Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tigo yadhamini mashindano ya mbio za Mbuzi jijini Dar

4

Vijana wakikimbiza Mbuzi ili kupata mshindi wa mbio hizo wakati wa tamasha la mbio za Mbuzi (Goat Race) lillilofanyika Dar es Salaam.

3

Vijana wakiingiza Mbuzi katika eneo la kukimbilia wakati wa tamasha la mbio za Mbuzi (Goat Race) lilofanyika jijini Dar es Salaam.

6

Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya Simu za mkononi ya Tigo John Wanyancha (kushoto) akikabidhi hundi kwa mmiliki wa Mbuzi aliyeshinda, Mark Golding kutoka kampuni ya PM Group.

1

Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya simu za mkononi ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Mashindano ya mbio za Mbuzi “Blue Smilerace” kwa udhamini wa Tigo yafana jijini Dar

DSC_0475

Mbuzi wakishindana kwenye mbio za Mbuzi zilizopewa jina la “blue smilerace” zilizodhaminiwa na kampuni ya mawasiliano ya simu za mikononi Tigo.

DSC_0822

Mkurugenzi wa kampuni ya ya mawasiliano ya simu za mikononi ya Tigo Bw. Diego Gutierrez akimkabidhi cheti cha mchango wa hisani kwa  Meneja wa Mawasiliano wa CCBRT Bi.Alexandra Cairns kwenye mashindano ya mbio za mbuzi yaliyofana mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.

DSC_0833

Mkurugenzi wa kampuni ya mawasiliano simu za mikononi ya Tigo Bw. Diego...

 

10 years ago

GPL

MBIO ZA MBUZI ZA HISANI ZATIMUA VUMBI JIJINI DAR

Mbuzi wakitimua mbio ili kumpata mshindi wa shindano lililopewa jina la ‘The Kilitime Stakes’ lililodhaminiwa kampuni ya Bia Tanzania (TBL), wakati wa mashindano ya mwaka huu ya mbio za mbuzi jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Mbuzi wakishindana katika mbio za  ‘the Toyota value+ grand national’ wakati wa mashindano ya mwaka huu ya mbio za mbuzi za hisani  jijini Dar es Salaam. Mbio hizo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yadhamini shindano la kubuni tovuti kwa wanafunzi wasichana jijini Dar es Salaam

1

Meneja wa Mawasiliano wa Tigo Bw. John Wanyancha akiongea na wanafunzi wa shule mbalimbali za sekondari jijini Dar es Salaam (hawapo pichani), wakati wa shindano la kubuni tovuti kwa wanafunzi wasichana kupitia mradi wa ‘Apps & Girls’ ulio chini ya Tigo Reach For Change.

8

Mwanzilishi wa Apps & Girls Bi. Carolyne Ekyamsiima akiongea na wanafunzi wa shule mbalimbali za sekondari jijini Dar es Salaam (hawapo pichani) wakati wa shindano la kubuni tovuti kwa wanafunzi wasichana. Mradi huu upo...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Tigo yadhamini mashindano ya Uvuvi ya wazi Slipway

1

Wasimamizi wa shindano la wazi la uvuvi la Slipway wakipima mmoja kati ya samaki walioshindanishwa kwenye shindano hilo lililodhaminiwa na Tigo jana.

2

Sehemu ya muonekano ambapo mashabiki walikuwa wakisubiria wavuvi kutoka baharini.

4

Sehemu ya wateja wa Tigo wakipata huduma toka kwa watoa huduma wa Tigo ikiwa ni sehemu mojawapo ya  huduma zilizokuwa zinapatikana kwenye shindano hilo.

7

5

Washindi wa kwanza shindano  la wazi la uvuvi Slipway ambao walijishindia mashine ya Yamaha, kutoka...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tigo yadhamini onesho la mwanamuziki Moussa Diallo kutoka nchini Mali litafanyika jijini Dar leo

Meneja wa Mawasiliano wa Kampuni ya Simu ya Tigo, John Wanyanja (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu kampuni hiyo kudhamini onesho la mwanamuziki Mousa Diallo kutoka nchini Mali litakalofanyika leo katika Mgahawa wa Chakula na Vinywaji wa Samaki Samaki, Masaki jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Ofisa Mkuu wa Masoko wa Mgahawa wa Samaki Samaki, Saum Wengert na katikati ni Mwanamuziki, Moussa Diallo.

Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya Simu ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yadhamini Mabaharia watoto 10 kuwakilisha Tanzania Mashindano ya Mitumbwi Afrika

2

Meneja wa mawasiliano wa Tigo Bw. John Wanyancha akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani), kutangaza udhamini wa kampuni ya Tigo safari ya  timu ya Taifa ya watoto waendesha mitumbwi inayoelekea nchini Morocco kushiriki mashindanoya wakimbiza mitumbwi mwezi ujao.

Na Mwandishi wetu

 Tigo Tanzania  imetangaza udhamini wake kwa timu ya taifa ya watoto wadogo waendesha mitumbwi, timu ambayo inaundwa na mabaharia watoto 10 waliochaguliwa na shirikisho la mitumbwi midogo ya watoto...

 

11 years ago

Dewji Blog

Tigo yadhamini safari ya mwendesha Baiskeli Elvis Munis “Lelo” kutoka Chile hadi Kilimanjaro apokelewa jijini Arusha kwa shwangwe

Lelo6

Mwendesha baiskeli Elvis Munis “Lelo” ambaye ameendesha baiskeli jumla ya nchi 47, kilomita 28,000 kutoka Chile hadi Kilimanjaro(Chile to Kili) akipokewa mjini Arusha juzi, Mwendesha baiskeli huyo amezunguka nchi mbalimbali kwa lengo kuhamasisha kuchangia mfuko  wa kusomesha wanafunzi kupitia mpango wa CRC,safari yake ilipata udhamini kutoka kampuni ya simu za Mikononi Tigo.

Lelo4

Lelo3

 

 

10 years ago

Michuzi

TBL yadhamini Bonanza la Michezo jijini Dar


 Meneja Matukio wa TBL mkoa wa Dar es salaam, Zozimick Kimati (kushoto) akikabidhi sehemu ya jezi kwa Bw. Hamis Mwango, zilizotumiwa na timu mbali mbali zilizoshiriki kwenye Bonanza la Michezo lililodhaminiwa na TBL, ikiwa ni sehemu ya kuendeleza michezo nchini.  Meneja Matukio wa TBL mkoa wa Dar es salaam, Zozimick Kimati (kati) akizungumza jambo na uongozi wa Timu ya Mshikamano Veterans kabla ya kuingia uwanjani kukipiga na timu ya Uhuru veterans. Kikosi cha Makabe Veterans wakiwa...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YADHAMINI TAMASHA LA MICHEZO NA AFYA JIJINI DAR

Mratibu wa tamasha la michezo na Afya ,Dimo Dembwe (katikati) akiwa ameshikana mikono na waratibu wenzake kama ishara ya umoja wa kufanikisha tamasha hilo. Wakati walipokuwa wakiongea na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa mikutano wa MAELEZO jijini Dar es Salaam.Kutoka kushoto ni Meneja Utawala wa benki ya CRDB, Leevan Maro,Mwandaaji msaidizi wa Tamasha hilo Fakii Majipino,Rais wa TAFF Simon Mwakifuamba na Mratibu wa Tamasha hilo Josephine Kayombo.Tamasha hilo litafanyika jumapili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani