Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwendesha bodaboda atekwa na kuchinjwa Singida

DSC016461

Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka.

Na Nathaniel Limu, Singida

WATU watatu mkoani Singida,wamefariki dunia katika matukio tofauti, likiwemo la dereva wa boda boda kuchomwa kisu shingoni na usoni juu ya jicho la kushoto.

Kamanda wa jeshi la polisi Mkoa wa Singida,ACP,Thobias Sedoyeka,alimtaja dereva wa boda boda aliyechomwa kisu na kufariki dunia,kuwa ni Sudi Jumanne (26) mkazi wa Sabasaba mjini hapa.

Alisema mwili wa dereva Sudi uliokotwa na raia wema Novemba...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BODABODA AFA KWA KUCHINJWA, NDUGU WAZIKA MGOMBA

Na Haruni Sanchawa
TUKIO la aina yake! Dereva wa bodaboda aliyejulikana kwa jina la Alex Wilson amekutwa ameuawa kwa kuchinjwa na kuporwa pikipiki lakini cha ajabu, siku ya mazishi yake kaburini kukazikwa mgomba baada ya mwili kuzuiwa usizikwe, Uwazi limechimba kisa kamili. Marehemu Alex Wilson enzi za uhai wake. Ilikuwa Aprili 8, mwaka huu katika maeneo ya Mbezi Beach karibu na Kiwanda cha Rafia, Alex ambaye ni mwenyeji wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwendesha bodaboda agongana na lori, afariki

DEREVA pikipiki yenye namba za usajili T 359 CQR mkazi wa Kibaha Kirunge, Mkoa wa Pwani, Frank Thomas (37), amefariki dunia baada ya kugongana na lori. Kamanda wa Polisi Mkoa...

 

11 years ago

Habarileo

Mwendesha bodaboda auawa kwa mapanga

MWENDESHA bodaboda, mkazi wa Kijiji cha Korotambe Kata ya Mwema wilayani Tarime, Nyang'era Kirutu Chacha (40) ameuawa baada ya kupigwa mapanga katika kijiji cha Magena akidaiwa kuwa mwizi wa mifugo.

 

11 years ago

Habarileo

Mwendesha bodaboda apigwa risasi, aporwa

MWENDESHA pikipiki ya kusafirisha abiria (bodaboda) amepigwa risasi wilayani Kahama mkoani Shinyanga na kuporwa chombo hicho cha usafiri.

 

11 years ago

GPL

BODABODA YAUA MWENDESHA BAISKELI TANGA

Mwili wa kijana aliyegongwa na bodaboda na kupoteza maisha hapohapo. Bodaboda iliyomgonga kijana huyo. Raia walioshuhudia tukio wakimchukua mwendesha bodaboda kwenye…

 

11 years ago

Habarileo

Dereva bodaboda atekwa, auawa

MWENDESHA pikipiki maarufu kama bodaboda, Nuru James (19), ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wasiofahamika wilayani hapa, mkoani Mara.

 

9 years ago

Mwananchi

Mwendesha bodaboda auawa, anyofolewa kichwa na sehemu za siri

Watu wasiofahamika wamemuua kwa kumchinja mwendesha pikipiki maarufu kama bodaboda, Hosam Abdallahaman (18) na kutoweka na kichwa chake, sehemu zake za siri na pikipiki.

 

11 years ago

GPL

TANGA-SINGIDA WATIMKA NA BODABODA ZA VODACOM‏

Meneja wa Vodacom Tanzania-Tanga Bw. Mussa Sultan(kushoto)akimkabidhi Pikipiki Agnes Kilango ambaye ni mmoja wa washindi wa mkoa huo katika Promosheni ya Timka na Bodaboda,Inayoendeshwa na Vodacom Tanzania ili kujiunga na Promosheni hiyo tuma neno Promo kwenda 15544.
Mshindi wa Pikipiki wa Mkoa wa Singida katika Promosheni ya Timka na Bodaboda,Bw.Juma Abdallah,akiwa kwenye pikipiki yake mara baada ya kukabiodhiwa rasmi na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Taifa Jimbo la Singida Mjini haijawahi kutokea, waingia kwa staili ya aina yake wakitumia Bodaboda na Bajaji

DSC_0204

Mbunge wa Jimbo la Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), Naibu Waziri wa Fedha ambaye pia Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara, Mh. Mwigulu Nchemba wakiwa kwenye boda boda, wakati wa msafara wa kuelekea kwenye mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika eneo la viwanja vya People’s Club mjini Singida.

DSC_0232

Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana , sambamba na Katibu wa Itikadi na  Uenezi Nape Nnauye,wakiwasili kwenye viwanja vya People’s Club kwenye mkutano wa hadhara kwa staili ya aina yake kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani