Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fundi ujenzi afa ghafla

WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti akiwemo fundi ujenzi, Robert Simon (30), mkazi wa Buguruni, aliyekufa katika mazingira ya kutatanisha. Kamanda wa Polisi Mkoa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Fundi seremala afa ghafla

FUNDI seremala, Ally Abdallah (33), mkazi wa Pugu amefariki dunia baada ya kuanguka ghafla maeneo ya Buguruni Bakhressa jijini Dar es Salaam. Akithibitisha kutokea kwa kifo hicho, Kamanda wa Polisi...

 

10 years ago

GPL

MSANII AFA GHAFLA!

Stori: Hamida Hassan Msiba! Bado bundi wa vifo anaendelea kung’ang’ania tasnia ya sinema za Kibongo kufuatia kifo cha ghafla cha msanii wa Bongo Muvi, Mariam Juma ‘MC Chimamy’ ambaye amefariki dunia ghafla baada ya kupatwa na kifafa cha mimba, ugonjwa uliomkuta muda mfupi kabla ya kujifungua. Msanii wa Bongo Muvi, Mariam Juma ‘MC Chimamy’ enzi za uhai wake. Mauti hayo yalimkuta MC Chimamy...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Muhudumu wa hoteli afa ghafla

MUHUDUMU wa hoteli ya Hunters jijini Dar es Salaam Rose Mfuje (26) amefariki dunia ghafla baada ya kupata maumivu ya tumbo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Marietha Minangi alikiri...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fundi afa kwa shoti ya umeme

FUNDI magari, Mohamed Athuman (52), mkazi wa maeneo ya Wandengereko, Mtoni-Mtongani, Dar es Salaam, amefariki dunia juzi kutokana na hitilafu ya umeme katika waya wa chaji ya simu. Kamanda wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Fundi radio afa baada ya kuzidiwa gesti

FUNDI radio maarufu mjini hapa, Daniel Mosha (53), amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Mkoa baada ya kuugua ghafla akiwa anafanya mapenzi na mwalimu mmoja katika nyumba ya...

 

10 years ago

CloudsFM

SHEIKH WA WILAYA YA MBEYA AFA GHAFLA MAKABURINI BAADA YA KUTOA MAWAIDHA MAZISHINI

Sheikh mkuu wa wilaya ya Mbeya mjini, Bakari Mketo amefariki dunia ghafla makaburini mara baada ya kuswalisha swala ya mazishi katika makaburi ya Nonde jijini na mkoani Mbeya jioni ya jana.
Sheikh huyo maarufu kwa jina la Mketo mkazi wa Nonde anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 50-60 amekutwa na mauti katika eneo la makaburi hayo ya Nonde mara tu baada ya kumaliza kutoa mawaidha kwa watu waliojumuika kumzika mama aliyefariki katika hospitali ya rufaa Mbeya juzi na msiba wake kuwekwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi Mbezi wadaiwa kumuua fundi ujenzi

Polisi wa Kituo cha Mbezi kwa Yusufu jijini Dar es Salaam, wanadaiwa kumuua kwa kumpiga fundi ujenzi aliyetajwa kwa jina la Elinema Massawe.

 

9 years ago

Dewji Blog

Baraza la Ujenzi lafanikiwa kutatua migogoro ya ujenzi 41 mwaka 2015, lawataka wananchi kuwa makini kabla ya kufanya ujenzi

PIX 1 (1)

Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho  akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam kuhusu Baraza hilo lilivyofanikiwa kutatua migogoro kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi nchini.

PIX 3 (1)

Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho  leo Jijini Dar es salaam kuhusu Baraza hilo lilivyofanikiwa kutatua migogoro kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi...

 

10 years ago

Michuzi

FUNDI KAZINI....

Leo kamera ya Globu ya Jamii,imemnasa fundi huyu makiri wa kupaka rangi kwenye majengo marefu jijini Dar kama aonekanavyo hapo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani