto wadaiwa kumuua baba yao Kagera

Polisi Wilaya ya Kyerwa, Mkoa wa Kagera wanawashikilia watoto watatu wa Kijiji cha Mkunyu, Kata ya Kikukuru wilayani Kyerwa kwa tuhuma za kumuua baba yao, Henry Siliakus (62) kutokana na mgogoro wa kifamilia.

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi wadaiwa kumuua mama, mtoto Tabora

Licha ya Serikali kupiga vita kujichukulia sheria mikononi, unyanyasaji na mauaji ya wanawake, baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Uchama wilayani Nzega mkoani Tabora wamemuua mwanamke mmoja na mtoto wake wa kike kwa sababu zisizofahamika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fundi ujenzi afa ghafla

WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti akiwemo fundi ujenzi, Robert Simon (30), mkazi wa Buguruni, aliyekufa katika mazingira ya kutatanisha. Kamanda wa Polisi Mkoa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujenzi Barabara ya Bagamoyo umekuwa shubiri Mbezi Beach

MAENDELEO katika nchi huchangiwa na uboreshaji wa sekta mbalimbali katika jamii husika. Hali ya maendeleo huchochewa zaidi na ujenzi wa barabara zinazoaminika kama mhimili mkuu wa ukuaji uchumi. Serikali kwa...

 

10 years ago

Michuzi

UJENZI WA BARABARA YA CHUO KIKUU KUTOKEA MBEZI YA KIMARA UKIENDELEA KWA KASI

Pichani juu ni sehemu ya kipande cha barabara ya lami ambacho tayari kimekwisha kamilika,kama kilivyonaswa na Globu ya Jamii wakati ikivinjari katika barabara hiyo jana na kujionea ujenzi huo ukienda kwa kasi,barabara hiyo ambayo imeonekana kuwa na umuhimu mkubwa katika jitihada za kupambana na msongamano wa magari ambao umekuwa kero kubwa kwa wakazi wa jiji la Dar na kwingineko.Barabara hiyo almaarufu kwa jina la barabara ya chuo kikuu ambayo pia unaweza kwenda Goba ama kuchepuka na kutokea...

 

11 years ago

Habarileo

Polisi yakanusha kumuua Mkuya

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Tabora, Suzan KagandaPOLISI mkoani Tabora imekanusha kuhusika na mauaji ya Mbeyu Mkuya (35), kama inavyodaiwa na ndugu wa marehemu huyo.

 

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA AMUELEKEZA MKANDARASI WA UJENZI WA STAND MPYA YA MABASI YA MBEZI LUIS KUKABIDHI MRADI KWA MUDA ULIOPANGWA.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda amemuelekeza Mkandarasi wa Ujenzi wa Stand mpya ya mabasi ya Mikoani na nje ya nchi ya Mbezi Louis ambayo ujenzi wake kwa sasa umefikia 70%, kuhakikisha Ujenzi huo unakamilika na kukabidhiwa kwa wakati.

RC Makonda amesema ujenzi wa Stand hiyo unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 50.9 na itakuwa na uwezo wa kuegesha Mabasi Makubwa 700 na Magari Madogo yasiyopungua 300 ambapo ndani yake kutakuwa na Jengo la abiria, Jengo la utawala, Shopping...

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi jela kwa kumuua mwanaharakati Rwanda

Polisi wawili nchini Rwanda, wamefungwa miaka 20 jela kwa kumuua mwanaharakati wa kupinga ufisadi, aliyekuwa anachunguza kashfa ya ulanguzi wa madini mpakani .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani