Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fundi saa auawa, aporwa

Kamanda wa Polisi mkoa Kigoma, Jafari MohamedWATU wasiojulikana wamemuua kwa kumchoma kwa kitu chenye ncha kali fundi saa mkazi wa Nazareth manispaa ya Kigoma Ujiji Shadrack Bomboko maarufu kwa jina la Maneno.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mfanyabiashara aporwa laki 8/- Ngara

p>KUNDI la watu wanaosadikiwa kuwa majambazi limemvamia mfanyabiashara katika Kijiji cha Rulenge wilayani Ngara mkoani Kagera na kumpora fedha kiasi cha shilingi laki nane. Tukio hilo limetokea Alhamisi iliyopita majira...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanahabari aporwa mbele ya kamera

Mwanahabari maarufu wa runinga kutoka Afrika Kusini ameibiwa hadharani alipokuwa akijiandaa kwenda hewani mbele ya kamera.

 

11 years ago

Mwananchi

Mfanyabiashara aporwa Sh8 milioni

Mfanyabiashara wa duka la kubadilisha fedha mjini Tunduma, Alphonce Mwanjela (36) ameporwa Sh5.2 milioni muda mfupi baada ya kufunga duka lake na kuanza safari ya kurejea nyumbani.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mwalimu aporwa mamilioni, mwenzake abakwa

WATU wanaodaiwa kuwa ni majambazi wamemvamia na kumteka mwalimu mmoja na kumpora zaidi ya sh milioni 20 na kisha kumbaka mwingine katika Kijiji cha Nassa Ginnery, Busega mkoani Simiyu. Kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Mwendesha bodaboda apigwa risasi, aporwa

MWENDESHA pikipiki ya kusafirisha abiria (bodaboda) amepigwa risasi wilayani Kahama mkoani Shinyanga na kuporwa chombo hicho cha usafiri.

 

9 years ago

Vijimambo

WATU WAMESHAANZA KUPIGA KURA SAA MOJA ASUBUHI KWA SAA ZA AFRIKA MASHARIKI


 Hapa wananchi wakihakiki majina yao kwenye ubao wa kuhakiki  majina hili kupata fursa ya kupiga kuraHapa ni karatasi ya upigaji kura kuanzia ya urais ubunge na udiwani baada ya kuhakiki jina lako unakuja hapa na kukabiziwa karatasi hizi tatu ili kukamirisha  zoezi zima na upigaji kura. Mwanachi akiakiki jina lake kwenye ubao wa majina ya wapigaji kura kituoni hapo
Mabox ma 3 ya kupigia kura kuanzia uraisi ubunge na udiwani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani