Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBUZI WASABABISHA KERO KWA WAENDESHA MAGARI KAWE JIJINI DAR

Mbuzi wakiwa barabarani maeneo ya Kawe, Dar .
Gari likijaribu kumkwepa mbuzi maeneo ya Kawe, Dar.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Mashindano ya mbio za Mbuzi “Blue Smilerace” kwa udhamini wa Tigo yafana jijini Dar

DSC_0475

Mbuzi wakishindana kwenye mbio za Mbuzi zilizopewa jina la “blue smilerace” zilizodhaminiwa na kampuni ya mawasiliano ya simu za mikononi Tigo.

DSC_0822

Mkurugenzi wa kampuni ya ya mawasiliano ya simu za mikononi ya Tigo Bw. Diego Gutierrez akimkabidhi cheti cha mchango wa hisani kwa  Meneja wa Mawasiliano wa CCBRT Bi.Alexandra Cairns kwenye mashindano ya mbio za mbuzi yaliyofana mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.

DSC_0833

Mkurugenzi wa kampuni ya mawasiliano simu za mikononi ya Tigo Bw. Diego...

 

11 years ago

Mwananchi

Waendesha magari tishio kwa utalii

Nilishawahi kuandika kuwa tunapozungumzia utalii, mojawapo ya mambo muhimu ni ile ya kuwatembeza maeneo mbalimbali ili kujionea vivutio.

 

11 years ago

GPL

MVUA YASABABISHA KERO KWA WAKAZI WA JIJINI DAR

Dereva wa bodaboda na abiria wake wakipita katika njia iliyojaa maji. Maji yakitiririka kwa kasi katika katika mfereji mmoja uliopo Kijitonyama.…

 

11 years ago

GPL

MVUA YASABABISHA KERO KWA WAKAZI WA JIJINI DAR SIKU YA JANA

Mafuriko yaliyojitokeza jana Tegeta picha zote za juu. …

 

10 years ago

GPL

MBIO ZA MBUZI ZA HISANI ZATIMUA VUMBI JIJINI DAR

Mbuzi wakitimua mbio ili kumpata mshindi wa shindano lililopewa jina la ‘The Kilitime Stakes’ lililodhaminiwa kampuni ya Bia Tanzania (TBL), wakati wa mashindano ya mwaka huu ya mbio za mbuzi jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Mbuzi wakishindana katika mbio za  ‘the Toyota value+ grand national’ wakati wa mashindano ya mwaka huu ya mbio za mbuzi za hisani  jijini Dar es Salaam. Mbio hizo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yadhamini mashindano ya mbio za Mbuzi jijini Dar

4

Vijana wakikimbiza Mbuzi ili kupata mshindi wa mbio hizo wakati wa tamasha la mbio za Mbuzi (Goat Race) lillilofanyika Dar es Salaam.

3

Vijana wakiingiza Mbuzi katika eneo la kukimbilia wakati wa tamasha la mbio za Mbuzi (Goat Race) lilofanyika jijini Dar es Salaam.

6

Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya Simu za mkononi ya Tigo John Wanyancha (kushoto) akikabidhi hundi kwa mmiliki wa Mbuzi aliyeshinda, Mark Golding kutoka kampuni ya PM Group.

1

Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya simu za mkononi ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Majimbo ya Ubungo, Kinondoni, na Kawe jijini Dar es Salaam

Mkoa wa Dar es Salaam una jumla ya majimbo ya uchaguzi manane, ambayo yamo katika wilaya tatu za Kinondoni, Ilala na Temeke. Katika uchambuzi wa leo tutajikita katika majimbo matatu ya Wilaya ya Kinondoni, ambayo ni Ubungo, Kinondoni na Kawe.

 

10 years ago

Michuzi

SERIKALI YASAINI MKATABA WA UNUNUZI WA MAGARI NA KAMPUNI YA ASHOK LEYLAND KWA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA, JIJINI DAR

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Job Masima (kulia), Makamu wa Rais wa Kampuni ya Kutengeneza Magari ya ASHOK LEYLAND ya nchini India, Bhimasena Rau wakisaini Mkataba wa ununuzi wa magari kwa ajili ya matumizi ya Vyombo vya Ulinzi na Usalama ambavyo ni Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Jeshi la Polisi, Jeshi la Magereza pamoja na Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI. Hafla hiyo ilifanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, jijini Dar...

 

10 years ago

GPL

MKUTANO WA CHADEMA ULIOFANYIKA TANGANYIKA PACKERS KAWE JANA JIJINI DAR

 Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMA Mh.Freeman Mbowe akihutubia maelfu ya wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Tanganyika Parkers Jana, ambapo pia alizindua kitabu cha Mbunge wa jimbo la Kawe Mh. Halima Mdee.  Mh Freeman Mbowe, Halima Mdee na John Mnyika wakizindua kitabu cha Mbunge wa Kawe Mh Halima Mdee  Gwajima akiwa na baadhi ya viongozi wa CHADEMA… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani