Mfanyabiashara aporwa laki 8/- Ngara
p>KUNDI la watu wanaosadikiwa kuwa majambazi limemvamia mfanyabiashara katika Kijiji cha Rulenge wilayani Ngara mkoani Kagera na kumpora fedha kiasi cha shilingi laki nane. Tukio hilo limetokea Alhamisi iliyopita majira...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Mfanyabiashara aporwa Sh8 milioni
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Augustine Mahiga atembelea AICC na Laki Laki Arusha
![](http://2.bp.blogspot.com/-bm_xZvGMFNk/Vnd9mWghqDI/AAAAAAAAFOw/eMl7_1caneA/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SKWwrkc4f64/Vnd9sUlaLII/AAAAAAAAFO4/nPnpl143xhk/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5fUxeKnX1Zc/Vnd9v1vZAFI/AAAAAAAAFPA/RgXmS-Y7guE/s640/3.jpg)
10 years ago
Habarileo26 Feb
Fundi saa auawa, aporwa
WATU wasiojulikana wamemuua kwa kumchoma kwa kitu chenye ncha kali fundi saa mkazi wa Nazareth manispaa ya Kigoma Ujiji Shadrack Bomboko maarufu kwa jina la Maneno.
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Mwanahabari aporwa mbele ya kamera
10 years ago
Daily News07 Sep
Two commit suicide in Ngara district
Daily News
TWO people in Ngara District committed suicide in incidents related to stress, the Kagera Regional Police Com- mander (RPC), Mr Henry Mwaibambe has said. He named the deceased as Herman Bilazinama ( 42) and Juma Ramadhani (62), both residents ...
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Daktari apiga wagonjwa Ngara
11 years ago
Habarileo16 Jan
Mwendesha bodaboda apigwa risasi, aporwa
MWENDESHA pikipiki ya kusafirisha abiria (bodaboda) amepigwa risasi wilayani Kahama mkoani Shinyanga na kuporwa chombo hicho cha usafiri.
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Mwalimu aporwa mamilioni, mwenzake abakwa
WATU wanaodaiwa kuwa ni majambazi wamemvamia na kumteka mwalimu mmoja na kumpora zaidi ya sh milioni 20 na kisha kumbaka mwingine katika Kijiji cha Nassa Ginnery, Busega mkoani Simiyu. Kwa...
10 years ago
Habarileo01 Sep
Ngara katika kashfa ya ubadhirifu wa fedha
HALMASHAURI ya Wilaya ya Ngara inadaiwa kukumbwa na kashfa ya ubadhirifu wa fedha za umma katika miradi mitatu kwenye maeneo tofauti hali ambayo Kamati ya Utekelezaji ya Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kagera imeamuru irudiwe na kukamilishwa.