Mwanahabari aporwa mbele ya kamera
Mwanahabari maarufu wa runinga kutoka Afrika Kusini ameibiwa hadharani alipokuwa akijiandaa kwenda hewani mbele ya kamera.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Bongo514 Feb
Juventus na Monaco mbele kwa mbele UEFA, Barca na Dortmund nje
Timu za Juventus na Monaco zimefanikiwa kufuzu katika hatua ya nusu fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya (Uefa) usiku wa Jumatano huku zikiungana na Real Madrid na Atletico Madrid ambazo zilifuzu katika hatua hiyo siku ya Jumanne.
Juventus imefanikiwa kuingia katika hatua hiyo kwa kuitoa Barcelona ya Hispania kwa jumla ya mabao 3-0 ambayo walishinda katika mchezo wao wa kwanza wiki iliyopita huku katika mchezo wa jana wakitoka sare ya 0-0.
Nao Monaco wametinga hatua hiyo kwa...
9 years ago
Dewji Blog12 Sep
Simba SC yatakata Mkoani Tanga, Mbeya City taabani, Azam Fc mbele kwa mbele!!
Kikosi cha Simba SC kilichoifunga 1-0 African Sports leo Uwanja wa Mkwakwani, Tanga (Picha kwa hisani ya mtandao wa http://www.binzubeiry.co.tz
Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo wamevunja mwiko wa kutoshinda kwenye Uwanja wa Mkwakwani Tanga baada ya kuigaragaza African Sports kwa bao 1-0.
Simba leo iliingia katika mchezo huo ikiwa na presha baada ya kutoshinda mchezo wowote kwenye uwanja huo kwa miaka mitatu mfulilizo. Bao la Simba katika mchezo huo limefungwa na...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/xEsE-6NdbF0/default.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Shabbb.jpg)
SHABIB: CCM GAIRO MBELE KWA MBELE
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Mbowe: Ukawa sasa ni mbele kwa mbele
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Mfanyabiashara aporwa laki 8/- Ngara
10 years ago
Habarileo26 Feb
Fundi saa auawa, aporwa
WATU wasiojulikana wamemuua kwa kumchoma kwa kitu chenye ncha kali fundi saa mkazi wa Nazareth manispaa ya Kigoma Ujiji Shadrack Bomboko maarufu kwa jina la Maneno.
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Mfanyabiashara aporwa Sh8 milioni
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Mwalimu aporwa mamilioni, mwenzake abakwa
WATU wanaodaiwa kuwa ni majambazi wamemvamia na kumteka mwalimu mmoja na kumpora zaidi ya sh milioni 20 na kisha kumbaka mwingine katika Kijiji cha Nassa Ginnery, Busega mkoani Simiyu. Kwa...