BODABODA YAUA MWENDESHA BAISKELI TANGA
![](http://api.ning.com:80/files/cwh76f0JjbnK1g0xXHuDV6Z11EOrBmqSoNOxqpznlNHQKop6vErJFp0MhdC3A4-vBSa7uQ1MMMG475xD1j-xX-X8BJU6SC6r/IMG20140806WA0004.jpg)
Mwili wa kijana aliyegongwa na bodaboda na kupoteza maisha hapohapo. Bodaboda iliyomgonga kijana huyo. Raia walioshuhudia tukio wakimchukua mwendesha bodaboda kwenye…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kqu4JOS-VwN2w*6YPNiM7Tg9pro8gyP*eewx2DTqqehHlR7sfpIvhtXr2QNGCqmtaUI3Ucaj84Cb587h0zmgGhl0ueXqCDMj/AJALINEW.jpg?width=650)
FUSO LAUA MWENDESHA BAISKELI IFAKARA, MORO
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Tigo yadhamini safari ya mwendesha Baiskeli kutoka Chile hadi Kilimanjaro!
Mwendesha baiskeli Elvis Munis “Lelo” ambaye ameendesha baiskeli jumla ya nchi 47, kilomita 28,000 kutoka Chile hadi Kilimanjaro(Chile to Kili) akipokewa mjini Arusha juzi, Mwendesha baiskeli huyo amezunguka nchi mbalimbali kwa lengo kuhamasisha kuchangia mfuko wa kusomesha wanafunzi kupitia mpango wa CRC,safari yake ilipata udhamini kutoka kampuni ya simu za Mikononi Tigo.
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Mwendesha bodaboda atekwa na kuchinjwa Singida
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka.
Na Nathaniel Limu, Singida
WATU watatu mkoani Singida,wamefariki dunia katika matukio tofauti, likiwemo la dereva wa boda boda kuchomwa kisu shingoni na usoni juu ya jicho la kushoto.
Kamanda wa jeshi la polisi Mkoa wa Singida,ACP,Thobias Sedoyeka,alimtaja dereva wa boda boda aliyechomwa kisu na kufariki dunia,kuwa ni Sudi Jumanne (26) mkazi wa Sabasaba mjini hapa.
Alisema mwili wa dereva Sudi uliokotwa na raia wema Novemba...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Mwendesha bodaboda agongana na lori, afariki
DEREVA pikipiki yenye namba za usajili T 359 CQR mkazi wa Kibaha Kirunge, Mkoa wa Pwani, Frank Thomas (37), amefariki dunia baada ya kugongana na lori. Kamanda wa Polisi Mkoa...
11 years ago
Habarileo16 Jan
Mwendesha bodaboda apigwa risasi, aporwa
MWENDESHA pikipiki ya kusafirisha abiria (bodaboda) amepigwa risasi wilayani Kahama mkoani Shinyanga na kuporwa chombo hicho cha usafiri.
11 years ago
Habarileo19 Jan
Mwendesha bodaboda auawa kwa mapanga
MWENDESHA bodaboda, mkazi wa Kijiji cha Korotambe Kata ya Mwema wilayani Tarime, Nyang'era Kirutu Chacha (40) ameuawa baada ya kupigwa mapanga katika kijiji cha Magena akidaiwa kuwa mwizi wa mifugo.
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Mwendesha bodaboda auawa, anyofolewa kichwa na sehemu za siri
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Tigo yadhamini safari ya mwendesha Baiskeli Elvis Munis “Lelo” kutoka Chile hadi Kilimanjaro apokelewa jijini Arusha kwa shwangwe
Mwendesha baiskeli Elvis Munis “Lelo” ambaye ameendesha baiskeli jumla ya nchi 47, kilomita 28,000 kutoka Chile hadi Kilimanjaro(Chile to Kili) akipokewa mjini Arusha juzi, Mwendesha baiskeli huyo amezunguka nchi mbalimbali kwa lengo kuhamasisha kuchangia mfuko wa kusomesha wanafunzi kupitia mpango wa CRC,safari yake ilipata udhamini kutoka kampuni ya simu za Mikononi Tigo.
10 years ago
MichuziMSAFARA WA KINANA WASAFIRI KWA BAISKELI MILIMA YA USAMBARA KWENDA MKINGA,TANGA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10