Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FUNDI KAZINI....

Leo kamera ya Globu ya Jamii,imemnasa fundi huyu makiri wa kupaka rangi kwenye majengo marefu jijini Dar kama aonekanavyo hapo.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Fundi 24/7- Soko mtandaoni

Na Godwin Semunyu

Maendeleo ya mifumo ya habari na mawasiliano yameleta mabadiliko mengi chanya kwenye Maisha ya binadamu. Sifa kubwa ya mifumo hiyo ni upatikanaji wa bidhaa na huduma kwa uharaka na uthabiti zaidi.
Fundi 24/7 ni mtandao wa kitanzania unaowakutanisha wateja na mafundi watoa huduma mbalimbali nchini kwa njia ya  mtandao na hivyo kuokoa muda wa wote wawili. “Lengo kuu la kuanzisha huduma hii ya Fundi 24/7 ni kuwakutasha wateja na mafundi ili kutoa huduma kwa uharaka. Kupitia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fundi ujenzi afa ghafla

WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti akiwemo fundi ujenzi, Robert Simon (30), mkazi wa Buguruni, aliyekufa katika mazingira ya kutatanisha. Kamanda wa Polisi Mkoa...

 

9 years ago

GPL

MH. TEMBA, JOKATE KUTOKA NA FUNDI

Mwanamuziki anayekimbiza kwenye game la muziki wa Kibongo, Aman Temba ‘Mh. Temba’. Boniphace Ngumije
MWANAMUZIKI anayekimbiza kwenye game la muziki wa Kibongo, Aman Temba ‘Mh. Temba’ siku si nyingi anategemea kuibuka na ngoma inayoitwa Fundi, aliyoifanyia katika Studio ya Mj Records chini ya produza Marco Chali na kumshirikisha mwanamitindo maarufu Bongo, Jokate.  Mwanamitindo maarufu Bongo,...

 

10 years ago

Habarileo

Fundi saa auawa, aporwa

Kamanda wa Polisi mkoa Kigoma, Jafari MohamedWATU wasiojulikana wamemuua kwa kumchoma kwa kitu chenye ncha kali fundi saa mkazi wa Nazareth manispaa ya Kigoma Ujiji Shadrack Bomboko maarufu kwa jina la Maneno.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fundi Samweli awaonya wasanii

MTAYARISHAJI wa kimataifa wa muziki wa Bongo Fleva, raia wa Sweeden, Fundi Samweli, amewataka wasanii wa Tanzania, kutopoteza radha halisi ya muziki wa bongo fleva pindi wanapotengeneza kazi zao. Akizungumza...

 

10 years ago

Mwananchi

Fundi afia nyumba ya wageni

Fundi radio maarufu mjini Singida, Daniel Mosha (50), amefariki dunia wakati akiendelea kupatiwa matibabu katika hospitali ya mkoa mjini hapa, baada ya kuugua ghafla akiwa amelala katika nyumba ya kulala wageni na rafiki yake wa kike.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Fundi seremala afa ghafla

FUNDI seremala, Ally Abdallah (33), mkazi wa Pugu amefariki dunia baada ya kuanguka ghafla maeneo ya Buguruni Bakhressa jijini Dar es Salaam. Akithibitisha kutokea kwa kifo hicho, Kamanda wa Polisi...

 

11 years ago

GPL

FUNDI NGUO AMCHEFUA DAVINA

STAA wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ amechefuliwa vibaya na fundi wa nguo kwa kumcheleweshea nguo ya sare na kumfanya ashindwe kuivaa kwenye shughuli ya msanii mwenzake, Vanitha Omari. Staa wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’. Akipiga stori na mwandishi wetu katika shughuli hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa Mawela Sinza, jijini Dar, Davina alisema...

 

10 years ago

GPL

FUNDI AUWA, ATUPWA BWAWANI

Chande Abdallah na Deogratius Mongela
FUNDI ujenzi aliyefahamika kwa jina la Omari Mkulu (25) amedaiwa kuuawa na kutupwa ndani ya bwawa baada ya kudaiwa kutoweka nyumbani kwa takriban siku tatu. Mwili wa marehemu aliyefahamika kwa jina la Omari Mkulu (25) ambaye alikuwa fundi wa ujenzi. Tukio hilo lilitokea maeneo ya Mabwawa Saba, Mabibo jijini Dar ambapo majirani wa eneo hilo… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani