Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tigo yadhamini safari ya mwendesha Baiskeli Elvis Munis “Lelo” kutoka Chile hadi Kilimanjaro apokelewa jijini Arusha kwa shwangwe

Lelo6

Mwendesha baiskeli Elvis Munis “Lelo” ambaye ameendesha baiskeli jumla ya nchi 47, kilomita 28,000 kutoka Chile hadi Kilimanjaro(Chile to Kili) akipokewa mjini Arusha juzi, Mwendesha baiskeli huyo amezunguka nchi mbalimbali kwa lengo kuhamasisha kuchangia mfuko  wa kusomesha wanafunzi kupitia mpango wa CRC,safari yake ilipata udhamini kutoka kampuni ya simu za Mikononi Tigo.

Lelo4

Lelo3

 

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Tigo yadhamini safari ya mwendesha Baiskeli kutoka Chile hadi Kilimanjaro!

Lelo6

Mwendesha baiskeli Elvis Munis “Lelo” ambaye ameendesha baiskeli jumla ya nchi 47, kilomita 28,000 kutoka Chile hadi Kilimanjaro(Chile to Kili) akipokewa mjini Arusha juzi, Mwendesha baiskeli huyo amezunguka nchi mbalimbali kwa lengo kuhamasisha kuchangia mfuko  wa kusomesha wanafunzi kupitia mpango wa CRC,safari yake ilipata udhamini kutoka kampuni ya simu za Mikononi Tigo.

Lelo4

Lelo3

 

9 years ago

Dewji Blog

Tigo yadhamini onesho la mwanamuziki Moussa Diallo kutoka nchini Mali litafanyika jijini Dar leo

Meneja wa Mawasiliano wa Kampuni ya Simu ya Tigo, John Wanyanja (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu kampuni hiyo kudhamini onesho la mwanamuziki Mousa Diallo kutoka nchini Mali litakalofanyika leo katika Mgahawa wa Chakula na Vinywaji wa Samaki Samaki, Masaki jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Ofisa Mkuu wa Masoko wa Mgahawa wa Samaki Samaki, Saum Wengert na katikati ni Mwanamuziki, Moussa Diallo.

Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya Simu ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yadhamini shindano la kubuni tovuti kwa wanafunzi wasichana jijini Dar es Salaam

1

Meneja wa Mawasiliano wa Tigo Bw. John Wanyancha akiongea na wanafunzi wa shule mbalimbali za sekondari jijini Dar es Salaam (hawapo pichani), wakati wa shindano la kubuni tovuti kwa wanafunzi wasichana kupitia mradi wa ‘Apps & Girls’ ulio chini ya Tigo Reach For Change.

8

Mwanzilishi wa Apps & Girls Bi. Carolyne Ekyamsiima akiongea na wanafunzi wa shule mbalimbali za sekondari jijini Dar es Salaam (hawapo pichani) wakati wa shindano la kubuni tovuti kwa wanafunzi wasichana. Mradi huu upo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya TIGO yadhamini kongamano la wanachuo wa IAA Arusha

1

Meneja wa Tigo Kanda ya Kaskazini Deogratius Ndejembi akiongea na wanachuo wa chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) wakati wa kongamano la kuwaelimisha na kuwasaidia wanavyuo jinsi ya kupata ajira wamalizapo masomo, kongamano hilo lilidhamini na kampuni ya Tigo lilifanyika mwishoni mwa wiki mkoani Arusha. 2 Baadhi ya wanachuo cha IAA wakisikiliza kwa makini. 7 4 Afisa Mauzo wa Tigo Musa Msemo akitoa maelezo kwa mmoja ya wanachuo waliohudhuria kongamano hilo. 6 Baadhi ya wananchuo wakipata maelezo...

 

10 years ago

Michuzi

MAGUFULI AFUNGA KAZI JIJINI ARUSHA,APOKELEWA KWA KISHINDO.

Mgombea Urais wa CCM, Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia Wananchi katika mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha. Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiwa sambamba na Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana wakiwasalimia wakazi wa jiji la Arusha na vitongoji vyake kabla ya kuanza kwa mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Kumbukumbu wa Sheikh Amri Abeid,mkoani ArushaMgombea Ubunge wa jimbo la...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yadhamini mashindano ya mbio za Mbuzi jijini Dar

4

Vijana wakikimbiza Mbuzi ili kupata mshindi wa mbio hizo wakati wa tamasha la mbio za Mbuzi (Goat Race) lillilofanyika Dar es Salaam.

3

Vijana wakiingiza Mbuzi katika eneo la kukimbilia wakati wa tamasha la mbio za Mbuzi (Goat Race) lilofanyika jijini Dar es Salaam.

6

Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya Simu za mkononi ya Tigo John Wanyancha (kushoto) akikabidhi hundi kwa mmiliki wa Mbuzi aliyeshinda, Mark Golding kutoka kampuni ya PM Group.

1

Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya simu za mkononi ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Shirika la Ndege la FASTJET lazindua safari mpya kutoka Kilimanjaro — Mwanza na Kilimanjaro — Entebe Uganda

1

Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akiongea na wandishi wa habari Mkoani Arusha leo wakati wa uzinduzi wa safari mpya ya ndege ya Fastjet kutoka Kilimanjaro kwenda Mwanza na Kilimanjaro kwenda Entebe Uganda, pembeni  yake kulia ni Lucy Mbogoro Afisa Mahusiano na Masoko  na kushoto ni Neema David Afisa Biashara wote toka shirika hilo.

6

2

Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akimkabidhi tiketi mwandishi wa habari toka Tbc Sechelela...

 

11 years ago

Dewji Blog

Maonesho ya filamu yaliyodhaminiwa na Tigo yamalizika kwa kishindo Jijini Arusha

1

Mtalaam wa Mawasiliano wa Tigo Amani Nkurlu (kulia) akikabidhi tuzo ya ‘Tigo Best Short Film’ kwa Mtayarishaji wa Filamu kutoka Kenya Mark Maina katika Maonesho ya Filamu ya Kiafrika Arusha (AAFF) aliyeshinda kupitia filamu yake mpya iitwayo “Consigned to Oblivion.” Maonesho hayo yaliyodhaminiwa na Tigo yalifikia tamati juzi.

2

Mratibu wa maonesho ya AAFF Nassir Mohamed akionyesha tuzo aliyoipokea kwa niaba ya Muongozaji filamu kutoka Tanzania Amil Shivji aliyeshinda tuzo ya ‘Best Short...

 

11 years ago

GPL

BODABODA YAUA MWENDESHA BAISKELI TANGA

Mwili wa kijana aliyegongwa na bodaboda na kupoteza maisha hapohapo. Bodaboda iliyomgonga kijana huyo. Raia walioshuhudia tukio wakimchukua mwendesha bodaboda kwenye…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani