MBIO ZA MBUZI ZA HISANI ZATIMUA VUMBI JIJINI DAR
Mbuzi wakitimua mbio ili kumpata mshindi wa shindano lililopewa jina la ‘The Kilitime Stakes’ lililodhaminiwa kampuni ya Bia Tanzania (TBL), wakati wa mashindano ya mwaka huu ya mbio za mbuzi jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Mbuzi wakishindana katika mbio za  ‘the Toyota value+ grand national’ wakati wa mashindano ya mwaka huu ya mbio za mbuzi za hisani jijini Dar es Salaam. Mbio hizo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog01 Jun
Tigo yadhamini mashindano ya mbio za Mbuzi jijini Dar
Vijana wakikimbiza Mbuzi ili kupata mshindi wa mbio hizo wakati wa tamasha la mbio za Mbuzi (Goat Race) lillilofanyika Dar es Salaam.
Vijana wakiingiza Mbuzi katika eneo la kukimbilia wakati wa tamasha la mbio za Mbuzi (Goat Race) lilofanyika jijini Dar es Salaam.
Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya Simu za mkononi ya Tigo John Wanyancha (kushoto) akikabidhi hundi kwa mmiliki wa Mbuzi aliyeshinda, Mark Golding kutoka kampuni ya PM Group.
Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya simu za mkononi ya...
11 years ago
Dewji Blog09 Jun
Mashindano ya mbio za Mbuzi “Blue Smilerace” kwa udhamini wa Tigo yafana jijini Dar
Mbuzi wakishindana kwenye mbio za Mbuzi zilizopewa jina la “blue smilerace” zilizodhaminiwa na kampuni ya mawasiliano ya simu za mikononi Tigo.
Mkurugenzi wa kampuni ya ya mawasiliano ya simu za mikononi ya Tigo Bw. Diego Gutierrez akimkabidhi cheti cha mchango wa hisani kwa Meneja wa Mawasiliano wa CCBRT Bi.Alexandra Cairns kwenye mashindano ya mbio za mbuzi yaliyofana mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa kampuni ya mawasiliano simu za mikononi ya Tigo Bw. Diego...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-G2yKLXk4GLw/VQ3B0XCmueI/AAAAAAAArBI/0-3Y5u9YItI/s72-c/tmp_30785-IMG-20150321-WA00721158291901.jpg)
11 years ago
GPLMBUZI WASABABISHA KERO KWA WAENDESHA MAGARI KAWE JIJINI DAR
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QcGewEkNPnI/VmakWlojT1I/AAAAAAAIK2w/pDST0OPeEQY/s72-c/StackedBalls-mj-300x225.jpg)
MASHINDANO YA BASEBALL KUANZA KUTIMUA VUMBI IJUMAA WIKI HII JIJINI DAR.
![](http://2.bp.blogspot.com/-QcGewEkNPnI/VmakWlojT1I/AAAAAAAIK2w/pDST0OPeEQY/s1600/StackedBalls-mj-300x225.jpg)
Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Chama cha Mchezo wa Baseball nchini Alpherio Nchimbi leo jijini Dar es salaam wakati wa mkutano na waandishi wa habari.
Amesema kuwa mashindano yatashirikisha timu tisa kutoka Tanzania bara na Visiwani na yanatarajiwa kufunguliwa na Balozi wa Japani nchini Tanzania Mhe. Masaharu Yoshida.
Kwa mujibu wa Katibu...
9 years ago
Michuzi22 Sep
MBIO ZA RIADHA ZA MOUNT MERU MARATHON KUTIMUA VUMBI OCTOBA 4 ARUSHA
![](http://www.pulsarnet.com/mtmeru/banner.jpg)
Katibu wa chama cha riadha mkoani hapa Alfredo Shahanga alisema kwuwa mbio hizo ni za...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_hk6ZJl8ug4/VIS6MbS6hLI/AAAAAAAG104/I0DHQA6Be5o/s72-c/6.jpg)
Kilele cha Mbio za Uhuru chafanyika jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-_hk6ZJl8ug4/VIS6MbS6hLI/AAAAAAAG104/I0DHQA6Be5o/s1600/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-b6f5Ow55WkQ/VIS6HVa5nHI/AAAAAAAG1z4/sS-BdKtczn8/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-n15-cP55LOw/VIS6HW777QI/AAAAAAAG1z8/5OeOXDzBXhY/s1600/10.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-y5jKEsfx0Ps/VDPVvH5vynI/AAAAAAAGofE/FxDxgC-MZBE/s72-c/DSCF9474.jpg)
Mbio za Uhuru Marathon zazinduliwa rasmi leo jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-y5jKEsfx0Ps/VDPVvH5vynI/AAAAAAAGofE/FxDxgC-MZBE/s1600/DSCF9474.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Dkt. Bilal ashiriki hafla ya chakula cha jioni cha hisani kuchangia mfuko wa kampeni wa jitolee kwa ajili ya kinamama wa Afrika, Jijini Dar
Makamua wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa hafla ya Chakula cha Hisani kwa ajili ya kuchangia Mfuko wa Kampeni ya Jitolee kwa ajili ya Akinamama wa Afrika, iliyofanyika kwenye Hoteli ya Serena jana usiku Oktoba 9, 2014 jijini Dar es Salaam. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Cheti, Mkurugenzi Mtendaji wa Push Mobile, Freddie Manento, wakati wa hafla ya Chakula...