Mwendesha bodaboda apigwa risasi, aporwa
MWENDESHA pikipiki ya kusafirisha abiria (bodaboda) amepigwa risasi wilayani Kahama mkoani Shinyanga na kuporwa chombo hicho cha usafiri.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Mfanyakazi MCL apigwa Risasi, aporwa Sh2milioni
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Mwendesha bodaboda atekwa na kuchinjwa Singida
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka.
Na Nathaniel Limu, Singida
WATU watatu mkoani Singida,wamefariki dunia katika matukio tofauti, likiwemo la dereva wa boda boda kuchomwa kisu shingoni na usoni juu ya jicho la kushoto.
Kamanda wa jeshi la polisi Mkoa wa Singida,ACP,Thobias Sedoyeka,alimtaja dereva wa boda boda aliyechomwa kisu na kufariki dunia,kuwa ni Sudi Jumanne (26) mkazi wa Sabasaba mjini hapa.
Alisema mwili wa dereva Sudi uliokotwa na raia wema Novemba...
11 years ago
Habarileo19 Jan
Mwendesha bodaboda auawa kwa mapanga
MWENDESHA bodaboda, mkazi wa Kijiji cha Korotambe Kata ya Mwema wilayani Tarime, Nyang'era Kirutu Chacha (40) ameuawa baada ya kupigwa mapanga katika kijiji cha Magena akidaiwa kuwa mwizi wa mifugo.
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Mwendesha bodaboda agongana na lori, afariki
DEREVA pikipiki yenye namba za usajili T 359 CQR mkazi wa Kibaha Kirunge, Mkoa wa Pwani, Frank Thomas (37), amefariki dunia baada ya kugongana na lori. Kamanda wa Polisi Mkoa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cwh76f0JjbnK1g0xXHuDV6Z11EOrBmqSoNOxqpznlNHQKop6vErJFp0MhdC3A4-vBSa7uQ1MMMG475xD1j-xX-X8BJU6SC6r/IMG20140806WA0004.jpg)
BODABODA YAUA MWENDESHA BAISKELI TANGA
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Mwendesha bodaboda auawa, anyofolewa kichwa na sehemu za siri
10 years ago
Mwananchi29 Aug
Apigwa risasi machimboni
10 years ago
BBCSwahili04 Aug
Mwanaharakati apigwa risasi Burundi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MFANYAKAZI WA MWANANCHI APIGWA RISASI