Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfanyabiashara aporwa laki 8/- Ngara

p>KUNDI la watu wanaosadikiwa kuwa majambazi limemvamia mfanyabiashara katika Kijiji cha Rulenge wilayani Ngara mkoani Kagera na kumpora fedha kiasi cha shilingi laki nane. Tukio hilo limetokea Alhamisi iliyopita majira...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mfanyabiashara aporwa Sh8 milioni

Mfanyabiashara wa duka la kubadilisha fedha mjini Tunduma, Alphonce Mwanjela (36) ameporwa Sh5.2 milioni muda mfupi baada ya kufunga duka lake na kuanza safari ya kurejea nyumbani.

 

9 years ago

Dewji Blog

Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Augustine Mahiga atembelea AICC na Laki Laki Arusha

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Kanda na Kimataifa, Balozi Augustine Mahiga(kulia)akiwasili kwenye  kituo cha mikutano cha  kimataifa cha Arusha International Conference Center (AICC) ambacho ni sehemu ya Wizara hiyo,kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa AICC, Elishilia Kaaya. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kanda na Kimataifa, Balozi Augustine Mahiga akisaini kitabu cha wageni. Mkurugenzi Mtendaji wa  Arusha International Conference Center...

 

10 years ago

Habarileo

Fundi saa auawa, aporwa

Kamanda wa Polisi mkoa Kigoma, Jafari MohamedWATU wasiojulikana wamemuua kwa kumchoma kwa kitu chenye ncha kali fundi saa mkazi wa Nazareth manispaa ya Kigoma Ujiji Shadrack Bomboko maarufu kwa jina la Maneno.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanahabari aporwa mbele ya kamera

Mwanahabari maarufu wa runinga kutoka Afrika Kusini ameibiwa hadharani alipokuwa akijiandaa kwenda hewani mbele ya kamera.

 

10 years ago

Daily News

Two commit suicide in Ngara district


Two commit suicide in Ngara district
Daily News
TWO people in Ngara District committed suicide in incidents related to stress, the Kagera Regional Police Com- mander (RPC), Mr Henry Mwaibambe has said. He named the deceased as Herman Bilazinama ( 42) and Juma Ramadhani (62), both residents ...

 

10 years ago

Mwananchi

Daktari apiga wagonjwa Ngara

Wagonjwa waliolazwa na kupata matibabu katika kituo cha Afya Lukole wilayani Ngara mkoani Kagera, juzi wamejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kupata kipigo kutoka kwa mganga wa kituo hicho ambaye aliwataka kushiriki zoezi la usafi katika vyumba na mazingira ya kituo hicho.

 

11 years ago

Habarileo

Mwendesha bodaboda apigwa risasi, aporwa

MWENDESHA pikipiki ya kusafirisha abiria (bodaboda) amepigwa risasi wilayani Kahama mkoani Shinyanga na kuporwa chombo hicho cha usafiri.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mwalimu aporwa mamilioni, mwenzake abakwa

WATU wanaodaiwa kuwa ni majambazi wamemvamia na kumteka mwalimu mmoja na kumpora zaidi ya sh milioni 20 na kisha kumbaka mwingine katika Kijiji cha Nassa Ginnery, Busega mkoani Simiyu. Kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Ngara katika kashfa ya ubadhirifu wa fedha

HALMASHAURI ya Wilaya ya Ngara inadaiwa kukumbwa na kashfa ya ubadhirifu wa fedha za umma katika miradi mitatu kwenye maeneo tofauti hali ambayo Kamati ya Utekelezaji ya Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kagera imeamuru irudiwe na kukamilishwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani